Tunazunguka mbuyu hatutaki kusema ukweli

Tunazunguka mbuyu hatutaki kusema ukweli

Salamu wanajamvi!

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, sisi watanzania ni wanafiki tuna hangaika kuzungu mbuyu wakati ukweli wote uko bayana. Hapo tuna fail.

Rais wa 42, wa Marekani Bill Clinton kwa kosa la kutembea na mwanamke Monica Lewinsky, mrembo wa miaka 21 ndani ya ikulu ya Marekani ilitosha kuwa impeached na Bunge la Makabwela. Kabla ya kupiga kura, mjadala ulikuwa mkali sana, na wabunge wengi walioneshwa kukerwa na tabia hiyo tena ndani ya Ikulu ya Marekani.

Baada ya mjadala kura zikapigwa, na wengi waliafiki kwamba Bill Clinton awe IMPEACHED. NA IKAWA HIVYO. Sasa, issue yake ikaenda bunge la Senate ili liinidhishe kwa mujibu wa kanuni zao. Huko nako shughuli ilikuwa pevu.akaponea chupu chupu.

Sasa turudi kwenye sakata la DP WORLD na bandari za TANGANYIKA. Kimsingi Rais Samia amevunja KATIBA ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kwa kuuza sovernity ya Nchi yetu na kuikasimu wa Waarabu kwa kujua au kwa kuto kujua. Hilo halimfanyi asiwe na kosa.

Je, Bunge letu linaweza kumfanyia IMPEACHMENT na hatimaye kuondolewa ofisini kwa kosa lake hili?

Kwa KATIBA hii hii mbovu hilo linawezekana. Shida ni moja kubwa nayo ni udhaifu wa taasisi za kiserikali tulizo nazo. Siwezi kusema hazijitambui , lakini nafikiri huwa zina dhani Rais ni Mungu mtu.

Kwa kosa hili moja tu, Rais Samia alistahili kuwa IMPEACHED, Kwakuwa bado yupo ofisini najiuliza ni kosa gani Rais akifanya atakuwa impeached na kufunguliwa mashitaka?

Kuuza bandari zetu zote na kukabidhi sovernity ya Nchi yetu kwa Waarabu sisi bado tunazunguka mbuyu tu..............!
bandari ni issue ya muungano, bandari zilizouzwa ni za bara tu, na waliouza ni wazanzibar, hivi hawa wazanzibar wanatutakia nini, wana uchungu kweli na Tanganyika? au wapo hapa kuchuma wakijua wana kwao kwa kukimbilia, watanganyika tuamke.
 
bandari ni issue ya muungano, bandari zilizouzwa ni za bara tu, na waliouza ni wazanzibar, hivi hawa wazanzibar wanatutakia nini, wana uchungu kweli na Tanganyika? au wapo hapa kuchuma wakijua wana kwao kwa kukimbilia, watanganyika tuamke.

Kwani Muungano huu ni halali kisheria ??? Mbona hatuanzi kwenye mzizi wa fitina kwanza ambao ni huu uvamizi uitwao Muungano ?? Au huko hamkutaki kwa sababu mkuki ni kwa nguruwe tu ....???
 
Watanzania tumekubali kuwa mateka wa wanasiasa, kiasi kwamba wanasiasa wenyewe kujiona wana akili kuliko watanzania wengine. Ifike muda kuwe na wabunge wasiofungamana na chama chochote cha siasa. Taasisi kama TLS, na nyenginezo ziwe na viti bungeni ziwe huru zisitokane na vyama vya siasa. Leo Maaskofu wanafanya kazi iliyotakiwa ifanywe na wabunge, lakini wabunge wanashindwa kufanya kwa kuogopa kuwajibishwa na vyama vyao. Salamu za watanzania kwa wanasiasa tunao wAchagua, watanzania sio mbumbumbu kama mnavyodhani mkisha kalia viti pindipo mnapowachaguliwa tekelezeni wajibu wenu kwa mjibu wa sheria sio kwa utashi wa vyama vyenu.
 
Salamu wanajamvi!

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, sisi watanzania ni wanafiki tuna hangaika kuzungu mbuyu wakati ukweli wote uko bayana. Hapo tuna fail.

Rais wa 42, wa Marekani Bill Clinton kwa kosa la kutembea na mwanamke Monica Lewinsky, mrembo wa miaka 21 ndani ya ikulu ya Marekani ilitosha kuwa impeached na Bunge la Makabwela. Kabla ya kupiga kura, mjadala ulikuwa mkali sana, na wabunge wengi walioneshwa kukerwa na tabia hiyo tena ndani ya Ikulu ya Marekani.

Baada ya mjadala kura zikapigwa, na wengi waliafiki kwamba Bill Clinton awe IMPEACHED. NA IKAWA HIVYO. Sasa, issue yake ikaenda bunge la Senate ili liinidhishe kwa mujibu wa kanuni zao. Huko nako shughuli ilikuwa pevu.akaponea chupu chupu.

Sasa turudi kwenye sakata la DP WORLD na bandari za TANGANYIKA. Kimsingi Rais Samia amevunja KATIBA ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kwa kuuza sovernity ya Nchi yetu na kuikasimu wa Waarabu kwa kujua au kwa kuto kujua. Hilo halimfanyi asiwe na kosa.

Je, Bunge letu linaweza kumfanyia IMPEACHMENT na hatimaye kuondolewa ofisini kwa kosa lake hili?

Kwa KATIBA hii hii mbovu hilo linawezekana. Shida ni moja kubwa nayo ni udhaifu wa taasisi za kiserikali tulizo nazo. Siwezi kusema hazijitambui , lakini nafikiri huwa zina dhani Rais ni Mungu mtu.

Kwa kosa hili moja tu, Rais Samia alistahili kuwa IMPEACHED, Kwakuwa bado yupo ofisini najiuliza ni kosa gani Rais akifanya atakuwa impeached na kufunguliwa mashitaka?

Kuuza bandari zetu zote na kukabidhi sovernity ya Nchi yetu kwa Waarabu sisi bado tunazunguka mbuyu tu..............!
Hilo la "kutembea na lawindki" unamaanisha nini?

Hiyo impeachment ilifanyika lini na wapi?


Unaelewa unachokiandika au unakurupuka tu?
 
Salamu wanajamvi!

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, sisi watanzania ni wanafiki tuna hangaika kuzungu mbuyu wakati ukweli wote uko bayana. Hapo tuna fail.

Rais wa 42, wa Marekani Bill Clinton kwa kosa la kutembea na mwanamke Monica Lewinsky, mrembo wa miaka 21 ndani ya ikulu ya Marekani ilitosha kuwa impeached na Bunge la Makabwela. Kabla ya kupiga kura, mjadala ulikuwa mkali sana, na wabunge wengi walioneshwa kukerwa na tabia hiyo tena ndani ya Ikulu ya Marekani.

Baada ya mjadala kura zikapigwa, na wengi waliafiki kwamba Bill Clinton awe IMPEACHED. NA IKAWA HIVYO. Sasa, issue yake ikaenda bunge la Senate ili liinidhishe kwa mujibu wa kanuni zao. Huko nako shughuli ilikuwa pevu.akaponea chupu chupu.

Sasa turudi kwenye sakata la DP WORLD na bandari za TANGANYIKA. Kimsingi Rais Samia amevunja KATIBA ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kwa kuuza sovernity ya Nchi yetu na kuikasimu wa Waarabu kwa kujua au kwa kuto kujua. Hilo halimfanyi asiwe na kosa.

Je, Bunge letu linaweza kumfanyia IMPEACHMENT na hatimaye kuondolewa ofisini kwa kosa lake hili?

Kwa KATIBA hii hii mbovu hilo linawezekana. Shida ni moja kubwa nayo ni udhaifu wa taasisi za kiserikali tulizo nazo. Siwezi kusema hazijitambui , lakini nafikiri huwa zina dhani Rais ni Mungu mtu.

Kwa kosa hili moja tu, Rais Samia alistahili kuwa IMPEACHED, Kwakuwa bado yupo ofisini najiuliza ni kosa gani Rais akifanya atakuwa impeached na kufunguliwa mashitaka?

Kuuza bandari zetu zote na kukabidhi sovernity ya Nchi yetu kwa Waarabu sisi bado tunazunguka mbuyu tu..............!
Wee kalia ndoto zako za kijinga na ugalatia wako!
 
Bandari watachukua na hakuna kitu utafanya wewe nenda Mbeya ukauze maparachichi ,bandari zinawahusu watu wa pwani .

Huko kwenu maparachichi hata muwauzie wachina hatuna noma ila mpunguze shobo na maamuzi yetu.

Nshangaa wanyakyusa mpo mbele mbele kama sio umbea.!!
Soma vizuri bandiko kisha ,jikite kwenye Mada.
 
Salamu wanajamvi!

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, sisi watanzania ni wanafiki tuna hangaika kuzungu mbuyu wakati ukweli wote uko bayana. Hapo tuna fail.

Rais wa 42, wa Marekani Bill Clinton kwa kosa la kutembea na mwanamke Monica Lewinsky, mrembo wa miaka 21 ndani ya ikulu ya Marekani ilitosha kuwa impeached na Bunge la Makabwela. Kabla ya kupiga kura, mjadala ulikuwa mkali sana, na wabunge wengi walioneshwa kukerwa na tabia hiyo tena ndani ya Ikulu ya Marekani.

Baada ya mjadala kura zikapigwa, na wengi waliafiki kwamba Bill Clinton awe IMPEACHED. NA IKAWA HIVYO. Sasa, issue yake ikaenda bunge la Senate ili liinidhishe kwa mujibu wa kanuni zao. Huko nako shughuli ilikuwa pevu.akaponea chupu chupu.

Sasa turudi kwenye sakata la DP WORLD na bandari za TANGANYIKA. Kimsingi Rais Samia amevunja KATIBA ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kwa kuuza sovernity ya Nchi yetu na kuikasimu wa Waarabu kwa kujua au kwa kuto kujua. Hilo halimfanyi asiwe na kosa.

Je, Bunge letu linaweza kumfanyia IMPEACHMENT na hatimaye kuondolewa ofisini kwa kosa lake hili?

Kwa KATIBA hii hii mbovu hilo linawezekana. Shida ni moja kubwa nayo ni udhaifu wa taasisi za kiserikali tulizo nazo. Siwezi kusema hazijitambui , lakini nafikiri huwa zina dhani Rais ni Mungu mtu.

Kwa kosa hili moja tu, Rais Samia alistahili kuwa IMPEACHED, Kwakuwa bado yupo ofisini najiuliza ni kosa gani Rais akifanya atakuwa impeached na kufunguliwa mashitaka?

Kuuza bandari zetu zote na kukabidhi sovernity ya Nchi yetu kwa Waarabu sisi bado tunazunguka mbuyu tu..............!
Tatizo tumekubali nchi iongozwe na watu wasio na uwezo. Unaweza kutuambia ssh aliwahi kufanya kitu gani huko nyuma mpaka akstahili kuwa kiongozi mkuu wa nchi? Kama tunashindwa kupata watu sahihi wenye uwezo wa kuotuongoza vizuri, tutabaki maskini milele
 
Kwani Muungano huu ni halali kisheria ??? Mbona hatuanzi kwenye mzizi wa fitina kwanza ambao ni huu uvamizi uitwao Muungano ?? Au huko hamkutaki kwa sababu mkuki ni kwa nguruwe tu ....???

Kwahiyo karume alishikiwa bunduki siku ya kuungana na tanganyika?zenj wame gain tanganyika wamepoteza kwenye huu muungano.

Unless uwe mwarabu kokoo masalia ya sultani.
 
Uvivu wa Maprofesa wetu wa sheria umesababisha haya.
Kwani katiba ilioruhusu Zanzibar kuwa na serikali yake kamili, huku Tanganyika ikiwa haina serikali nyingine yake yenyewe, kwanini katiba hio sasa ikaruhusu Mzanzibari kurithi Urais wa serikali hii badala ya siku zote kuishia umakamu wa Rais kwa ajili tu ya kulinda maslaha ya Zanzibar ndani ya Muungano?

Ikitokea kama kifo cha Rais wa Tanzania basi kipengele kingesema aliekuwa Waziri Mkuu au Jaji Mkuu, Speaker wa Bunge ashike Urais hadi Uchaguzi mkuu ujao. Mzenji akibaki nafasi yake kivulini ya umakamu ili alinde maslaha ya nchi yao Zenji.

Uvivu huu sasa ndio unaumiza forever, haya mambo yatapelekea vita na nchi za kiarabu. Na tutavwamiwa kinguvvu. Nipo paleee nanywa kahawa mie.
Kwa kawaida nijuavyo mimi hata katika vitabu vya hekima vya kale, nchi haipaswi kuongozwa na mgeni, mtu asiye mzawa wa nchi husika hastahili kuongoza nchi ama kuwa na madaraka makubwa ya juu kabisa ya kiuongozi mfano wa mfalme. Na hata ikitokea akapewa nafasi ya juu mtu mgeni basi lazima awepo mzawa atakayekuwa juu yake zaidi ili kudhibiti mambo kama haya yanayotokea sasa hivi. Huu ndiyo uelewa wangu mdogo katika mambo haya
 
bandari ni issue ya muungano, bandari zilizouzwa ni za bara tu, na waliouza ni wazanzibar, hivi hawa wazanzibar wanatutakia nini, wana uchungu kweli na Tanganyika? au wapo hapa kuchuma wakijua wana kwao kwa kukimbilia, watanganyika tuamke.
Kwa namna mambo yalivyo ni wazi akili iliyoamua haya mambo ni ndogo sana laa Kuna usaliti wa wazi wazi aisee
 
Mwalimu Nyerere angeunda tu Tanzania ya serikali moja.
Yeye alishindwa, sasa nizamu yako, unda wewe hiyo serikali moja. Ukiona vyaelea ujue vimeundwa.
maana yake Dar imeporwa bahari, mfano kisiwa cha Latham, wavuvi wa Dar wanaitwa Fungu Mbaraka, sikuizi kimebadilishwa jina kinaitwa Fungu Kizimkazi.
Visiwa vya Latham ni mali ya Zanzibar na haijawahi na haitapata kuwa mali ya Tanganyika. Tukuza kilicho chako mpaka usahau cha mwenzako; Latham haikuhusu, iwache.
asikudanganye mtu, na ndio maana asilimia 100 yao wapo chama cha upinzani cha Hizbu kwa sasa wameikodi ACT ila Zitto akizingua wao wanahama kwa sekunde moja tu na kwenda chama che agenda ya Zanzibar kuwa nchi kamili na muungano ubaki kama wa EAC au SADC.
Kujiunga chama ni hiari ya mtu nawe kajiunge ikiwa unaona wanafaidi.
Wazanzibari wangebaki tu Makamu wa Rais tu madhali kwao nchi yao ina hii serikali kamili, huko Tanganyika wangekuwepo kulinda maslaha ya Zanzibar tu ndani ya Muungano.
Hata Wataganyika nao wabaki kuwa makamu tu. Kama shubiri ni dawa, kunywa nawe utapoa.
Mwaka jana eti hata katiba ya Tanzania imebadilishwa itamke Zanzibar ni nchi?
Ikifuatia mabadilika ya katiba ya Zanzibar ya 2010 aliotengeneza Aman Karume aliekuwa na nia ya kuvunja Muungano hadi alianzisha vikundi vya kigaidi vilivyofadhiliwa na Mamlaka ya Mapato Zanzibar.
Hujui hata yaliyopo. Zanzibar imefanya hivyo ikifuata vyema makubaliano ya muungano. Jifunze ulewe
 
Watanzania tumekubali kuwa mateka wa wanasiasa, kiasi kwamba wanasiasa wenyewe kujiona wana akili kuliko watanzania wengine. Ifike muda kuwe na wabunge wasiofungamana na chama chochote cha siasa. Taasisi kama TLS, na nyenginezo ziwe na viti bungeni ziwe huru zisitokane na vyama vya siasa. Leo Maaskofu wanafanya kazi iliyotakiwa ifanywe na wabunge, lakini wabunge wanashindwa kufanya kwa kuogopa kuwajibishwa na vyama vyao. Salamu za watanzania kwa wanasiasa tunao wAchagua, watanzania sio mbumbumbu kama mnavyodhani mkisha kalia viti pindipo mnapowachaguliwa tekelezeni wajibu wenu kwa mjibu wa sheria sio kwa utashi wa vyama vyenu.
Njaa mbaya ndugu yangu isikie tu kwa jirani yako, ukijumlisha na wadhifa anaoupata yaani apoteze yote hayo kirahisi rahisi tu? Hahaha
 
Back
Top Bottom