Tunda afungua Duka la Nguo...


Ila vunja bei handsome , imagine unapata mwanaume kama vunja bei na pesa juu anakupa wee[emoji23][emoji23]
 
Yaani kumiliki duka la nguo bongo hapa ni kazi kiasi hicho hadi useme sio lake?
tushangae wote mkuu,

kufungua duka unakuja kumfungulia thread mtu

halafu hii ya kusema flani hawezi kufanya kitu huu ni uchawi kwanza na uzandiki wa hali ya juu

afungue na la kwake aje afunguliwe thread
 
Ila vunja bei handsome , imagine unapata mwanaume kama vunja bei na pesa juu anakupa wee[emoji23][emoji23]
Au imagine unapata handsome kama mimi!!!!vunja bei akasome.😁
 
Au imagine unapata handsome kama mimi!!!!vunja bei akasome.[emoji16]


Vunja bei anaonekana shughul anaiweza haswaa [emoji16], check lilivyo kwanza , na angalia vidole vyake, anaonekana kajaliwa si mchezo[emoji16]
 
View attachment 1611285
Vunja bei anaonekana shughul anaiweza haswaa [emoji16], check lilivyo kwanza , na angalia vidole vyake, anaonekana kajaliwa si mchezo[emoji16]
Warumi papu** ishalowa i guess..aisee hakuna mwanamke asiyependa hela,angekuwa kapuku ungegeuza kibao na kusema kibenten kinaoga vizuri kutega mijimama
 
Kila mtu anatarget market yake.. mimi nadhani hizo nguo za elfu kumi ni zavijana wasio na uwezo mkubwa kifedha.

Nawapo wengi, hivyo kawatarget hao.
 
Kila mtu anatarget market yake.. mimi nadhani hizo nguo za elfu kumi ni zavijana wasio na uwezo mkubwa kifedha.

Nawapo wengi, hivyo kawatarget hao.
Eeh masela kama makonda, madereva, mafundi seremala na watu wa class hio hasa vijana ambao ndio wanauanza ujana...ule upepo wa kuwa smart bishololo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huku uswahilini ukimfungulia dada genge la kuuza vitunguu tu, lazima ule mzigo mpaka uombe poo. Duka lote la nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…