Konseli Mkuu Andrew
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 749
- 875
Salaam wakuu,
Hivi majuzi kumetokea vurugu huko nchini Sri Lanka baada ya wananchi kutoka kila nyanja ya maisha kuingia ikulu ya Raisi na makazi ya Waziri Mkuu kuwataka kujiuzuru na hadi wakati huu bado wananchi wanaendelea kukalia makazi na ofisi hizo hadi pale viongozi hao watakapo jiuzuru.
Kwa picha ya kawaida tunaweza sema wale ni wananchi ndio waliofanya au wanaotaka kuitoa madarakani Serikali ila ukweli ni kwamba nyuma ya pazia ni kuna mkono wa mfumo na idara za usalama au nguvu toka mataifa ya nje. Wengi mataifa ya Afrika wanajidanganya kuwa hata wao kuna siku wanaweza fanya kama walivyofanya wananchi wa Sri Lanka ukweli ni kwamba kamwe haiwezi tokea.
NB: Ukiona Rais anapinduliwa au anauliwa ujue kuna mkono wa Idara a Usalama au mataifa ya nje.
Hivi majuzi kumetokea vurugu huko nchini Sri Lanka baada ya wananchi kutoka kila nyanja ya maisha kuingia ikulu ya Raisi na makazi ya Waziri Mkuu kuwataka kujiuzuru na hadi wakati huu bado wananchi wanaendelea kukalia makazi na ofisi hizo hadi pale viongozi hao watakapo jiuzuru.
Kwa picha ya kawaida tunaweza sema wale ni wananchi ndio waliofanya au wanaotaka kuitoa madarakani Serikali ila ukweli ni kwamba nyuma ya pazia ni kuna mkono wa mfumo na idara za usalama au nguvu toka mataifa ya nje. Wengi mataifa ya Afrika wanajidanganya kuwa hata wao kuna siku wanaweza fanya kama walivyofanya wananchi wa Sri Lanka ukweli ni kwamba kamwe haiwezi tokea.
NB: Ukiona Rais anapinduliwa au anauliwa ujue kuna mkono wa Idara a Usalama au mataifa ya nje.