Viwanja vinapatikana katika maeneo yafuatayo: CHANIKA:
Viwanja vya 1,500,000/= Hivi viko mita 700 toka barabara ya lami ya Chanika-Mvuti,umeme hauko mbali na maji yapo pia.
Viwanja vya 2,000,000/= viko sehemu moja na hivyo hapo juu
Viwanja vya 2,700,000/= hivi viko mita 400 toka barabara ya lami ya Chanika-Mvuti na umeme uko mita 400 toka viwanja vilipo.
Viwanja vya 3,500,000/= Viko umbali wa mita 30 toka barabara ya lami ya Chanika-Mvuti,umeme upo,maji yapo.
[h=2]MBEZI-MSUMI:[/h] Mbezi iliyoko upande wa Mbezi ya Kimara kati ya Makabe na Goba.Kilometa 8 toka Morogoro Road na mwendo wa 15mins kwa gari kwenda Tegete kupitia Wazo Hill.Bei ni 3,800,000/= na ukubwa ni miguu 20 kwa 20 au Futi 52.5 kwa 52.5
[h=2]PUGU KINYAMWEZI MTAA WA KIMANI: Bei 3,000,000/=[/h] [h=2]BAGAMOYO:[/h]
Viwanja vilivyopimwa na hati unapatiwa eneo la Mataya. Bei ni Tsh.10,000/= kwa square mita.
Mashamba yaliyopiwa na hati unapatiwa.Yapo Fukayosi karibu na mradi wa gesi Bagamoyo. Bei ni 5,000,000/= kwa ekari moja.
PIA UNARUHUSIWA KUTOA SPECIAL ORDER ILI KUPATA KIWANJA SEHEMU UNAYOIPENDA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.