Tunawezaje kuzuia double agents, inazidi na itazidi kuwa changamoto

jambo la ajabu siku hizi ni kua ni rahisi sana hawa watu kujulikana, hasa waliochukuliwa kipindi cha mwishoni cha msoga,
Ni kawaida sana watu wanakumbia tu yule sasa hivi ni usalama
Kuna shida mahali.
 
Kwenye ulikwengu wa ujasusi, hicho kitu kukizuia, lazima uweke mifumo ya ki usalama, sio upuuzi wa hapa kwetu, ukiwa kada wa CCM, ni tiketi tosha ya kuwa intelijensi officer,
Kama iliwezekana kupandikiza ma spy ndani ya FBI(Robert Hansen), CIA(Kim Philby), na kwingineko, inawezekana Sana, cha msingi lazima uwe na "counter intelijensi, foreign intelijensi service/agency iliyobobea ssana
 
Kwanza nakiri moja ya nchi ina agent wa kutosha ni Tanzania ijapokuwa tu kuna weledi fulani unakosekana hasa wa kuwadhibiti DA.
Ila pamoja na kuwa na agents wengi ila DA wapo wa kutosha sanaa wengi wanatumiwa na wazungu..
Ajabu sasa kuna wazungu wanakuja sijui kujitolea kusaidia watu sijui nini kumbeee wanachota taarifa mno mnoo..
Nimewahi meets na Mzungu tena wakike pangoni yupo alone wote tunaenda fanya uchunguzi wa mali kale..
Nilijiuliza sana huyu mpaka anafika huku agents wetu hawajamchunguza?
 
Hizo mishe za mali kale ni hatari mkuu! Huko ndio kuna baraa zaidi hahaha
 
Hizo mishe za mali kale ni hatari mkuu! Huko ndio kuna baraa zaidi hahaha
Ni kweli huko ndo kuna mizizi ya ajabu dunia asikwambie mtu..
Kudhulumiwa ni live kuuliwa ni live so inahitaji uwe na mzizi au kuuza kwa hasara..
Na ukweli ardhi yetu katika utajiri mkubwa ilo nao ni mawe na mali kale
Mercury ipo ya kutosha unga wake ndo kabisaa..
Ila ukitaka kutest kifo jiingize huko une.
Ila kama kuna locations za mambo hayo unazijua waweza nena nami mkuu..
 
Money . The grease that oils of much espionage. Na ujue pia the mzimu wa iazngra bado upo ndani ya kiota cha yule ndege mwenye acute eye sight
 
na pia uwe na financial muscles. Maana pesa huwa ina break silence when starts talks.
 
Huyo dogo wa kanda ya kati naona ana zurura duniani kote .... huwa najiuliza ni kazi hiyo hiyo ya misamiati migumu migumu ya kiswahili.. ( na haja soma kiswahili) na nani ana msponsor..

Pamoja na huyo pia ongezea

1. *M.KITI MJENGWAJI..
HUYU KAOA MZUNGU KABISA..
sijawahi kumuelewa huyu mwamba, mara nyingi kwenye page yake ana post yupo safarini . sidhani kama ni kazi zake za uandishi wa habari.. na yupo smart sana kichwani.. ingawa kuna kipindi alikumbwa na kashfa za kina Absalom Kibanda.

2 Maulid Kikoi".. ingawa huwa nahisi huyu ni chawa tu kama kina baba level.

3. SLOW SLOW
4. Seikh Mnyakyusa..
 
Mnaidharau sana idara yaani double agent ww ambae sio proffesional umjue halafu watu wenye taaluma zao wasimfahamu sio kweli amini upo salama ndugu yangu watu hawalali kwa ajili yako
Inawezekana mkuu usikatae
 
Dogo naweweseka ni op kikwete baada ya hapo dogo hatukujua kapotelea wapi time ya mwisho namkuta twitter misamiati push-up
 
Ila binadamu kwa namna tulivyojawa na husuda unaweza kukuta maelezo ya kwenye namba 1 na 2 yote hayana maana ila mlengwa wa mleta mada ni huyo "Kumbikumbi" aliyewekwa namba 3 ili tu kumharibia.
 
Fafanua kidogo hapo kwa SLOW SLOW
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…