Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Haya matukio yameshafanywa sana na Yanga na ccm lakini sijawahi kuona yakikemewa.... Sasa leo najaribu kujiuliza kama jeneza limekuwa alama ya imani fulaniConnection ni ile kanzu pamoja, msalaba n kama sikosei alibeba kitu kama Bible
Na kuhusu msalaba kuna umbumbumbu mkubwa sana kwenye hili kwakuwa misalaba ni mingi lakini msalaba unaowakilisha Ukristo ni tofauti na mingine ambapo juu ni kufupi kuliko chini chini
Sent using Jamii Forums mobile app