Tunaweza kuwa tumeenda Misri kuwapigia magoti makandarasi wa JNHPP?

Mbona hajamtaja Magufuli kwenye hayo maelezo yake..acha uchonganishi

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Unadhani kazi ya ukandarasi inaendeshwa bila utaratibu
 
Chuki zitawaxeesha Magufuli machine kubwa utatapika damu.Mitadi yake lazima ukamilishe vinginevyo hutaamini kitakachotokea
 
Miradi yake lazima ukamilishe vinginevyo hutaamini kitakachotokea
Nini kitatokea wewe sukuma gang?? Acha kutisha watu zama za shetani zimepita na mambo yake yote.

Ikulu ilikuwa na shetani...by Askofu Mwingira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…