Tunaweza kuwa tumeenda Misri kuwapigia magoti makandarasi wa JNHPP?

Tunaweza kuwa tumeenda Misri kuwapigia magoti makandarasi wa JNHPP?

Yasemekana walifungasha virago tangu Novemba mwaka 2020. Pesa ya kulipa ilikuwa hakuna.

Baada ya fedha ya korona kupatikana sasa tumetenga kiasi fulani cha kuwalipa hao makandarasi na kuwaomba warudi kazini.

Hongera mama

My take:-
Jiwe alikuwa shetani wa akili lkn binadamu wa mwili. Aliongopa na kutufanya sote wajinga
Kwani samia.si mwongo tu kama Magufuli ccm ni ile ile
 
Ila Raisi kwenda kutalii Misri wakati tunamdai Katiba Mpya sio poa.
Naomba nielezee mafanikio tutakayo yapata kupitua katiba mpya. Maana hatlali, kila siku ni swala la katiba mpya. I aonekana kama katiba mpya ni muarobaini wa wa maendeleo vile?

Sikiliza mkuu Tunisia wanajitawala wenyewe paoja na mabadiliko ya katiba na demokrasia waliyo jipatia wenyewe. Maendeleo mpaka sasa ni Zero! Jiulize kwa nini? Hapo ndiyo utabini kuwa katiba mpya nanuchaguzi huru sii Fundament ya maendeleo. Msingi wa maendeleo ni kazi kazi kazi. Huwezi ukazurura mitaani ukidai kuwa una uhuru wakati huna shughuli ya kufanya. Njaa na mauti yatakuingia tu.
 
Nilikuwa kwenye ziara Marais wastaafu na Mawaziri wakuu wastaafu na pia niilikuwepo ziara ya Vice President, unachosema Sexless is not true. Lakini kazi imechelewa na haitamalizika kwa wakati, iko very slow kwa kinachoitwa changamoto za hapa na pale
Yani kazi inachelewa Kwa changamoto za hapa na pale
Una maana hizo changamoto hazina majina
 
Yasemekana walifungasha virago tangu Novemba mwaka 2020. Pesa ya kulipa ilikuwa hakuna.

Baada ya fedha ya korona kupatikana sasa tumetenga kiasi fulani cha kuwalipa hao makandarasi na kuwaomba warudi kazini.

Hongera mama

My take:-
Jiwe alikuwa shetani wa akili lkn binadamu wa mwili. Aliongopa na kutufanya sote wajinga
Ripoti rasmi ya mradi inasema mradi ulikuwa unakwenda kasi sana kabla ya Machi 17, 2021. Lakini baada ya hapo wakandarasi walianza kuwa na mashaka na kuendelea na mradi maana HAWAKUWA NA UHAKIKA wa kulipwa pesa zao. Hivyo wakaamua kusuasua. Ziara ya Mama huenda ilikuwa ni kuwaaminisha ya kwamba ataweza kuwalipa baada ya kuweka TOZO! Viva Magufuli! Viva Jabali la Afrika la Kipindi chetu!!!
 
Nafikiri aliyempenyezea hiyo habari hakuwa na taarifa kamili
Hakika mkuuu watu humu Jf wanaongoza kwa kupiga ramli chonganishi kama kweli rais aje aseme nataka kutumia mawazo ya Jf kuongoza Taifa basi watu watatoa mawazo kma ya watoto
 
Kazi zinaendelea kama kawaida, na hawa Contractors wanalipwa kila waki raise certificate, na wanalipa ushuru wa huduma kwa Halmashauri ya Morogoro, Kinondoni na Rufiji kila robo...
Kwanini kinondoni ilipwe ushuru?
 
Source tafadhali sio kubwabwaja.
Kama unaona mimi nina bwabaja basi nafikiri uwezo wako wa kulinganisha maisha ya nchi moja na nyingine huna. Ungejaliwa huwezo huo nafikiri ungekuwa una simulia mambo mengine badala ya kukandia hoja za watu ambao wamepata exposure za ulimwengu.

Keya ina katiba ambayo hao makachero wako akina Lissu na wenzake wanaisifia, kwa hali hii toka mwaka 2013 wa-introduce hiyo katiba mpya naomba angalia hali ya maisha yao na uchumi wao imefikia wapi? Ukilitambua hilo naomba njoo tena hapa kuchangia hoja.

Naomba pia yaangalie mambo anayo yafanya waziri mkuu wa Kenya Mh. Ruto. Kabla hata siku za uchaguzi kuanza yeye mda wote anahangaika na maswala ya uchaguzi badala ya ku-concentrate na matatizo yanayo wakabili wakabili wananchi wake. Hiyo ni Absurd!
 
Kama unaona mimi nina bwabaja basi nafikiri uwezo wako wa kulinganisha maisha ya nchi moja na nyingine huna. Ungejaliwa huwezo huo nafikiri ungekuwa una simulia mambo mengine badala ya kukandia hoja za watu ambao wamepata exposure za ulimwengu.

Keya ina katiba ambayo hao makachero wako akina Lissu na wenzake wanaisifia, kwa hali hii toka mwaka 2013 wa-introduce hiyo katiba mpya naomba angalia hali ya maisha yao na uchumi wao imefikia wapi? Ukilitambua hilo naomba njoo tena hapa kuchangia hoja.

Naomba pia yaangalie mambo anayo yafanya waziri mkuu wa Kenya Mh. Ruto. Kabla hata siku za uchaguzi kuanza yeye mda wote anahangaika na maswala ya uchaguzi badala ya ku-concentrate na matatizo yanayo wakabili wakabili wananchi wake. Hiyo ni Absurd!

..mbona hapa Tz uchaguzi ni 2025 lakini Samia tayari anahangaika nao na amezuia wenzake kugombea ndani ya ccm?

..halafu unasema Kenya hawajafaidika na katiba mpya. Kwa hiyo katiba mpya sio muhimu.

..Sasa hebu tueleze Tanzania tunafaidika vipi na katiba hii kongwa ya mwaka 1977? Mbona na sisi tumegota kiuchumi, tena inaelekea kuzidi Wakenya?

..Tunatakiwa TUBORESHE mambo yetu from time to time. Katiba ziboreshwe. Elimu iboreshwe. Miundombinu iboreshwe. Nk nk.
 
Yasemekana walifungasha virago tangu Novemba mwaka 2020. Pesa ya kulipa ilikuwa hakuna.

Baada ya fedha ya korona kupatikana sasa tumetenga kiasi fulani cha kuwalipa hao makandarasi na kuwaomba warudi kazini.

Hongera mama

My take:-
Jiwe alikuwa shetani wa akili lkn binadamu wa mwili. Aliongopa na kutufanya sote wajinga
Nimeenda pale marambili ndani ya mwaka 2021 na kazi zilikuwa zinaendelea na mara ya mwisho nimefika mwezi October walikuwa wanajiandaa kuanza kujaza bwawa sasa hizo ngonjera za vijiweni achaneni nazo
 
Yasemekana walifungasha virago tangu Novemba mwaka 2020. Pesa ya kulipa ilikuwa hakuna.

Baada ya fedha ya korona kupatikana sasa tumetenga kiasi fulani cha kuwalipa hao makandarasi na kuwaomba warudi kazini.

Hongera mama

My take:-
Jiwe alikuwa shetani wa akili lkn binadamu wa mwili. Aliongopa na kutufanya sote wajinga
Moderator huyu anatutukania tusi baya hivi mpendwa wetu Dkt Magufuli wala hamjampiga BAN kwa nini? Tunaomba sheria zichukue mkondo wake, sisi mashabiki na wapenzi kindakindaki wa Dkt Magufuli hatukubali mpendwa wetu kudhalilishwa, hata kama keshafariki, tutamtetea siku zote!
 
Nimeenda pale marambili ndani ya mwaka 2021 na kazi zilikuwa zinaendelea na mara ya mwisho nimefika mwezi October walikuwa wanajiandaa kuanza kujaza bwawa sasa hizo ngonjera za vijiweni achaneni nazo
Bado una mtazamo wako huu? Ya kwamba wanajiandaa kujaza bwawa? Mageti 14 kila moja lenye tani 26 kila moja likiwa na winchi yake permanent yamefika??

Barabara ya km 126 ya lami njia 4 iko tayari? Hili bwawa mazee lina ngonjera hatari!
 
Bado una mtazamo wako huu? Ya kwamba wanajiandaa kujaza bwawa? Mageti 14 kila moja lenye tani 26 kila moja likiwa na winchi yake permanent yamefika??

Barabara ya km 126 ya lami njia 4 iko tayari? Hili bwawa mazee lina ngonjera hatari!
Walete ngonjera wasilete hiyo project imewakaba kooni lazima ikamilike ni suala la muda tu
 
Yasemekana walifungasha virago tangu Novemba mwaka 2020. Pesa ya kulipa ilikuwa hakuna.

Baada ya fedha ya korona kupatikana sasa tumetenga kiasi fulani cha kuwalipa hao makandarasi na kuwaomba warudi kazini.

Hongera mama

My take:-
Jiwe alikuwa shetani wa akili lkn binadamu wa mwili. Aliongopa na kutufanya sote wajinga
Yasemekana una msongo wa mawazo unaosababishwa na kuwa Sexless!
 
Back
Top Bottom