Mkuu, hivi ilikuaje miaka ileeee ukwa unakatiza mitaani na boonge la pikipiki ambayo haina plate numbers...😂 then ikaja ikakuburuza hadi ukachakaa....🤣 hili tukio hua nikikumbuka hua nacheka sana...😜Yes CCM wanasema kweli, na huu ndio uelimishaji umma wenyewe kuhusu hii IGA. IGA sio mkataba, ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA bado, utakuwa ni mkataba mzuri.
P
Njaa kitu mbaya, elimu na weledi vinafuatika unabaki uchawaYes CCM wanasema kweli, na huu ndio uelimishaji umma wenyewe kuhusu hii IGA. IGA sio mkataba, ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA bado, utakuwa ni mkataba mzuri.
P
Sentensi ya hapo juu wamekiri kuwa ni mkataba wewe unasema makubaliaono so kipi sahihi bwana mayallaYes CCM wanasema kweli, na huu ndio uelimishaji umma wenyewe kuhusu hii IGA. IGA sio mkataba, ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA bado, utakuwa ni mkataba mzuri.
P
Na swali lingine pia. Bunge huwa linapitisha makubaliano au mkataba? Naombeni kuelimishwa🥺.Ni kwanini walikubali kutia saini hayo mnayoita makubaliano?, kwanini wasingesubiri kusaini mkataba?
Kwanini IGA ilikuwa lazima ipitishwe na bunge hivyo kuwa mkataba wa kisheria?Mwenye taarifa anijuze kabla TICTS hajapewa mkataba pale bandarini ni nchi ipi iliingia makubaliano ya awali (IGA) na bongolala kabla huyo TICTS hajasaini HGA, maana tusiendelee kujazana ujinga..
DuhNimekumbuka enzi za ufafanuzi wa JK... mnaitana wazee wa Dar es salaam, nje mnapitia kwanza vibahasha vya kaki na sambusa kwa soda kisha mnaingizwa ukumbini.
Mnaanza kusifia namna alivyopasuliwa tezi dume kisha mwenyekiti JK anatoa ufafanuzi uliojaa ghilba, vijembe kejeli na mipasho wazee wanapiga makofi ufafanuzi kwisha!!
Halafu unajifanya mwana inteligensiaYes CCM wanasema kweli, na huu ndio uelimishaji umma wenyewe kuhusu hii IGA. IGA sio mkataba, ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA bado, utakuwa ni mkataba mzuri.
P
Tatizo kubwa sio kutokuusoma mkataba bali ni uwezo mdogo wa akili uliochanganyika na unafiki. Kwa hiyo hata wakisoma hawaelewi.Tatizo la CCM anayetoa ufafanuzi yeye mwenyewe hajausoma
Aibu kubwa snTatizo kubwa sio kutokuusoma mkataba bali ni uwezo mdogo wa akili uliochanganyika na unafiki. Kwa hiyo hata wakisoma hawaelewi.
Na kimsingi kiongozi yeyote wa CCM amenyimwa uwezo wa kufikiri, anachoruhusiwa ni kukariri tu kile anachotaka mwenyekiti. Hawa watu wanatembea bila akili, kwa sababu kwao akili hazina kazi. Kazi ya kufikiri ameachiwa mwenyekiti.
Yes CCM wanasema kweli, na huu ndio uelimishaji umma wenyewe kuhusu hii IGA. IGA sio mkataba, ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA bado, utakuwa ni mkataba mzuri.
P
Japo mkataba ni HGA, na bado, lakini sisi wenzenu wenye jicho la 3, mkataba tumeisha uona.Umeusoma mkuu au ni bahasha?
Mayala maana yakeYes CCM wanasema kweli, na huu ndio uelimishaji umma wenyewe kuhusu hii IGA. IGA sio mkataba, ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA bado, utakuwa ni mkataba mzuri.
P
Wew ukitaka ufafanuliwe vipi kwanza embu elezea kidogoHuo ufafanuzi watauelewa wajinga wenzao sio mtu mwenye akili timamu
Wongo m2pu