Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #61
AiseeKumbe jinsia KE ndio iliyoanzisha uzi.
Haya wale walio left group na jinsia KE wengine endeleeni kuchangia uzi wenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeKumbe jinsia KE ndio iliyoanzisha uzi.
Haya wale walio left group na jinsia KE wengine endeleeni kuchangia uzi wenu.
Hana uzuri wala umaarufu wa kuchagua nani awe nae nani asiwe nae..Wa kawaida maana yake nini?
AiseeHivi wanaume wa siku hizi mna-date machangudoa? Sisi kipindi chetu ilikuwa tufanya kitu kinachotwa ''hit and run''. Mabwege tu ndiyo walikuwa wana-date watu kama hawa.
chaiHana uzuri wala umaarufu wa kuchagua nani awe nae nani asiwe nae..
Hao anao date nao ndo size yake,unadhani yeye hajatafakari na kuwaza kwa kina? Kwan Tunda hata zaman mahusiano yake ya wazi kwa mtu wa maana ni Kinje tyuuh.Shida ya Tunda hajatulia, baada ya kuachana na Meja hapa katikati alikitembeza kimtindo sema alikuwa na date na watu wasiokuwa na majina.
Ila kwa huyu wa sasa aisee big No.
Kabugi.
Kunywachai
Hakika kabisaaa!!!Kuna nyakati ukiwa mzuri sana ukabahatika kuishi na wenye nazo,sio dhambi kujishusha na kuishi maisha ya kawaida.
Kuishi maisha marefu kunatokana na namna tunavyojibrand na kusikiliza hisia zetu za ndani na si kusikiliza watu.
Maisha yalivyo ni kama mawimbi ya bahari.
Chai…..Mpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro.
Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo.
Kwangu mimi ,hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo
Ila tusemeni tu ukweli ,Tunda hajui thamani ya uzuri wake ndio maana kila kukicha ana date na watu wa ajabu ajabu .
Ukimtoa Kinje, mpaka sasa sijamuona bwana wa maana ambaye Tunda ame date naye.
Yani kuanzia young D, Casto Dickson , Meja Kunta, Whozu, na huyu wa sasa Ndaro ndio kabisaa hawaendani.
Ndaro na Tunda hawaendani kabisa, kiharaka haraka unaweza kusema Tunda kudate na Ndaro ni kama amenuonea huruma tu ila sio size yake kabisa sawa na hao madogo wengine
Asipotulia na kujitathmini vizuri ataishia kudate na watu wa hadhi ndogo kama hao wengine.
Casto nusu awehuke alivyoachwa na Tunda , Tunda alichangia kumuharibu sana jamaa alikuwa havuti sigara wala pombe ila akaanza kutumia baada ya kuwa penzini na tunda
View attachment 3022845View attachment 3022846View attachment 3022847
Binti Mdogo keshatengeneza nyama za mashangaziMpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro.
Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo.
Kwangu mimi ,hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo
Ila tusemeni tu ukweli ,Tunda hajui thamani ya uzuri wake ndio maana kila kukicha ana date na watu wa ajabu ajabu .
Ukimtoa Kinje, mpaka sasa sijamuona bwana wa maana ambaye Tunda ame date naye.
Yani kuanzia young D, Casto Dickson , Meja Kunta, Whozu, na huyu wa sasa Ndaro ndio kabisaa hawaendani.
Ndaro na Tunda hawaendani kabisa, kiharaka haraka unaweza kusema Tunda kudate na Ndaro ni kama amenuonea huruma tu ila sio size yake kabisa sawa na hao madogo wengine
Asipotulia na kujitathmini vizuri ataishia kudate na watu wa hadhi ndogo kama hao wengine.
Casto nusu awehuke alivyoachwa na Tunda , Tunda alichangia kumuharibu sana jamaa alikuwa havuti sigara wala pombe ila akaanza kutumia baada ya kuwa penzini na tunda
View attachment 3022845View attachment 3022846View attachment 3022847
chawa wa WCB huna swaga za kumshinda ndaroNiliwahi kumtaka lini?
Chai.
Hii sentesi imekaa kikike sana na kipuuzi sana, Tunda ni nani.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kajamaa haka amini kama kamempata Tunda
ChaiHii sentesi imekaa kikike sana na kipuuzi sana, Tunda ni nani.
Wazo la kipumbavu kuwahi kuliona.Kwani huyo Tunda ni mzuri au ni mweupe,angalia usidanganywe na hiyo rangi,hebu jaribu kumpaka rangi awe mweusi halafu uone kama ule uzuri bado utakuwepo...
ChaiHayo mambo ya hawaendani yanatoka wapi ? Ulisikia wapi ,ukweli ni kwamba wanaendana maana naona Ndaro ana miguu miwili na mikono miwili ,vile vile Tunda hivyo hivyo, alafu thamani ya Tunda iko wapi si msimbe tu ambaye hata mimi nikimuoa jamii inaniona kama nimefeli tayari , huyo cha wengi wamepita na Ndaro atapita zake , uzuri wa nje haumanishi kilichomo ndani nachoamini Tunda ukute siyo mtamu.
bado mbichi sana huyo.Umri unamtupa mkono... So she can take anything