Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Utafikiri wanagombania mlango wa kuingia mbinguni peooni. Vitu vingine ni useless
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwanini wakurya wanaamini ukeketaji mnawakemea....ila Hawa wafia dini wazungu na waarabu weusi hamwakemei??Wewe siyo mfia dini, Kwahiyo ni ngumu kwako kupata hisia waliyopata hao wanaopenda vifaa na ishara zao zitumike katika malengo ya kidini yaliyokusudiwa.
KIFUPI: Tusitengeneze maigizo yanayokera Imani za watu( tusichukulie poa Imani za watu wengine, Kwasababu zinamaumivu kwa wahusika).
Hmmmmm[emoji848]Hivi kwanini wakurya wanaamini ukeketaji mnawakemea....ila Hawa wafia dini wazungu na waarabu weusi hamwakemei??
Kwanini hawakubeba 'Jeneza' la kiislamu, kuigiza kama masheikh, kubeba tasbii, msahafu, kuvaa Barakashee nk. ?Kosa ni lipi hapo,kuigiza kuaga mwili? kwa hiyo maigizo yamekatazwa?
Wangekuwa mudi family pangechimbika sema Christians are very humbleWakristo huwa hawana shida...
Nimemdharau Sana mshana kwa comment ya kijinga hiviHuna akili wewe
Endelea na biashara ya massageKosa hasa lililogusa ukristo ni nini?
Hakuna joho la njano makanisaniMbona hili boga halikemewi kutumia alama ya msalaba kwenye uhayawani wake?
View attachment 2320398
Mashabiki wa simba bana 🤣🤣🤣Walikua sahihi ila Simba ni waungwana sana,
Kosa limeshaombewa msamaha na viongozi wa simba sc na kwenye tamko lao wameeleza vema tu.Kosa ni lipi hapo,kuigiza kuaga mwili? kwa hiyo maigizo yamekatazwa?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mkuu nahisi kidogo utakuwa na funza kwenye ubongo.
Fake funerals, chicken crucifixions and joke processions: they're just a part of Italian football culture
Waislamu wapo hivyo ila waguse wao sasa.Maustaadh wa bongofleva bhana!Kumbe huyo tunda ni muislam si angeingia na kanzu na kibaragashia,na lile la kubebea maiti la kiislam. Usimtendee mwenzako jambo ambalo haupendi kutendewa.
IoWatangazaji wa clouds wa kipindi cha jahazi leo waliongea upuuzi mwingi sana kutetea lile igizo la jeneza,
sasa wenye club yao wameomba radhi.
Itoshe tu kusema wewe ni mpumbavuMndali ndanyelakakomu acha ubishi...
Chukwu emeka acha ubishi..
nandengele acha ubishi...
Mmakonde wa Canada acha ubishi...
Luc Eymael acha ubishi...
redio acha ubishi...
Dabil acha ubishi jombaa...
Diamond Platnumz Muislamu,
Zuchu Muislamu.
Harmonize Muislamu.
Raymond Shaban Muislamu.
Mbosso Muislamu.
Lavalava Muislamu.
Aslay Muislamu.
Marioo Muislamu.
Alikiba Muislamu.
Salim Kasim (S2Kizzy) Muislamu.
Laizer Classic (WCB) Muislamu.
Mandonga Mtu Kazi Muislamu.
Shabani Kaoneka Muislamu.
Kikwete Muislamu.
Samia Muislamu.
Majaliwa Kassim Muislamu.
Hussein Mwinyi Muislamu.
Hili suala siyo la kidini bali ni la kishabiki wa Simba na Yanga,linalazimishwa tu kuchukua mkondo wa kidini. Mimi ni mkristo lakini sijaona kuwa ukristo umedhihakiwa kwani ni jambo la kawaida tu kwenye Sanaa, ndiyo maana hata kwenye filami watu wanaigiza hata ndani ya Kanisa na hata kumuigiza Yesu Kristo. Wote mnaojadili kwa mtazamo wa dini ni wapuuzi tu maana mumeshahama sasa ni malumbano ya Ukristo na Uislamu, wacheni upumbavu. Mods futeni kabisa huu uzi.Hao wakiristo nao watulie au watuonyeshe kama wana patent right ya huo msalaba
Nyie washabiki wa Yanga ndiyo wapumbavu kwani mumelichochea jambo dogo hili hadi limezaa malumbano ya kidini. Hata hao maaskofu michongo waliolibebea bango suala hili ni wapumbavu vile vile na watakuwa ni washabiki wa Yanga.Mashabiki wa simba bana 🤣🤣🤣
Stan na tunda Wenyewe ni waislam kwanini wasingekuja na kuzika kwenye mwanandaniKosa hasa lililogusa ukristo ni nini?
Ha ha ha ndo kwa Manara alisema kuwa hivyo.Kuliko hawa