Tunaweza kuwa tumeenda Misri kuwapigia magoti makandarasi wa JNHPP?

Tunaweza kuwa tumeenda Misri kuwapigia magoti makandarasi wa JNHPP?

hebu fafanua vizuri, hiyo issue ya mazingira. ndio tuendelee na mjadala.

..sikiliza alichokisema Mh.Dr.Kigwangala ktk mjadala bungeni.

..kuna taarifa za masuala ya mazingira ambazo serikali ya awamu ya 5 ilikuwa inazificha.

..msikilize Mh.Kigwangala hapa chini kuanzia dakika 2:40.

 
Yasemekana walifungasha virago tangu Novemba mwaka 2020. Pesa ya kulipa ilikuwa hakuna.

Baada ya fedha ya korona kupatikana sasa tumetenga kiasi fulani cha kuwalipa hao makandarasi na kuwaomba warudi kazini.

Hongera mama

My take:-
Jiwe alikuwa shetani wa akili lkn binadamu wa mwili. Aliongopa na kutufanya sote wajinga
Wewe muongo,waziri mkuu ,makamu wa rais alikwenda akasema kazi inaendesha vizuri.

Huyo Mwendazake kaingiaje hapo?
Roho yako ya korosho itakuletea vidonda vya tumbo,kazana kuwa na uchungu.
 
Yasemekana walifungasha virago tangu Novemba mwaka 2020. Pesa ya kulipa ilikuwa hakuna.

Baada ya fedha ya korona kupatikana sasa tumetenga kiasi fulani cha kuwalipa hao makandarasi na kuwaomba warudi kazini.

Hongera mama

My take:-
Jiwe alikuwa shetani wa akili lkn binadamu wa mwili. Aliongopa na kutufanya sote wajinga
Mhh kamba hizo.
 
Hakuna kinachoendelea kule zaidi ya kupalilia njia na kufanya usafi
Umewahi kufika? Au ndio unahisi, anyway ...Kazi zinaendelea kama kawaida, hazijawahi Simama, na certificate ya Mwisho Wamelipwa last month,
Watanzania tujifunze kuwa wakweli, kama huna information kukaa kimya ni uungwana, ipo siku mtaambiwa mkaprove maneno yenu ndio mnabaki oooh Serikali inanyanyasa
 
chapwa24 ,

..sikiliza kwenye video kuanzia dakika 4:50, Mzee Kikwete amefafanua changamoto ya mazingira.

 
Wote hatuna uhakika
VP Mpango alitueleza kazi inaendelea picha ya changamoto Chache hivyo tuliweke kwenye mabano
Kazi zinaendelea kama kawaida, na hawa Contractors wanalipwa kila waki raise certificate, na wanalipa ushuru wa huduma kwa Halmashauri ya Morogoro, Kinondoni na Rufiji kila robo...
 
Yasemekana walifungasha virago tangu Novemba mwaka 2020. Pesa ya kulipa ilikuwa hakuna.

Baada ya fedha ya korona kupatikana sasa tumetenga kiasi fulani cha kuwalipa hao makandarasi na kuwaomba warudi kazini.

Hongera mama

My take:-
Jiwe alikuwa shetani wa akili lkn binadamu wa mwili. Aliongopa na kutufanya sote wajinga
Unajipiga k.i.d.o.l.e mwenyewe kisha unashtuka mwenyewe.
 
Nilikuwa kwenye ziara Marais wastaafu na Mawaziri wakuu wastaafu na pia niilikuwepo ziara ya Vice President, unachosema Sexless is not true. Lakini kazi imechelewa na haitamalizika kwa wakati, iko very slow kwa kinachoitwa changamoto za hapa na pale
Changamoto sio fedha
 
Wewe muongo,waziri mkuu ,makamu wa rais alikwenda akasema kazi inaendesha vizuri.

Huyo Mwendazake kaingiaje hapo?
Roho yako ya korosho itakuletea vidonda vya tumbo,kazana kuwa na uchungu.
Aalijipanga tuu kutuaminisha....hivi unafikiri hata kama mradi umesimama atadhubutu kusema ukweli?? Balaa lake litakua sio dogo
 
Inamaana kazi imesimama mwaka mzima?! Mbona wamekuwa wanasema kazi inaendelea vizuri.
Ww ulikuwa unamwamini yule ibilisi? Huoni Nape anataka fedha zilizokopwa zichunguzwe zimeenda wapi, ila kumetokea povu la hatari toka kwa misukule ya dhalimu? Hali ni mbaya kupita maelezo, ndio sababu zimekuja tozo kandamizi kulipa mikopo ya hatari.
 
Ww ulikuwa unamwamini yule ibilisi? Huoni Nape anataka fedha zilizokopwa zichunguzwe zimeenda wapi, ila kumetokea povu la hatari toka kwa misukule ya dhalimu? Hali ni mbaya kupita maelezo, ndio sababu zimekuja tozo kandamizi kulipa mikopo ya hatari.
Dhalimu aliuhadaa umma
 
Yasemekana walifungasha virago tangu Novemba mwaka 2020. Pesa ya kulipa ilikuwa hakuna.

Baada ya fedha ya korona kupatikana sasa tumetenga kiasi fulani cha kuwalipa hao makandarasi na kuwaomba warudi kazini.

Hongera mama

My take:-
Jiwe alikuwa shetani wa akili lkn binadamu wa mwili. Aliongopa na kutufanya sote wajinga
Pumbavu zako pesa mmezipiga nyinyi nahao wazee wenu mafisadi halafu leo muna mwangushia mzigo muzee wawatu kengewewe
 
Yasemekana walifungasha virago tangu Novemba mwaka 2020. Pesa ya kulipa ilikuwa hakuna.

Baada ya fedha ya korona kupatikana sasa tumetenga kiasi fulani cha kuwalipa hao makandarasi na kuwaomba warudi kazini.

Hongera mama

My take:-
Jiwe alikuwa shetani wa akili lkn binadamu wa mwili. Aliongopa na kutufanya sote wajinga
Cheki huyu mjinga mmoja
 
Yasemekana walifungasha virago tangu Novemba mwaka 2020. Pesa ya kulipa ilikuwa hakuna.

Baada ya fedha ya korona kupatikana sasa tumetenga kiasi fulani cha kuwalipa hao makandarasi na kuwaomba warudi kazini.

Hongera mama

My take:-
Jiwe alikuwa shetani wa akili lkn binadamu wa mwili. Aliongopa na kutufanya sote wajinga
Kumbe inasemekana??


Unafiki mbaya SANA
 
Yasemekana walifungasha virago tangu Novemba mwaka 2020. Pesa ya kulipa ilikuwa hakuna.

Baada ya fedha ya korona kupatikana sasa tumetenga kiasi fulani cha kuwalipa hao makandarasi na kuwaomba warudi kazini.

Hongera mama

My take:-
Jiwe alikuwa shetani wa akili lkn binadamu wa mwili. Aliongopa na kutufanya sote wajinga
ukiongea uwe na akili ,kusema kwamba walifungasha virago novemba ina maana kiongozi mpango alivyoenda kutembelea mradi alikuta magofu bila wafanyakazi? pumbaf kabisa
 
ukiongea uwe na akili ,kusema kwamba walifungasha virago novemba ina maana kiongozi mpango alivyoenda kutembelea mradi alikuta magofu bila wafanyakazi? pumbaf kabisa
Walikuwepo walinzi na wafagiaji. Na mkandarasi aliyekuwa amebakia ni wa ndani asiye na uzoefu. Hata Mpango alilalama kwamba mkandarasi aliyekuweoo ni learner. Fuatilia utaona.
 
huwezi kukubali tu kama punguani kwa vitu visivyo na uthibitisho, aje na data sio ngojera
Waziri kasema haiwezekani kuruhusu maji kwenda bwawani kufikia mwakani mwezi machi ...unajua sababu yake?

Waziri kasema kuvhepusha maji kamwe haitafanyika mwezi huu eti hakuna winchi.....unajua sababu za uwongo huu?

Unataka data gani zaidi?
 
Watu wengine bwanaaaa ....unaweza juwa akilo ya mtu kitokana na ugolo anaoandika.
 
Back
Top Bottom