Tunazeeka, ukipata nafasi fanya mambo yako kwa haraka

Wakuu,

Ama kweli miaka inakatika.

Nimekutana na washkaji zangu yaani 80% wana viapra na mvi.

Uzee tayari.

Kijana, ukipata nafasi, fanya mambo yako chap kwa haraka, umri haukusubiri.
halafu bado wanaishi nyumbani kwa wazazi dah!

yaani asubuhi akiwa anatoka home utadhani ndiyo baba mjengo, kumbe kumbafu moja vivu hivi kula kulala tu dah
 
Hii kuonekana mzee au kijana hutakana na namna mtu unavojiweka.. mavazi,mtindo wa maisha na shughuli unazofanya.

Tumieni AI (Chat gpt) kutatua changamoto yoyote, Binafsi naitumia kwenye mambo mengi na naonekana mtu poa sana kwa sasa.
 

Sio bleach mzee, ni mvi
hizo zitakuwa mvi za ukoo me nina miaka 43 lakini nywele zenye mvi kichwani zinahesabika
 
Hii kuonekana mzee au kijana hutakana na namna mtu unavojiweka.. mavazi,mtindo wa maisha na shughuli unazofanya.

Tumieni AI (Chat gpt) kutatua changamoto yoyote, Binafsi naitumia kwenye mambo mengi na naonekana mtu poa sana kwa sasa.
Mkuu, unamaanisha tukitumia AI tunapunguza kufikiria sana? Kwamba ndo kunafanya kuonekana wakubwa tofauti na umri ama una maana gani?
 
Bado mkuu kama huna tatizo la kiafya una 30+ mbele
 
Urefu 167cm, BMI ratio ndio nini?
a ratio of a person's weight in kilograms to the square of their height in meters. It's a quick and inexpensive way to estimate body size and categorize a person's weight as healthy, overweight, or obese
  • Underweight: BMI is below 18.5
  • Healthy weight: BMI is between 18.5 and 24.9
  • Overweight: BMI is between 25.0 and 29.9
  • Obese: BMI is 30.0 or greater
BMI ratio yako inasema upo overweight....
BMI Calculator
 
ili kuweza kukabilina na haya unayoyahofia inabidi uujue ulimwengu wa roho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…