Tunaweza kuwa tumeenda Misri kuwapigia magoti makandarasi wa JNHPP?

Tunaweza kuwa tumeenda Misri kuwapigia magoti makandarasi wa JNHPP?

Moderator huyu anatutukania tusi baya hivi mpendwa wetu Dkt Magufuli wala hamjampiga BAN kwa nini? Tunaomba sheria zichukue mkondo wake, sisi mashabiki na wapenzi kindakindaki wa Dkt Magufuli hatukubali mpendwa wetu kudhalilishwa, hata kama keshafariki, tutamtetea siku zote!
Mbona hajamtaja Magufuli kwenye hayo maelezo yake..acha uchonganishi

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Yasemekana walifungasha virago tangu Novemba mwaka 2020. Pesa ya kulipa ilikuwa hakuna.

Baada ya fedha ya korona kupatikana sasa tumetenga kiasi fulani cha kuwalipa hao makandarasi na kuwaomba warudi kazini.

Hongera mama

My take:-
Jiwe alikuwa shetani wa akili lkn binadamu wa mwili. Aliongopa na kutufanya sote wajinga
Unadhani kazi ya ukandarasi inaendeshwa bila utaratibu
 
Yasemekana walifungasha virago tangu Novemba mwaka 2020. Pesa ya kulipa ilikuwa hakuna.

Baada ya fedha ya korona kupatikana sasa tumetenga kiasi fulani cha kuwalipa hao makandarasi na kuwaomba warudi kazini.

Hongera mama

My take:-
Jiwe alikuwa shetani wa akili lkn binadamu wa mwili. Aliongopa na kutufanya sote wajinga
Chuki zitawaxeesha Magufuli machine kubwa utatapika damu.Mitadi yake lazima ukamilishe vinginevyo hutaamini kitakachotokea
 
Miradi yake lazima ukamilishe vinginevyo hutaamini kitakachotokea
Nini kitatokea wewe sukuma gang?? Acha kutisha watu zama za shetani zimepita na mambo yake yote.

Ikulu ilikuwa na shetani...by Askofu Mwingira
 
Back
Top Bottom