Polisi aliandikwa km anna kimaro..list ya [emoji23] siro[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hadi majina yote manne una yajua!!!
Ba wewe wamooo!!! Halafu wewe ndio hatari maana una act undercover, kama hujui vile, kumbe wajua
Sasa si ujiunge na kina sudy kabsa.
Ila kweli what will he do wakat binti yake ana tengeneza pesa zaid hata yake andelee tu kupokea pesa hana jinsi.
Bure kabisa,kama ameshindwa kumsimamia mtoto asome hamna kitu hapo.Aliekudanganya nani kma ni sergent? Baba yake Tunda ni Assistant superintendent au ASP kwa kifupi
Hahahahahaha ha ha nakumbuka ilikua msiba wa marehemu Adam kuambiana, warumi alitafuta nyumba ya msiba akaenda kulala πππ
achana na ubuyu wetu.huu wa kupaste kutoka instagram, warumi huwa ananyapia hadi madirishani kuutafuta ha ha haHahahahaha
Warumi ni kiboko, inaonekana enzi hizo mli enjoy, ila sema hata hivo yeye ana uniquenes kwenye kuleta ubuyu, nadhani kwa sababu ana tafuta source mwenyewe.
Hyo video naikumbuka binamu,kwa level ya tunda,hakuna uchafu aliouacha n she is only 20'sMpwa warumi umesahau kwenye ngoma moja na Tunda Mkubwa (kama sikosei), huyu Tunda Mdogo alishawahi kucheza nafasi anasagwa?! Unaikumbuka hiyo ngoma tena wakati ule kalikuwa kadogo dogo tu!! Isije ikawa anataka ku-practice!!
Anyway, kwa sasa hakuna linalotokea kwa Tunda ambalo linanishangaza! Tangu miaka ile nilishaona alikokuwa anaelekea sio kuzuri! Na kosa kubwa kabisa limefanywa na wazai wake ambao walikubali kum-expose mbele ya macho ya mbwa mwitu wakati akiwa bado binti mdogo!!
Safi sana anapenda anachofanya.[emoji1]achana na ubuyu wetu.huu wa kupaste kutoka instagram, warumi huwa ananyapia hadi madirishani kuutafuta ha ha ha
nimenusurika sana na tindikali binamu, maana ubuyu wangu ulikua wa mwendo kasi,sasa hivi kila ijumaa nawaletea ubuyu fresh tukeshe nao, yni ni full exclusiveachana na ubuyu wetu.huu wa kupaste kutoka instagram, warumi huwa ananyapia hadi madirishani kuutafuta ha ha ha
[emoji38][emoji38][emoji38]Hance Mtanashati naona amesha litolea ufafanuzi hapo juu nadhani baadae ataitisha Press na vyombo vya habari kuliweka sawa hili jambo
πππππππππnimenusurika sana na tindikali binamu, maana ubuyu wangu ulikua wa mwendo kasi,sasa hivi kila ijumaa nawaletea ubuyu fresh tukeshe nao, yni ni full exclusive
oyi! huyu mtoto nimfahan alisoma kilimanjaro primary school -Moshi. Alikuwa na dada yake anaiywa Doreen. Sasa nauliza huyu Doreen yupo wapi na yeye?mizee ya kichaga inapenda pesa tu!!!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
kwanza tunda jina lake anaitwa Anna peter Sabasita Kimaroo
Namkumbuka sana sabasita alivuma sana Arusha enzi hizo.Na Hilo jina la Sabasita sio jina lake halisi ni la utani sababu ya namba yake ya kijeshi ni D 7676 so wakati akiwa mwalimu kule CCP moshi ndo watu walimtunga Hilo jina
Mateja wamependeza.
muache[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] auze nyapuuAlipata zero form four
Ohooooo!!muache[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] auze nyapuu