Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Shabiki wa yanga kindakindaki, yanga oyeeeeeMbona hili boga halikemewi kutumia alama ya msalaba kwenye uhayawani wake?
View attachment 2320398
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shabiki wa yanga kindakindaki, yanga oyeeeeeMbona hili boga halikemewi kutumia alama ya msalaba kwenye uhayawani wake?
View attachment 2320398
Acha mambo ya imani za watu utaumia kichwa maana ukiletewa mliyofanya n nyinyi itakuwa vita hapa, amini unacho aminiWakiristo wa nchi hii wanapenda sana kulalama kama watoto...kwa zunchu wakalalama na hili nalo kwel...
kuna askof alidhihaki hijab ya rais lakin waislam wakawa kimya tu..
Ha ha ha ni vichekesho sasa hivyo ukristo umeathirika vipi mambo mengine hao wanaokwazwa ni kutafuta sifa tu kwa watu sasa joho kweli vipi ambao joho siyo sehemu ya mavazi yao au msalaba labda wangesema wamekwaza dhehebu lao siyo ukristo in generalEti msalaba na jeneza Pamoja na joho la kasisi [emoji849]
Mkuu kingereza kwako kilipita kushoto?Endelea na biashara ya massage
Ni jambo zuri ila sioni kosa la kiwango cha kuomba radhi
Assnte mkuu.nawe piaDuh hata wewe Mkuu unasema huoni kosa? Anyway uwe na siku njema.
Mkuu ulisifia hii hali lakini,Muungwana ni kitendo
Sikusifia niliandika mtazamo wangu.. Huku nimekuja kuchangia mada ya mdau mwingine..Mkuu ulisifia hii hali lakini,
Kwanza ingekuwa kama anavyosema hii nchi ingekuwa ishabadilishwa kuwa Dola la kiislamKama mngekuwa ni wengi kiasi hiki, basi wale wanazuoni wenu uchwara wasingetoa matamko ya kutaka usawa kwenye taasisi mbalimbali za kiuongozi na kiutawala nchini.
Dogo punguza stress. Utakufa kabla ya wakati wako.Huu uzi una wapumbavu wengi watu mnakazana kutoleana mapovu na wakati milango ya makanisa na misikiti mara ya mwisho kuingia ni mlipokuwa na miaka mitatu kusali hamsali kazi kubishania kiki za wajinga wachache .
Tafuteni cha kufanya acheni kupotezeana nguvu wapumbavu wakubwa.
Hata tukio lilipotokea kipindi kile, watu walipaza sauti zao kukemea huu ujinga! Na nyinyi makada wa Chadema mlikuwa mstari wa mbele kabisa kulaani hili tukio!
Kinachoendelea kwenye uzi huu ni ushabiki wa kipumbavu wa Utopolo,wamejificha kwenye mwavuli wa dini ili wapate uungwaji mkono. Ni upumbavu tu unaoendelea.Huu uzi una wapumbavu wengi watu mnakazana kutoleana mapovu na wakati milango ya makanisa na misikiti mara ya mwisho kuingia ni mlipokuwa na miaka mitatu kusali hamsali kazi kubishania kiki za wajinga wachache .
Tafuteni cha kufanya acheni kupotezeana nguvu wapumbavu wakubwa.
Ushabiki ni tatizo Sana mtu yupo radhi kutetea vitu visivyokuw na maanSIMBA wameomba radhi tu kuonesha uungwana lakini hakuna connection yoyote hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hii hapa hawa ni washabiki wa Simba?Hata tukio lilipotokea kipindi kile, watu walipaza sauti zao kukemea huu ujinga! Na nyinyi makada wa Chadema mlikuwa mstari wa mbele kabisa kulaani hili tukio!
Ila leo kwa sababu kafanya shabiki mwenzenu wa simba, mnajifanya hamuoni tatizo.
Kwa hiyo unataka nikusaidie nini? Mimi sina utaratibu wa kusifia mambo ya kijinga. Hivyo hata hao wajinga ulio waweka hapo nao siwaungi mkono.Na hii hapa hawa ni washabiki wa Simba?
Mnaona sasa ushabiki oya oya ulivyotuhamisha hadi kwenye malumbano ya kidini. Huu mjadala hauna afya kabisaKama mngekuwa ni wengi kiasi hiki, basi wale wanazuoni wenu uchwara wasingetoa matamko ya kutaka usawa kwenye taasisi mbalimbali za kiuongozi na kiutawala nchini.
Nina haki ya kuwaambia hayo kwa maana nina umri mkubwa kuliko ninyi hivyo fuateni nisemacho mtu mzima.Dogo punguza stress. Utakufa kabla ya wakati wako.
Usijumuishe wakristo wote Kwa ushabiki wa kipumbavu wa maaskofu michongo wawili washabiki wa Yanga. Kilaini alihusika kula hela ya escrow na Gwajima alimtukana Cardinal Pengo na kushiriki kujirekodi video ya ngono akimtafuna muumini wake,hivyo hao maaskofu michongo hawana moral authority ya kukemea lolote zaidi ya kuendekeza ushabiki wao wa Utopolo. Uondoe huu mjadala katika mtazamo wa kidini na ndiyo maana unaona uko kwenye jukwaa la sports.Wakiristo wa nchi hii wanapenda sana kulalama kama watoto...kwa zunchu wakalalama na hili nalo kwel...
kuna askof alidhihaki hijab ya rais lakin waislam wakawa kimya tu..