Tundu A. Lissu amekata tamaa ya kuja kuwa Rais wa Tanzania. Ataendelea kuwa Mwanaharakati Machachari wa Tanzania

Mwacheni Mwenyezi Mungu atende miujiza yake, yaani mliye mpiga risasi za kutosha bado yupo anadunda na aliye ratibu mpango mzima leo hii yupo kaburin, kibaya zaidi aliye kaburin hakuwahi omba msamaha, yaani amekwenda motton na dhambi yake!!!! Kwenye hili TL anayo haki ya kumdhihaki mbaya wake adi siku ya kiama!
 
Ndio maana tunalilia Tume huru halafu iwapo ccm itashinda tunawapa mkono wa pongezi

Kila washinde kihalali wanaogopa nini?

nchi kupewa madalali na vibaka.

mtu aliyetayari nchi iingie kwenye machafuko kisa yeye kushika madaraka,anakosa sifa zote za kuwa kiongozi.
 
nchi kupewa madalali na vibaka.

mtu aliyetayari nchi iingie kwenye machafuko kisa yeye kushika madaraka,anakosa sifa zote za kuwa kiongozi.
Machafuko mtayaleta ninyi kwa kung'ang'ania Madaraka
 
K
Vita ya Lissu na Magufuli matokeo ni Lissu yu hai Magu is Dead na bado Mataga wanatembeza mifupa Mwanza

Vita ya Lissu na Mataga ndio kwaaza imeanza na wala haitachukua raundi Lissu anaibuka kidedea
Hawezi kuwa hai milele. Ndugu yangu, kifo ni muda tu unasema. Usijigambe kuwa huyo mtu wako typo hai. Atakufa tu muda ukifika.
 
K

Hawezi kuwa hai milele. Ndugu yangu, kifo ni muda tu unasema. Usijigambe kuwa huyo mtu wako typo hai. Atakufa tu muda ukifika.
Afe ilihali tumepata Katiba na Tume HURU
Sio kufa kibudu na marisasi chungu mzima
 
Ni wivu unakusumbua we bi.Mdogo
 
tuko awamu ya 6 ya uongozi unaleta story za kung'ang'ania madaraka.

kwani unafikiri kwa kutumia kitu gani!!!
Soma vizuri hizo post hivi unajua maana kung'ang'ania madaraka kukoje ni pamoja ma kuiba Uchaguzi kukataa HAKI ya Wananchi kuchagua Viongozi na Vyama wavitakavyo

Kutumia Nguvu za Majeshi ya Polisi na Magereza kuwanyanyasa Wapinzani

Kuzuia matakwa ya Wananchi ya kutaka Katiba Mpya na Tume HURU
 
Kamtishe bb yako huko kijijin chto nguchiro we
 
Nguchiro waheed
 
Vita ya Lissu na Magufuli matokeo ni Lissu yu hai Magu is Dead na bado Mataga wanatembeza mifupa Mwanza

Vita ya Lissu na Mataga ndio kwaaza imeanza na wala haitachukua raundi Lissu anaibuka kidedea
Watz hawawezi kukubali kuongozwa na shoga Lissu Amsterdam mkuu. Jemedari tumemlaza leo kwenye nyumba ya milele sasa tuna wanasubiri wanaharakati na mashoga walete cha kuleta. Lissu aendelee kulelewa huko na Amsterdam tu!
 
Kuhusu kusamehe Soma post za Mshauri wake wa masuala ya kiroho Askofu Amakula
 
Watz hawawezi kukubali kuongozwa na shoga Lissu Amsterdam mkuu.
Mbona Serikali ya ccm imekubali uwepo wa Mashoga Nchini na huyo jembe wako ndie alieruhusu?
Au nayeye alikuwa na mpini wake wa siri.
 
Mbona Serikali ya ccm imekubali uwepo wa Mashoga Nchini na huyo jembe wako ndie alieruhusu?
Au nayeye alikuwa na mpini wake wa siri.
Natamani kweli mkuu nije tuongee ili nikufundishe nasikia ni dreva wa lorry. Ni kweli?
 
Watz hawawezi kukubali kuongozwa na shoga Lissu Amsterdam mkuu. Jemedari tumemlaza leo kwenye nyumba ya milele sasa tuna wanasubiri wanaharakati na mashoga walete cha kuleta. Lissu aendelee kulelewa huko na Amsterdam tu!
Tatizo lenu NYIE CCM na CDM mnaamini kila mtu ana akili za Kushikiwa na hivyo vyama na matusi. Sisi wengine hatuna vyama ni watanzania tu wazalendo. Huu umeandika ni upuuzi. Tuelimishane kwa hoja na si vioja na dhihaka.

Wewe umewahi kuwa na mahusiano naye akakwambia hatoweza kusex nawe sababu yeye ni shoga?mkifanya hivi wanawake mnajidhalilisha sana na ukichukulia tuna rais mwanamke. So haya maneno ya ukipishana na mwanaume kimawazo unamwita shoga hayajengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…