Tunawashukuru sana Marekani kwa kukikata meno kikosi cha Wasiojulikana!

Mulaga akasema anaenda kupumzisha akili wakati akili zenyewe hana.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani alishakosoa kwa lugha nzuri hata kama ni mipasho akauliwa?
 
HUwezi kulinganisha suala la mauaji ya kisiasa na janga la kitu kama Coronavirus. Adjust your thinking.
My thinking doesn't need no adjustment, hao wamarekani ni watu wa kutazama uhalali wa maslahi yao. Mauaji ya kisiasa duniani msingi wake ni CIA, walimuua Lumumba kwa maslahi ya Belgium na ya kwao pia.

Wameuua wanasiasa wengi amerika ya kusini kwa maslahi yao ya kibepari. Hawana uhalali wa kimaadili wa kuongelea mauaji ya ndani ya nchi moja tu ya afrika.
 
Mtamteka? Na akina nani? Nchi hii inafanya kazi kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi acha kubwabwaja.
Unanijua Katiba au unajua jina tu la Katiba?
Hivi mkuu ni sheria ipi ilimpa haki Makonda kuvamia Clouds Media au Tundu Lissu kupigwa risasi?
MUNGU IBARIKI USA
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU MBARIKI POMPEO
 

Tunajua wamarekani ni wanafiki, ila hatujali hilo, ili mradi wanatetea watu wanaokandamizwa na walevi wa madaraka hapa nchini tunawaunga mkono. Bora kujipendekeza kwa mmarekani mnafiki kuliko kiongozi wetu mkatili.
 
Nani alishakosoa kwa lugha nzuri hata kama ni mipasho akauliwa?
Kulinganisha wapinzani na corona ni lugha nzuri? Kusema Zitto auwawe ni lugha nzuri? Hebu nambie ni extreme zipi zisizovumilika katika lugha ambazo wapinzani walitoa hadi kuhukumiwa kifo? Yale anayosema Tundu Lissu? Yale aliyosema Ben Saanane humu JF?

Au tukukumbushe lugha za Wabunge dhidi ya wapinzani Bungeni ambazo wabunge wa chama tawala wanakenulia meno na spika hakemei? Huo ndio ustaarabu wainzani wanakosa?
 
Unanijua Katiba au unajua jina tu la Katiba?
Hivi mkuu ni sheria ipi ilimpa haki Makonda kuvamia Clouds Media au Tundu Lissu kupigwa risasi?
MUNGU IBARIKI USA
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU MBARIKI POMPEO
Jinai haina mwisho,ipo siku hao waliompiga Tl risasi dola itawapata. Lakini hata huko Usa askari wanapiga raia weusi risasi na maandamano kila mara kulaani haya matukio. Kwa hiyo Pompeo haoni hayo?
 
Tunajua wamarekani ni wanafiki, ila hatujali hilo, ili mradi wanatetea watu wanaokandamizwa na walevi wa madaraka hapa nchini tunawaunga mkono. Bora kujipendekeza kwa mmarekani mnafiki kuliko kiongozi wetu mkatili.
HUyo huyo mnafiki unayemjua wewe hawezi kuwa na hizo sifa nyingine ulizozitaja, huo unafiki peke yake unapingana na hizo sifa nyingine ulizompa mmarekani.
 
Mtamteka? Na akina nani? Nchi hii inafanya kazi kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi acha kubwabwaja.

Tuna uwezo wa kutambua sheria na katiba zinapofanya kazi, na matumizi mabaya ya madaraka. Hilo kundi la watu wasiojulikana linapewa nguvu na viongozi wanaotumia vibaya madaraka fullstop.
 
You still need to adjust your thinking. Wajerumani kwa kuwa waliwaua Wayahudi basi leo hii tuamue Wajerumani si watu wazuri?
 
Wape ndukum sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…