Konseli Mkuu Andrew
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 749
- 875
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi ni kama toilet paper, idara za siri zikitaka jambo huwatumia wananchi bila wao kujua kama wanatumikaWananchi wakiamua lao hakuna linaloshindikana....nyie endeleeni kuwachosha tu wananchi siku wakichoka ndo utajua hujui
bro usipinge sana,kila kitu kinawezekana hapa duniani.yawezekana walifanya wao lakini lazima tujihoji maswali kadhaa.Umejenga hoja nyepesi sana nilivyoona tittle nikajua humu kuna madini kwelikweli lakini umeniprove wrong,wale ni wananchi wa Sli Lanka waliochoshwa na ugumu wa maisha hakuna mkono wa mtu wala nini,unataka kutwambia kwamba hadi suala la nchi kukosa mafuta kabisa kuna mkono wa mtu?