Tundaman Kuingia na Jeneza, Simba SC yaomba Radhi

Tundaman Kuingia na Jeneza, Simba SC yaomba Radhi

Wewe siyo mfia dini, Kwahiyo ni ngumu kwako kupata hisia waliyopata hao wanaopenda vifaa na ishara zao zitumike katika malengo ya kidini yaliyokusudiwa.
KIFUPI: Tusitengeneze maigizo yanayokera Imani za watu( tusichukulie poa Imani za watu wengine, Kwasababu zinamaumivu kwa wahusika).
Fact
 
Ha ha ha ni vichekesho sasa hivyo ukristo umeathirika vipi mambo mengine hao wanaokwazwa ni kutafuta sifa tu kwa watu sasa joho kweli vipi ambao joho siyo sehemu ya mavazi yao au msalaba labda wangesema wamekwaza dhehebu lao siyo ukristo in general
Au wangesema tu Yanga imekwazwa na ujumbe wa tundaman 😂
 
Ni chokochoko tu. Angefanya hayo maigizo mkristo kwa kutumia maudhui ya dini yao, kesho yake ungesikia matamko ya vitisho zaidi ya 200!
Chokochoko wapi wakati ruhusa mnatoa wenyewe, diamond na zuchu wameenda kufanya video ya bongo fleva kanisani ruhusa walipewa na nani? Leo anakomaliwa mondi wakati waliotoa ruhusa wameachwa, ndiomaana tunda nae akaona afanye tu
 
Hivi wewe kijana mdogo unaelewa ulichokiandika au umekurupuka tu.? Nimefanya kazi NBS (National Bureau of Statistics) miaka 10 kabla sijaacha kazi na kuhamia Canada hicho ulichoandika hakipo na hakitakuwepo hata iwe miaka 100 ijayo. No proof, no right to say!.
Weka proof mkuu, huko nbs takwimu zao si ndio zile hazina dini
 
Mndali ndanyelakakomu acha ubishi...
Chukwu emeka acha ubishi..
nandengele acha ubishi...
Mmakonde wa Canada acha ubishi...
Luc Eymael acha ubishi...
redio acha ubishi...
Dabil acha ubishi jombaa...

Diamond Platnumz Muislamu,
Zuchu Muislamu.
Harmonize Muislamu.
Raymond Shaban Muislamu.
Mbosso Muislamu.
Lavalava Muislamu.
Aslay Muislamu.
Marioo Muislamu.
Alikiba Muislamu.

Salim Kasim (S2Kizzy) Muislamu.
Laizer Classic (WCB) Muislamu.
Mandonga Mtu Kazi Muislamu.
Shabani Kaoneka Muislamu.

Kikwete Muislamu.
Samia Muislamu.
Majaliwa Kassim Muislamu.
Hussein Mwinyi Muislamu.
Naomba nisitukane japo moyo wangu umekutukana
 
Hata tukio lilipotokea kipindi kile, watu walipaza sauti zao kukemea huu ujinga! Na nyinyi makada wa Chadema mlikuwa mstari wa mbele kabisa kulaani hili tukio!

Ila leo kwa sababu kafanya shabiki mwenzenu wa simba, mnajifanya hamuoni tatizo.
Kuna viongozi wa dini walikemea ama ni sisi huku mitandaoni na mada zetu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna viongozi wa dini walikemea ama ni sisi huku mitandaoni na mada zetu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo shida iliyopo ni hiyo ya baadhi ya viongozi wa dini kutokemea maigizo ya Tulia Ackson, na badala yake wakaamua kukemea hili igizo la mwana simba mwenzenu Tundaman!

Ila unakubaliana na mimi ya keamba Chadema mlilaani lile igizo la Tulia! Ila kwa sababu hili la Tundaman limefanywa kwenye tamasha lenu la simba day, mnaliona ni la kawaida!

Ok.
 
Ingekuwa ni waislamu,ungeona kelele,matusi, maandamano,kutisha kwenda mahakamani nk.ila wakristo ni wastaarabu Sana. Alafu wanafanya haya kuanzia wimbo wa Diamond na hili la Simba ni waislamu. Tujifunze kuwa wavumilivu ndugu zetu waislamu.
 
Kama mngekuwa ni wengi kiasi hiki, basi wale wanazuoni wenu uchwara wasingetoa matamko ya kutaka usawa kwenye taasisi mbalimbali za kiuongozi na kiutawala nchini.
Screenshot_20220811-161802_1.jpg
 
Ingekuwa ni waislamu,ungeona kelele,matusi, maandamano,kutisha kwenda mahakamani nk.ila wakristo ni wastaarabu Sana. Alafu wanafanya haya kuanzia wimbo wa Diamond na hili la Simba ni waislamu. Tujifunze kuwa wavumilivu ndugu zetu waislamu.
20220216_225742.jpg
 
68% ya Watanzania ni Waislamu.
Ukiunganisha na visiwani namba inapanda hadi 73%.

Wakristo ni minority katika nchi yetu. Tunapowakosea ni vizuri kuwaomba radhi kama hivi, wasijisikie unyonge!

Dar majority ni Waislamu. Wakristo (watu wa bara) wamehamia tu.

Pwani ndio kabisaaaa.

Lindi, Mtwara huko kote wamejaa Waislamu.

Tanga kunani pale wamejaa wao.

Tabora, Singida misikiti kila kona.

Kigoma huwaambii kitu misikiti imejaa.

Dodoma 50 kwa 50.

Mwanza 50 kwa 50.

Mikoa pekee yenye majority Wakristo ni Kilimanjaro, Rukwa, Iringa na Mbeya.
Leta chanzo cha takwimu zako,au na Mimi nilete zangu. Sasa ukweli ni kwamba 63+ ni wakristo TANZANIA 🇹🇿
 
Kwa hiyo shida iliyopo ni hiyo ya baadhi ya viongozi wa dini kutokemea maigizo ya Tulia Ackson, na badala yake wakaamua kukemea hili igizo la mwana simba mwenzenu Tundaman!

Ila unakubaliana na mimi ya keamba Chadema mlilaani lile igizo la Tulia! Ila kwa sababu hili la Tundaman limefanywa kwenye tamasha lenu la simba day, mnaliona ni la kawaida!

Ok.
Tulia alimaanisha kwenye jukwaa rasmi la siasa .. Tundaman ilikuwa ilikuwa kwenye tukio la furaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa hasa lililogusa ukristo ni nini?
Naorodhesha mnaojitoa ufahamu sababu ya mapenzi.
Kosa ni kuwa walitumia msalaba ambao kwetu wakristo ni alama takatifu sana ya ukombozi wa mwanadamu. Wameitumia alama hiyo kwenye mambo ya utani wa kwenye mpira.
Kwa mfano Jeneza la watu mashuhuri wa kitaifa hufunikwa kwa bendera ya Taifa kama alama ya kuenzi utumishi wao uliotukuka. Kama hilo jeneza la utani lingefunikwa kwa bendera ya Taifa unadhani kingetokea kitu gani? Tunashukuru sana kuona kuwa uongozi wa Simba umeliona hilo na kuomba radhi na sisi kama wakristo tunaikubali radhi hiyo na huo ndio uungwana!!
 
Back
Top Bottom