Tunawezaje kuzuia double agents, inazidi na itazidi kuwa changamoto

Tunawezaje kuzuia double agents, inazidi na itazidi kuwa changamoto

Mlete mada utakuwa na chuki binafsi na Nkwabi, maana kama hoja ni ujana na kupenda mafanikio, Kwa ni wtz tu ndio wenye tamaa na mafanikio??
 
Mlete mada utakuwa na chuki binafsi na Nkwabi, maana kama hoja ni ujana na kupenda mafanikio, Kwa ni wtz tu ndio wenye tamaa na mafanikio??
sikuumbwa hivyo ndugu yangu, btw huyo Nkwabi ni nani, umeniacha kidogo
 
Yaani so called agent umuombe mpige picha tena kwa kumhonga akubali?Basi huyo "agent" ni njaa kali na sio tishio.Ma agent wengi identity zao na kutofahamika ndio A-Z ya kazi zao na usalama wao.
Njoo na mada ya maana kuhusu DA na sio hizi chai zinazotukana uwezo wetu wa kufikiri.
 
Idara gani unaizungumzia ndugu hii iliojaa uvccm nako unasema ni iadara mara ngapi majasusi ya kinyarwanda yapo full mitaa ya kwanzia Nyakahura hadi kahama hadi wengine wameoa na kuoa na wanaishi huku ni idara gani isiyokuwa na macho sembuse Ije igundue mtu aliefundwa akafundika?

Idara ilikuwa kipindi cha Nyerere hadi mkapa kidogo ilikuwa macho mno ila now ni twende sawa watoto wetu wasome shule nzuri na kula vizuri mengine majaaliwa

Do you know kuwa na sisi TZ tuna agents wetu ambao ni Wa TZ but are known as Kenya’s , wengine Rwanda hapo kwa kagame na Uganda pia. Ni watanzania lakini hawajulikani hivo

So kama unadhan TZ imelala ni kutokna na level yako ya understanding ya haya mambo
 
Sisi sio watu wa bidii sana. Zamani ndio tulikuwa na cha kuficha hasa mipango ya wapigania Uhuru wa ukanda wa SADC, makazi yao, majina yao, future yao.
Tuna nini cha kuficha sasa? Hata viongozi sioni kama tunawaandaa.
Tuna nini cha kupelekwa Kenya au Rwanda?
Hatupangi ushawishi dhidi ya serikali za nje. Tuna nini cha kuficha?
Tunafanya ujasusi wa kisasa utakaousadia nchi?
Vitu tunavyovifanya vingi ni vya kawaida ambavyo havihitaji double agents ila observation ya kawaida tu na trend reading.
Chombo cha kulindwa nchi hii ni CCM as party na zile organ zake.
Ujasusi wa CCM unatakiwa kuwa imara kuliko ujasusi wenyewe wa ngazi ya Taifa.
CCM inatakiwa kutunza siri kuliko hata inayotunzwa katika ngazi ya kitaifa.
CCM inatakiwa kutunza mifumo kuliko kawaida.
Mipango ya CCM ndio mipango ya Tanzania.

Hata Hawa TISS, taarifa zao wanapatia hapa JF na kuwapelekea mabosi zao, ni vijana tu wa shisha wengine form 4 leavers , sema kwa connection na kutoka familia gani wakapata fursa.

Idadi ya walioingia kwa brain zao ni chache kuliko wale wa mchongo. Ndio hao utasikia unanijua mm,

Kuna mmoja nilitaka kumtandika vibao maeneo ya coral beach, eti anatoa bastola just for simple misunderstanding ya parking , nilimfuta nikamwambia Faq U , rudisha bastola yako na nitakuja kukutandika vibao mbele ya Diwani. Wakati huo nishapiga hatua ninaongelea kwenye zero distance, then nikamsukumizia kwenye gari na kumuamuru washa gari na uondoke……. Nikajiuliza hawavijana hivi hata vetting wanafanyiwa kweli , vijana wa shisha hawajui ethics za kazi zao kabisa

Yaani Kachunwa na dereva Wa Uber kwenye road , atatoka na bastola, tena ile bastola old version . Watu kama hawa ndio wanaitwa intelligence ya Taifa, then mnataka kuwa na nchi ya mfano. Never . Hatuwezi kutoboa mpaka tujue tunapokosea na kuna baadhi ya taasisi hatupaswi kujaribu.

Sehemu ambayo ilihitaji kuwa na Watu wote brained ni TISS. Badala yake tumejaza vijana Wa shisha hawajui hata ethics za kazi, vetting zinapigwa za mchongo tu , . Mtu bogus plus form 4 leaver plus vetting ya mchongo, unategemea nini
 
Mkuu umenifanya nikumbuke kitabu cha kijasusi cha nyuma kidogo kinaitwa MPATANISHI. Double agents ni hatari kwa ustawi wa taifa
 
Hata Hawa TISS, taarifa zao wanapatia hapa JF na kuwapelekea mabosi zao, ni vijana tu wa shisha wengine form 4 leavers , sema kwa connection na kutoka familia gani wakapata fursa.

Idadi ya walioingia kwa brain zao ni chache kuliko wale wa mchongo. Ndio hao utasikia unanijua mm,

Kuna mmoja nilitaka kumtandika vibao maeneo ya coral beach, eti anatoa bastola just for simple misunderstanding ya parking , nilimfuta nikamwambia Faq U , rudisha bastola yako na nitakuja kukutandika vibao mbele ya Diwani. Wakati huo nishapiga hatua ninaongelea kwenye zero distance, then nikamsukumizia kwenye gari na kumuamuru washa gari na uondoke……. Nikajiuliza hawavijana hivi hata vetting wanafanyiwa kweli , vijana wa shisha hawajui ethics za kazi zao kabisa

Yaani Kachunwa na dereva Wa Uber kwenye road , atatoka na bastola, tena ile bastola old version . Watu kama hawa ndio wanaitwa intelligence ya Taifa, then mnataka kuwa na nchi ya mfano. Never . Hatuwezi kutoboa mpaka tujue tunapokosea na kuna baadhi ya taasisi hatupaswi kujaribu.

Sehemu ambayo ilihitaji kuwa na Watu wote brained ni TISS. Badala yake tumejaza vijana Wa shisha hawajui hata ethics za kazi, vetting zinapigwa za mchongo tu , . Mtu bogus plus form 4 leaver plus vetting ya mchongo, unategemea nini
Mkuu juu pale umenijibu vizuri na hapa pia umejijibu mwenyewe kuwa hatuna idara iliokomaa , lakini ukaishia kusema uelewa wangu ni mdogo ukaniona na mimi ni walewale et , sawa nashukuru kwa kutambua kuwa bado kama nchi tupo uchi
 
And they Say its the White Man I should Fear...., But its my Own Kind doing all the Killing Here....
Tupac Shakur.
On behalf of my loved brother, let me say thank you!! For that recognition,,
Thug life..
 
Kwa sehemu kubwa Tanzania imepekuliwa sana,mpaka nalia ,hebu fikiria sakata la wahamiaji toka nchi jifani wanafanya biashara hadi, umachinga,umamantilie,,ukahaba, na pia wageni wamejaa hadi kwenye taasisi za Serikali na binafsi,Wakurungwa chukueni hatua
 
1. Mara ya kwanza nipo Bole International Airport kwenye harakati zangu akanifuata binti mmoja mwenye asili ya Comoro na Zanzibar, nafikiri yule ni mshirazi (mbwera), akaniuliza maneno mawili matatu, nikamjibu nilivyoweza, akaniambia anatoka Zanzibar anaelekea Seychelles(ushelisheli), katika kuzoeana pale wakati tuko transit(almost 2hrs), nikagundua huyu si mtu wa kawaida, akili ikagonga, alikua amevalia hijab na niqab, lakini sura ilikua inaonekana vizuri sababu baada ya story kunoga alitoa niqab kiasi, kutest uhalisia ya yale mambo aliyokua akinieleza nikamuomba tupige selfie kadhaa, mwanzoni akakataa, nikaweka noti, then baadae akakubali, nikaweka noti pia, nikabaki na ukumbusho wa sura maana dunia kijiji kuna siku naweza kutana nae, kuhusu elimu yake kasoma Zanzibar, then Uingereza kwa ufadhili wa serikali ya Zanzibar, ni Pilot na vyeti alinionesha, ila majina alificha, akasema hana kazi, so hua anapenda kusafiri, sasa anaenda kufanya nn ushelisheli, akaniambia mara nyingi hua kuna ndugu zake anaenda kuonana nao, baadae nikagundua ni mtu mwenye mahusiano ya karibu na baadhi ya viongozi wa serikali ya Zanzibar na ushelisheli kwa pamoja, nikanote kitu, possibly anakula huku na huku.

2. Mara ya pili nimeenda kumuona kiongozi fulani wa kisiasa nchi jirani, kwa hisani ya rafiki yangu, ilikua ghafla tu ili kutaka kujua kitu fulani cha kibiashara, nikakutana na kijana namfahamu kabisa, yupo pale ofisini, aliponiona ni kama hakutegemea, eye contact iligoma, kuhusu mwenyeji wangu, yeye hanifahamu vizuri na bahati nzuri kuna wakati utaifa wangu huchachanganya, hasa kwa majina yangu, na ninaweza kuongea lugha kadhaa za ukanda huu, kwa namna alivyoshtuka nikajua aliyokua anayafanya hayana afya kwa ustawi wake na nchi yetu, nikakausha mpaka leo, na wala sina mawasiliano nae, japo tukionana tunafahamiana.

3. Kuna yule kijana mwingine mweupe toka kanda ya kati, mtaalamu wa lugha ya kiswahili, sahivi yuko nchi jirani akitangaza vivutio vya utalii wa nchi hiyo na kusifia kila kilicho mbele yake, ni haki yake kufanya anachotaka na yuko huru kabisa, nafahamu inaweza kua kama nchi tuna manufaa nae lakini nikiongea kwa uzoefu wangu wa kuifahamu kanda hii na maeneo mengine mengi, nishauri wahusika, yule mtu asipewe access ya kujua mifumo na utendaji kazi wa nchi kiundani zaidi, kwa kisingizio cha lugha na diplomasia, hayo anayoyajua yanatosha. kati ya watu ambao instincts zangu zinaniambia si salama basi na yule yumo, tunaweza kuamua kumtumia kama nchi lakini nawaambieni kama hatukufanya hivyo miaka mitatu iliyopita, tumechelewa. Nazungumzia access za mifumo, si uteuzi wa kisiasa, huo uteuzi mtu yeyote anaweza kupata alimradi tu chama chenye nchi wameona unafaa

Lengo la uzi wangu huu ni kukumbusha kua, system zetu ziwe makini zaidi, siyo kila king'aacho dhahabu, vijana tunaowaamini wanafika bei kirahisi sana, kinachotokea wanatumwa kuleta taarifa hii wao wanapeleka kwanza za kwetu walizokusanya, halafu wanarudisha zile ambazo ni obvious kila mtu anaweza kuziona, Wengi wao ni millennials generation, hakuna namna ya kuwaridhisha isipokua tu kua makini, Double agents walikuepo, wapo na wataendelea kuwepo lakini isiwe kirahisi hivyo. Mdau wewe unaona kama nchi tufanye namna gani tafadhali?

Mbarikiwe nyote ndugu zangu.
Hujui lolote. Unadanganyika sana na movies. Unaangalia movies sana mpaka unaanza kudhani nawe ni James Bond. Umeandika pumba na chai tu hamna la maana. Hizi ni taaluma za watu acha ujinga dogo. Ukisoma soma hadithi za kijasusi JF basi nawe unaona tayari jasusi. Usirudie tena kuandika huu ujinga.
 
Hatuna mda na hilo mkuu je umewahi kunywa kinywaji nusu chakula nusu pia ukafunga mlango vizuri kisha asubuhi unakuta kinywaji limeisha chakula pia kimeisha kwenye sahani mlango haujavunjwa hakuna kitu kingine umepoteza yaani ndani pako shwari kabisa pc/cm flash na vitunzia kumbu kumbu havijahamishwa popote na vyote vipo salama basi hapo chukua tahadhari kuna watu wanakufahamu vizuri wanaomba tu usiingilie visivyokuhusu maana taarifa zako wanazo na wanaweza kukufikia mda wowote watakavyo


Mda hautoshi
 
Mnaidharau sana idara yaani double agent ww ambae sio proffesional umjue halafu watu wenye taaluma zao wasimfahamu sio kweli amini upo salama ndugu yangu watu hawalali kwa ajili yako
Mkuu huu uzi una muda mrefu lakini nilijizuia kuchangia. Yaani mtu anazungumzia Double Agents kama vile ni madalali wa vyumba kwa Mtogole! Ahahahahaha!!
 
M nadhan vijana wapikwe haswa wawe wazalendo na kuwe na mitihan ya kupimwa uzalendo na mitihan hii iwe Siri wapimwe bila wenyewe kujua kama wako kwenye majaribio hii itasaidia kujua hali ya uzalendo wa mtu kw nchi yake kabla yakuwapa majukum makubwa ya nchi
 
Back
Top Bottom