Tundaman Kuingia na Jeneza, Simba SC yaomba Radhi

Tundaman Kuingia na Jeneza, Simba SC yaomba Radhi

Club ya Simba (makolo) imeomba radhi Kufuatia tukio la kitoto lililofanyika katika siku ya tamasha lao.
FB_IMG_1660157166414.jpg
 
68% ya Watanzania ni Waislamu.
Ukiunganisha na visiwani namba inapanda hadi 73%.

Wakristo ni minority katika nchi yetu. Tunapowakosea ni vizuri kuwaomba radhi kama hivi, wasijisikie unyonge!

Dar majority ni Waislamu. Wakristo (watu wa bara) wamehamia tu.

Pwani ndio kabisaaaa.

Lindi, Mtwara huko kote wamejaa Waislamu.

Tanga kunani pale wamejaa wao.

Tabora, Singida misikiti kila kona.

Kigoma huwaambii kitu misikiti imejaa.

Dodoma 50 kwa 50.

Mwanza 50 kwa 50.

Mikoa pekee yenye majority Wakristo ni Kilimanjaro, Rukwa, Iringa na Mbeya.
 
68% ya Watanzania ni Waislamu.
Ukiunganisha na visiwani namba inapanda hadi 73%.

Wakristo ni minority katika nchi yetu. Tunapowakosea ni vizuri kuwaomba radhi kama hivi, wasijisikie unyonge!

Dar majority Waislamu.
Pwani ndio kabisaaaa.
Lindi, Mtwara huko kote wamejaa Waislamu.
Tanga kunani pale wamejaa wao.
Tabora, Singida misikiti kila kona.

Mikoa pekee yenye majority Wakristo ni Kagera, Kilimanjaro, Rukwa na Iringa.
Mkuu nahisi kidogo utakuwa na funza kwenye ubongo.
 
68% ya Watanzania ni Waislamu.
Ukiunganisha na visiwani namba inapanda hadi 73%.

Wakristo ni minority katika nchi yetu. Tunapowakosea ni vizuri kuwaomba radhi kama hivi, wasijisikie unyonge!

Dar majority Waislamu.
Pwani ndio kabisaaaa.
Lindi, Mtwara huko kote wamejaa Waislamu.
Tanga kunani pale wamejaa wao.
Tabora, Singida misikiti kila kona.

Mikoa pekee yenye majority Wakristo ni Kagera, Kilimanjaro, Rukwa na Iringa.
Una kichaa?
 
68% ya Watanzania ni Waislamu.
Ukiunganisha na visiwani namba inapanda hadi 73%.

Wakristo ni minority katika nchi yetu. Tunapowakosea ni vizuri kuwaomba radhi kama hivi, wasijisikie unyonge!

Dar majority Waislamu.
Pwani ndio kabisaaaa.
Lindi, Mtwara huko kote wamejaa Waislamu.
Tanga kunani pale wamejaa wao.
Tabora, Singida misikiti kila kona.

Mikoa pekee yenye majority Wakristo ni Kagera, Kilimanjaro, Rukwa na Iringa.
Basi utakuwa unaota ndoto ya mchana
 
68% ya Watanzania ni Waislamu.
Ukiunganisha na visiwani namba inapanda hadi 73%.

Wakristo ni minority katika nchi yetu. Tunapowakosea ni vizuri kuwaomba radhi kama hivi, wasijisikie unyonge!

Dar majority Waislamu.
Pwani ndio kabisaaaa.
Lindi, Mtwara huko kote wamejaa Waislamu.
Tanga kunani pale wamejaa wao.
Tabora, Singida misikiti kila kona.

Mikoa pekee yenye majority Wakristo ni Kagera, Kilimanjaro, Rukwa na Iringa.
Mkuu ukileta ujinga kama huu mbele ya jamii unaweza kuonekana huna akili

Jitahidi kupoza sio kuchochea

Dini ni maisha ya watu hilo halijalishi wengi au wachache

Dini ni miongozo ya watu bila kujali idadi yao

Dini ni misingi ya dunia kwa waumini wake bila kujali idadi yao

Hivyo tuheshimu dini bila kuhesabu idadi yao maana wanaweza kuwa wengi ila wachache wanaweza kuwa wachache ila wakawa wengi
 
68% ya Watanzania ni Waislamu.
Ukiunganisha na visiwani namba inapanda hadi 73%.

Wakristo ni minority katika nchi yetu. Tunapowakosea ni vizuri kuwaomba radhi kama hivi, wasijisikie unyonge!

Dar majority Waislamu.
Pwani ndio kabisaaaa.
Lindi, Mtwara huko kote wamejaa Waislamu.
Tanga kunani pale wamejaa wao.
Tabora, Singida misikiti kila kona.

Mikoa pekee yenye majority Wakristo ni Kagera, Kilimanjaro, Rukwa na Iringa.
mhh mbeya,mwanza,arusha,shinyanga,simiyu,mara,ruvuma,katavi,geita,njombe,manyara majority ipoje kwenye haya maeneo
 
Ni chokochoko tu. Angefanya hayo maigizo mkristo kwa kutumia maudhui ya dini yao, kesho yake ungesikia matamko ya vitisho zaidi ya 200!
Tena wangepagawa na mapepo ya kina Makata, Maimuna, Kisimba, n.k. Amani ya nchi hii kwa upande wa imani za kidini inabebwa na ukristo laiti kama wakristo wangekuwa arrogant kwa issue za kidini kama upande wa pili nadhani nchi hii ingekuwa na misukosuko mingi ya kidini.
 
Basi utakuwa unaota ndoto ya mchana
hahaha hawa jamaa huwa wanajifanya wapo wengi lakin mark maneno yangu tupo 60m iv nchi nzima but hawazid 20m na mikoa dominant kwao ni tanga,mtwara,lindi,singida,tabora,pwani na kigoma na zanzibar na hizi ndio sehemu waarabu walifikia na kuishi na dar sina hakika sana mwingiliano ni mkubwa
 
Back
Top Bottom