Tunda Achana na mlitoz

Tunda Achana na mlitoz

[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hadi majina yote manne una yajua!!!
Ba wewe wamooo!!! Halafu wewe ndio hatari maana una act undercover, kama hujui vile, kumbe wajua
Sasa si ujiunge na kina sudy kabsa.

Ila kweli what will he do wakat binti yake ana tengeneza pesa zaid hata yake andelee tu kupokea pesa hana jinsi.
Polisi aliandikwa km anna kimaro..list ya [emoji23] siro
 
ha ha ha nakumbuka ilikua msiba wa marehemu Adam kuambiana, warumi alitafuta nyumba ya msiba akaenda kulala 😀😀😀
Hahahahaha
Warumi ni kiboko, inaonekana enzi hizo mli enjoy, ila sema hata hivo yeye ana uniquenes kwenye kuleta ubuyu, nadhani kwa sababu ana tafuta source mwenyewe.
 
Mpwa warumi umesahau kwenye ngoma moja na Tunda Mkubwa (kama sikosei), huyu Tunda Mdogo alishawahi kucheza nafasi anasagwa?! Unaikumbuka hiyo ngoma tena wakati ule kalikuwa kadogo dogo tu!! Isije ikawa anataka ku-practice!!
 
Mpwa warumi umesahau kwenye ngoma moja na Tunda Mkubwa (kama sikosei), huyu Tunda Mdogo alishawahi kucheza nafasi anasagwa?! Unaikumbuka hiyo ngoma tena wakati ule kalikuwa kadogo dogo tu!! Isije ikawa anataka ku-practice!!

Anyway, kwa sasa hakuna linalotokea kwa Tunda ambalo linanishangaza! Tangu miaka ile nilishaona alikokuwa anaelekea sio kuzuri! Na kosa kubwa kabisa limefanywa na wazai wake ambao walikubali kum-expose mbele ya macho ya mbwa mwitu wakati akiwa bado binti mdogo!!
Hyo video naikumbuka binamu,kwa level ya tunda,hakuna uchafu aliouacha n she is only 20's
 
nimenusurika sana na tindikali binamu, maana ubuyu wangu ulikua wa mwendo kasi,sasa hivi kila ijumaa nawaletea ubuyu fresh tukeshe nao, yni ni full exclusive
😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
mizee ya kichaga inapenda pesa tu!!!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]


kwanza tunda jina lake anaitwa Anna peter Sabasita Kimaroo
oyi! huyu mtoto nimfahan alisoma kilimanjaro primary school -Moshi. Alikuwa na dada yake anaiywa Doreen. Sasa nauliza huyu Doreen yupo wapi na yeye?
 
Vunja mifupa angali meno bado ipo utakuja juta Ukipita mda wako.

Hivi huyo Tunda bado anachenza...?
 
Back
Top Bottom