Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,117
- 4,772
Kwani ninyi mliopo humu kuisifia serikali mnatarajiwa kuafiki lolote "linaloichafua serikali tukufu"?Kuna kupenyezewa basi? Mtu tu kaamua kukurupuka mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ninyi mliopo humu kuisifia serikali mnatarajiwa kuafiki lolote "linaloichafua serikali tukufu"?Kuna kupenyezewa basi? Mtu tu kaamua kukurupuka mwenyewe
Inamaana kazi imesimama mwaka mzima?! Mbona wamekuwa wanasema kazi inaendelea vizuri.
kama hakuna faida tukilikimbiza kwanini waingie risk? waachwe walau wazunguke tupate vitoto vichotara huko rufiji. manake kwa waturuki hiyo reli ya kati tayari wadada zetu wamejiongeza balaa, wanatotoa vitoto mno hadi vijijini. kwa wale waliowahi kuishi mbeya, kule kiwira kulikuwa na makaa ya mawe, kulikuwa na wachina, kuna wachina wa kinyakyusa kibao tu kule, mdada mzurii ila ana macho ya kichina na kalio lililofyatuka na hamjui baba yake kabisa. too bad. juzi nilipita pale dodoma nikaenda nyerere square, nikakuta mturuki mmoja anamendea wadada hadi anatia huruma. si unajua wenzetu wanataka kutongoza kiulayaulaya, hawajui kibongobongo...kuna nadharia kwamba bwawa la ukubwa wa Stieglar haliwezi kujengwa ndani miaka 3 kama walivyoahidi Magufuli na Kalemani.
Mpango ni zao la uongo uleule wa Magu.Wote hatuna uhakika
VP Mpango alitueleza kazi inaendelea picha ya changamoto Chache hivyo tuliweke kwenye mabano
Mnapata faida gani kutunga uongo? Kampuni ninayo fanya kazi ina mkataba kwenye huo mradi, kazi inaendelea hadi leo. Hizo taarifa zako umepata wapi?Yasemekana walifungasha virago tangu Novemba mwaka 2020. Pesa ya kulipa ilikuwa hakuna.
Baada ya fedha ya korona kupatikana sasa tumetenga kiasi fulani cha kuwalipa hao makandarasi na kuwaomba warudi kazini.
Hongera mama
My take:-
Jiwe alikuwa shetani wa akili lkn binadamu wa mwili. Aliongopa na kutufanya sote wajinga
Kuna mdada nimemuuzia upande wa kiwanja changu,anajengewa jumba na mturuki wa SGR,ana kimimba muda huu[emoji2297]kama hakuna faida tukilikimbiza kwanini waingie risk? waachwe walau wazunguke tupate vitoto vichotara huko rufiji. manake kwa waturuki hiyo reli ya kati tayari wadada zetu wamejiongeza balaa, wanatotoa vitoto mno hadi vijijini. kwa wale waliowahi kuishi mbeya, kule kiwira kulikuwa na makaa ya mawe, kulikuwa na wachina, kuna wachina wa kinyakyusa kibao tu kule, mdada mzurii ila ana macho ya kichina na kalio lililofyatuka na hamjui baba yake kabisa. too bad. juzi nilipita pale dodoma nikaenda nyerere square, nikakuta mturuki mmoja anamendea wadada hadi anatia huruma. si unajua wenzetu wanataka kutongoza kiulayaulaya, hawajui kibongobongo.
kama hakuna faida tukilikimbiza kwanini waingie risk? waachwe walau wazunguke tupate vitoto vichotara huko rufiji. manake kwa waturuki hiyo reli ya kati tayari wadada zetu wamejiongeza balaa, wanatotoa vitoto mno hadi vijijini. kwa wale waliowahi kuishi mbeya, kule kiwira kulikuwa na makaa ya mawe, kulikuwa na wachina, kuna wachina wa kinyakyusa kibao tu kule, mdada mzurii ila ana macho ya kichina na kalio lililofyatuka na hamjui baba yake kabisa. too bad. juzi nilipita pale dodoma nikaenda nyerere square, nikakuta mturuki mmoja anamendea wadada hadi anatia huruma. si unajua wenzetu wanataka kutongoza kiulayaulaya, hawajui kibongobongo.
hao waturuki wanalipwa pesa kwa kiwango cha ulaya, wana pesa balaa wacha wazisambaze tu hapa bongo. na wakifanya mchezi lazima kwao warudi na ngoma.hawawajui dada zetu hawa.Kuna mdada nimemuuzia upande wa kiwanja changu,anajengewa jumba na mturuki wa SGR,ana kimimba muda huu[emoji2297]
hoja ya mazingira ilikosa mashiko tangu awali, ila hayo mengine umesema kweli...Ni vizuri taratibu za KIUFUNDI zikazingatiwe.
..mradi mkubwa na wa kimkakati kama Stieglers hautakiwi kutekelezwa KISIASA.
..jambo lingine ni suala la MAZINGIRA ambalo lilifunikwafunikwa na watendaji wa awamu ya 5.
..mwisho, ni FEDHA za mradi ni lazima ijulikane tumekopa wapi na kwa masharti gani.
hoja ya mazingira ilikosa mashiko tangu awali, ila hayo mengine umesema kweli.
hebu fafanua vizuri, hiyo issue ya mazingira. ndio tuendelee na mjadala...hoja ya mazingira ilipotoshwa na serikali.
..hawakutaka suala hilo lijadiliwe kwa uwazi na kwa uzito unaostahili.
..tunatakiwa tuzichambue changamoto za kimazingira na tujipange kukabiliana nazo.
Walisema Disemba 2019 tungeanza kusafiria SGR Dar mpaka Moro..mpaka yule Mbilikimo kafa kwa Corona hakuna hata majaribio na December nyengine inapitaHawana hela mkuu. Hata SGR kuna ngonjera nyingi sana za kipande cha Dar -Moro. Tuliambiwa kingekuwa kishaanza kutumika lkn mpk leo ziii
Mwenyewe angekuwepo mambo yangeenda vile vile.Nilikuwa kwenye ziara Marais wastaafu na Mawaziri wakuu wastaafu na pia niilikuwepo ziara ya Vice President, unachosema Sexless is not true. Lakini kazi imechelewa na haitamalizika kwa wakati, iko very slow kwa kinachoitwa changamoto za hapa na pale
Sio kweli, mradi unaendelea kama kawaida. Ila shida unaweza usimalizike kwa wakati
Hili nililiwaza hata mimi,ingawa sikuwa na details.
Serekali ilikiuka mkataba kwa kuchelewesha malipo..hebu acha ushabiki usio na maarifaMnapata faida gani kutunga uongo? Kampuni ninayo fanya kazi ina mkataba kwenye huo mradi, kazi inaendelea hadi leo. Hizo taarifa zako umepata wapi?
Hata libarabara la mbezi kimara Kibaha inayokatiza kwenye makazi yaliobomolewa kidhalimu akidhani ataish milele bado inasuasua laana tu.Hawana hela mkuu. Hata SGR kuna ngonjera nyingi sana za kipande cha Dar -Moro. Tuliambiwa kingekuwa kishaanza kutumika lkn mpk leo ziii