Tunazeeka, ukipata nafasi fanya mambo yako kwa haraka

Tunazeeka, ukipata nafasi fanya mambo yako kwa haraka

Am 45yrs, nna mawazoo, naona kabisa siku zakuendelea kuwepo juu ya mgongo wa ardhi zimepungua sana ,zimebakia chache,huenda miongo miwli ijayo itabakia story, maana mwaka 2000 ni juzi tu,leo tayari 2025, kwa maana miaka ishirini na tano ijayo uenda sitokuwepo,

Naogopa kufa,naomba Mungu aniepushe na kifo cha ajali yoyote ile mbaya au la, bora kufa ukiwa usingizini..

Kiukweli maisha ya duniani ni mafupi sana

Am 45yrs, nna mawazoo, naona kabisa siku zakuendelea kuwepo juu ya mgongo wa ardhi zimepungua sana ,zimebakia chache,huenda miongo miwli ijayo itabakia story, maana mwaka 2000 ni juzi tu,leo tayari 2025, kwa maana miaka ishirini na tano ijayo uenda sitokuwepo,

Naogopa kufa,naomba Mungu aniepushe na kifo cha ajali yoyote ile mbaya au la, bora kufa ukiwa usingizini..

Kiukweli maisha ya duniani ni mafupi sana.
Maisha hovyo sana
 

Attachments

  • Screenshot_2025-01-11-16-16-13-576.jpg
    Screenshot_2025-01-11-16-16-13-576.jpg
    146.3 KB · Views: 1
Mkuu, unamaanisha tukitumia AI tunapunguza kufikiria sana? Kwamba ndo kunafanya kuonekana wakubwa tofauti na umri ama una maana gani?
Hapana.. AI itumuke pale unapokosa chakufanya, yaani umegonga mwamba / unapokosa alternative ya jambo lako.

Mfano unatabia ambayo huipendi, na unataka kuiacha ila inashindikana.. hapo unaweza tumia AI kukupa mawazo mbadala wa kuachana na tabia hiyo.

Nadhani nimeeleweka.
 
Hapana.. AI itumuke pale unapokosa chakufanya, yaani umegonga mwamba / unapokosa alternative ya jambo lako.

Mfano unatabia ambayo huipendi, na unataka kuiacha ila inashindikana.. hapo unaweza tumia AI kukupa mawazo mbadala wa kuachana na tabia hiyo.

Nadhani nimeeleweka.
🙏🏽🙏🏽🙏🏽
 
kweli uwe na pesa tu but pia uwe na nidhamu fulani mfano:
1.usiende kwenye mabaa au mapub ya vijana
2.usivae nguo za vijana
3.uwe unatoka mara moja kwa wiki na utoke na mkeo au wake zako
4.chunga lugha unayotumia kuongea
5.ukitaka kuchepuka vuta mdada wa uhakika,nenda nae mahali pa class ya juu na usiwe na papara kwenye sex,sex kwa utulivu,comfidently na very expertly na tumia kinga maana usimpelekee mkeo au wakezo magonjwa
6.usichukue vibinti kabisa
Hapo kwenye 6 umefeli,nikiamua kuzini siwezi zini na nganga ziwa limelala,shavu zimelegea,nitake radhi babu!
 
Wakuu,

Ama kweli miaka inakatika.

Nimekutana na washkaji zangu yaani 80% wana viapra na mvi.

Uzee tayari.

Kijana, ukipata nafasi, fanya mambo yako chap kwa haraka, umri haukusubiri.
Ni kweli mimi mwenyewe bado najishangaa hadi sasa siamini kabisa nikiniangalia kwa kioo kiooo..!
 
Back
Top Bottom