McAnton
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 259
- 37
- Thread starter
- #301
Nitakutafuta badae au kesho mkuu nashukuru sana ila visiwe tu vya utapeli maana watu wameumizwa sana na hizi ishu nilimpoteza hadi ndugu yangu alitapeliwa kiwanja tegeta
Karibu sana Mkuu.....vile vya utapeli huwa hawavitangazi hadharani kama hivi....na mara nyingi unakuta ana kiwanja kimoja tu lkn sisi tunatangaza na tuna viwanja vingi maeneo mengi hivyo ondia shaka Mkuu..