Tundaman Kuingia na Jeneza, Simba SC yaomba Radhi

Tundaman Kuingia na Jeneza, Simba SC yaomba Radhi

Wewe siyo mfia dini, Kwahiyo ni ngumu kwako kupata hisia waliyopata hao wanaopenda vifaa na ishara zao zitumike katika malengo ya kidini yaliyokusudiwa.
KIFUPI: Tusitengeneze maigizo yanayokera Imani za watu( tusichukulie poa Imani za watu wengine, Kwasababu zinamaumivu kwa wahusika).
Hivi kwanini wakurya wanaamini ukeketaji mnawakemea....ila Hawa wafia dini wazungu na waarabu weusi hamwakemei??
 
Fake funerals, chicken crucifixions and joke processions: they're just a part of Italian football culture

Sampdoria fans are delighted with their rivals' demise

It's a good feeling to win, but it's not the best. It's so much better to watch your opponents crash and burn. Well, at least that's the conclusion you'd come to after taking a stroll through the streets of Genoa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wasanii hasa walio waislamu wanajitahidi sana kuudhalilisha ukristo kisa tu hauhukumu kama kule kwao.
 
Kumbe huyo tunda ni muislam si angeingia na kanzu na kibaragashia,na lile la kubebea maiti la kiislam. Usimtendee mwenzako jambo ambalo haupendi kutendewa.
Waislamu wapo hivyo ila waguse wao sasa.Maustaadh wa bongofleva bhana!
 
Watangazaji wa clouds wa kipindi cha jahazi leo waliongea upuuzi mwingi sana kutetea lile igizo la jeneza,
sasa wenye club yao wameomba radhi.
Io
Mndali ndanyelakakomu acha ubishi...
Chukwu emeka acha ubishi..
nandengele acha ubishi...
Mmakonde wa Canada acha ubishi...
Luc Eymael acha ubishi...
redio acha ubishi...
Dabil acha ubishi jombaa...

Diamond Platnumz Muislamu,
Zuchu Muislamu.
Harmonize Muislamu.
Raymond Shaban Muislamu.
Mbosso Muislamu.
Lavalava Muislamu.
Aslay Muislamu.
Marioo Muislamu.
Alikiba Muislamu.

Salim Kasim (S2Kizzy) Muislamu.
Laizer Classic (WCB) Muislamu.
Mandonga Mtu Kazi Muislamu.
Shabani Kaoneka Muislamu.

Kikwete Muislamu.
Samia Muislamu.
Majaliwa Kassim Muislamu.
Hussein Mwinyi Muislamu.
Itoshe tu kusema wewe ni mpumbavu
 
Hao wakiristo nao watulie au watuonyeshe kama wana patent right ya huo msalaba
Hili suala siyo la kidini bali ni la kishabiki wa Simba na Yanga,linalazimishwa tu kuchukua mkondo wa kidini. Mimi ni mkristo lakini sijaona kuwa ukristo umedhihakiwa kwani ni jambo la kawaida tu kwenye Sanaa, ndiyo maana hata kwenye filami watu wanaigiza hata ndani ya Kanisa na hata kumuigiza Yesu Kristo. Wote mnaojadili kwa mtazamo wa dini ni wapuuzi tu maana mumeshahama sasa ni malumbano ya Ukristo na Uislamu, wacheni upumbavu. Mods futeni kabisa huu uzi.
 
Mashabiki wa simba bana 🤣🤣🤣
Nyie washabiki wa Yanga ndiyo wapumbavu kwani mumelichochea jambo dogo hili hadi limezaa malumbano ya kidini. Hata hao maaskofu michongo waliolibebea bango suala hili ni wapumbavu vile vile na watakuwa ni washabiki wa Yanga.
 
Back
Top Bottom