Plot4Sale Tunauza Viwanja na Mashamba sehemu mbalimbali Dar na Pwani

Plot4Sale Tunauza Viwanja na Mashamba sehemu mbalimbali Dar na Pwani

Kiwanja kinauzwa kipo Picha ya ndege Lolanzi kinauzwa sh 2,5mil .mazungumzo yapo kwa serous buyer .kwa maelezo zaidi whatsaap 0713 95 92 90
 
Mmh sehemu gani hapo? Ni Karibu na ile site ya wachina? Kina ukubwa gani?
 
Viwanja vinauzwa Lulonzi kwa Islam .Kibaha Town .1 km toka kituo kipya cha Maili Moja (Loliondo stend ,soko jipya Maili Moja) vimepimwa na miundombinu ipo .8000Tsh kwa sqm.kwa taarifa zaidi cont whatsaap 0713 95 92 90
 

Attachments

  • IMG_20170524_091334.jpg
    IMG_20170524_091334.jpg
    35 KB · Views: 87
Viwanja vinauzwa Lulonzi kwa Islam .Kibaha Town .1 km toka kituo kipya cha Maili Moja (Loliondo stend ,soko jipya Maili Moja) vimepimwa na miundombinu ipo .8000Tsh kwa sqm.kwa taarifa zaidi cont whatsaap 0713 95 92 90
 
Viwanja vinauzwa Kibaha picha ya ndege .vipo kwenye location nzuri sn .vina miundo mbinu ya barabara vyote na vipo karibu na hospital ya halmashauri ya mji kibaha Lulanzi.na pia vipo karibu ya shule ya secondary ya kata picha ya ndege .maji na umeme vipo karibu .ukubwa ni mita 20 kwa mita 20 .bei million 4 ,mazungumzo yapo kwa serous buyer contact 0713 959290.

IMG_20200721_120453_0.jpg



 
Vinauza viwanja kibaha Town .vimepimwa na vipo karibu na hospital mpya halmashauri ya mji Kibaha.mtaa wa Lulanzi .na cyo mbali sn toka stendi mpya ya mabus ya mwendokas Kibaha au stendi ya mabus ya mikoani.

Vina miundo mbinu ya barabara,umeme upo karibu na maji yapo karibu..mazungumzo yapo kwa serous buyer.ukubwa viwanja ni kuanzia sqm 1200sqm na kuendelea for more information cont 0713 95 92 90

20220426_172609.jpg
 
Nauza viwanja kibaha Town .vimepimwa na vipo karibu na hospital mpya halmashauri ya mji Kibaha .na cyo mbali sn toka stendi mpya ya mabus ya mwendokas kibaha au stendi ya mabus ya mikoan .vinamiundo mbinu ya barabara,umeme upo karibu na maji yapo karibu cont 0713 95 92 90

View attachment 2206247
Bei sana aisee..yaani hicho cha 25x25 ndo ukauze bei hiyo kweli?!
 
Nauza viwanja kibaha Town .vimepimwa na vipo karibu na hospital mpya halmashauri ya mji Kibaha .na cyo mbali sn toka stendi mpya ya mabus ya mwendokas kibaha au stendi ya mabus ya mikoan .vinamiundo mbinu ya barabara,umeme upo karibu na maji yapo karibu cont 0713 95 92 90

View attachment 2206247
Tangazo lako halijakamilika, kuwa detailed&specific.
Kwa mfano.
-Ukubwa wa Viwanja
-Bei
-umbali hali kutoka reference point kama barabara kuu nk.
 
Bei sana aisee..yaani hicho cha 25x25 ndo ukauze bei hiyo kweli?!
Kiwanja ngan kiongoz??cna mm kiwanja cha 25x25 .na bei inauzwa kwa sqm.na hiyo 25x25 umetumia kipimo ngan ??ni sentimeter au feet au meter ?? Au km mkuu??
 
Tangazo lako halijakamilika, kuwa detailed&specific.
Kwa mfano.
-Ukubwa wa Viwanja
-Bei
-umbali hali kutoka reference point kama barabara kuu nk.
Thank kwa ushauri wako kiongoz .ndiyo maana nikaweka cont number for more information.ila kwa ushauri wako ntafanya marekenisho kidogo
 
Back
Top Bottom