Niko floor namba 4 mkuu!Unasoma flow ngap mzee
Basi mie naonaga kama wamerelax sanaa🤔Unadhani hivyo? Nipo kwenye group la familia, ages zetu hazijatofautiana sana coz baadhi wamezaliwa 60s hadi mid 80s hapo, yaani kizazi cha kaka, dada na cousins kipo hapo. So umri wao ni around early 40s to early 60s.
Swala la aging linazungumzwa sana kwenye hilo group, watu wanajawa na hofu ya kuzeeka, trust me hakuna anayejiamini linapokuja swala la kuzeeka, hakuna anayependa kuzeeka, ni basi tu asili haikwepeki.
Kwa sababu huchangamani nao, ni wazazi wako so hujui wanachopitia, tena kuanzia 40s ndio woga wa uzee unakuja.Basi mie naonaga kama wamerelax sanaa🤔
Vipara na mvi ndio umri ganiWakuu,
Ama kweli miaka inakatika.
Nimekutana na washkaji zangu yaani 80% wana viapra na mvi.
Uzee tayari.
Kijana, ukipata nafasi, fanya mambo yako chap kwa haraka, umri haukusubiri.
nyie ndio maofosi watoto wakike wakija kuomba kazi hamtoi mbaka muwatombe😄😄nina miaka 65 ilaa mtaani nawakojoza wengi tu..mabint wananikubali mnoo...bora hela tuu
Uzee sio ugonjwa usiogope kuzeekaWakuu,
Ama kweli miaka inakatika.
Nimekutana na washkaji zangu yaani 80% wana viapra na mvi.
Uzee tayari.
Kijana, ukipata nafasi, fanya mambo yako chap kwa haraka, umri haukusubiri.
Una miaka mingapi? Kwanini muonekano wako ukufanye uwe mzee??? ,badili aina ya mlo unaokula ,fanya mazoezi,epuka msongo wa mawazo ,visungura vinazeesha pia !! 😊Uzee tayari.
TeenageWewe na washkaji zako mna umri gani kwani?
Oya hivi wewe ndo gudume🥶Teenage
Gudume ndio mimiOya hivi wewe ndo gudume🥶
🤣Unabadili tu majina mzee siku nyingi huleti nyuziGudume ndio mimi
Hizo ndio kero zaidiNdani kwenye tundu za pua jee
Kwakweli mkuu.Binafsi huu umri huwa unanipa mawazo sana. Life span ya mwanadamu inazidi kushuka.
Hata ukiujua huo ulimwengu wa roho still tutakufa tuili kuweza kukabilina na haya unayoyahofia inabidi uujue ulimwengu wa roho
Mmh, ngojea tuone!!Bado mkuu kama huna tatizo la kiafya una 30+ mbele
Sipigi visungura na huwa machalii wakiniona wanacheka tuu, wanakumbuka High school,Una miaka mingapi? Kwanini muonekano wako ukufanye uwe mzee??? ,badili aina ya mlo unaokula ,fanya mazoezi,epuka msongo wa mawazo ,visungura vinazeesha pia !! 😊