Mavipunda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 7,072
- 7,891
Mbona hajamtaja Magufuli kwenye hayo maelezo yake..acha uchonganishiModerator huyu anatutukania tusi baya hivi mpendwa wetu Dkt Magufuli wala hamjampiga BAN kwa nini? Tunaomba sheria zichukue mkondo wake, sisi mashabiki na wapenzi kindakindaki wa Dkt Magufuli hatukubali mpendwa wetu kudhalilishwa, hata kama keshafariki, tutamtetea siku zote!
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app