mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Lisu ana hasira na watanzania?.Lisu keshajikatia tamaa.hana la kupoteza kawa kama mwehu ndomana haogop kutukana na ana hasira na wa Tz sabab kaona mbaya wake anapendwa sanaaaa
Abak huko huko akina huku nitakua wa kwanza kumtupia mayai visa pale airport
Hata Musiba alisema hivyo akashindwa sembuse wewe mwenye kujificha kwenye ID fake.Lissu akirudi bongo nitampiga RISASI Mimi mwenyewe, sitanii. Nimeshaandaa magazine za kutosha. Washtue MODS, toa taarifa popote Ila huu ndo ukweli. Hii Vita ni kama 2Pac na Notorious B.I.G ili pande zote zi balance akifa mmoja lazima na mwingine afe. Mfikishie huu ujumbe TUNDU LISSU. Hata asije leo asubiri 2025 akitua nchini tu ndani ya siku 30 lazima tumuondoe. Hii Vita aliyoanzisha imemzidi kimo.MARK MY WORDS.
Mungu akupe uhai ujionee mwenywe na wasikupige BAN TUVita ya Lissu na Magufuli matokeo ni Lissu yu hai Magu is Dead na bado Mataga wanatembeza mifupa Mwanza
Vita ya Lissu na Mataga ndio kwaaza imeanza na wala haitachukua raundi Lissu anaibuka kidedea
Msiba na wa nani? Na mtu yupo anapiga Kazi?Nilikuwa namheshimu Sana lisu hata 2020 nilimpa kura lakn kwa ubwabwajaji wake wakutokuwa na subra juu ya msiba
Amenikatisha tamaa saana
Chedema ni saccoss iliyochangamka!! 🤣🤣 kwa mbaali unaweza kufikiri ni chama cha siasaTumeshajidhihirisha kuwa CCM kamwe haitasikiliza Matakwa ya Wananchi bali wanasikiliza ya WanaCCM wenzao sisi Chadema tunasikiliza matakwa ya Wananchi wote
Tume HURU ndio utaelewa Chadema ni niniChedema ni saccoss iliyochangamka!! 🤣🤣 kwa mbaali unaweza kufikiri ni chama cha siasa
Bado unaliamini tamko la majaaliwaaMsiba na wa nani? Na mtu yupo anapiga Kazi?
Wewe na nani? Sikiliza Dogo tuache tuendeleze Party wewe kama umeumia sana kwa sababu Raisi alikuwa Kabila lako nenda Gambosh ukamroge Lissulazima tumuondoe
Utakufa kabla hujatimiza adhima yako mbwa wewe. Ila haya yote kayaleta jiwe,alipandikiza chuki baina yetu akatengeneza genge baya sana ambalo karibia liwe sawa na lile la Rwanda Interahamwe ndo tulikuwa tunaelea huko. All in all hatutafika huko Mungu anatupenda. Nashauri yawepo maridhiano. Mimi nayasema haya siyo mwanachama wa chama chochote ila ni mpenda haki, Hayati Magufuli nilimpenda sana kwa utendaji kazi wake na usimamizi ila kwa upande wa haki hasa Demokrasia aliniumiza sana pia.Lissu akirudi bongo nitampiga RISASI Mimi mwenyewe, sitanii. Nimeshaandaa magazine za kutosha. Washtue MODS, toa taarifa popote Ila huu ndo ukweli. Hii Vita ni kama 2Pac na Notorious B.I.G ili pande zote zi balance akifa mmoja lazima na mwingine afe. Mfikishie huu ujumbe TUNDU LISSU. Hata asije leo asubiri 2025 akitua nchini tu ndani ya siku 30 lazima tumuondoe. Hii Vita aliyoanzisha imemzidi kimo.MARK MY WORDS.
Kwani kasemaje na wapi?Kwa wivu huu wa mpk kwa marehemu simpi tena Kura yangu kaniudhii!!
Nililishangaa ule uongo mkuu.ndiyo nikamjibu yule kwanini wasimchukie waliosema yupo anapiga Kazi wanamchukia LisuBado unaliamini tamko la majaaliwaa
Akili nzuri kwako ni zile za wale waliosema yupo ofisini anapiga kazi.Kwa akili mbovu za mtu kama lissu bora ccm itutawale tu milele.Nilikuwa namkubali tundu lissu lakini sasa namuona kama hayawani
Akili za nyumbu tu hizo, kupambana na maiti ni uwendawazimu naona Wana SACCOS mnapambana na hayati.Eti siku Tanzania ije kuongozwa na mtu kama huyo??
Kama maiti tu ameshindwa kuiheshimu, si atafukia hata watu migodini kisa anataka kuwapa wazungu migodi yetu!!
Angekuwa chuma angekimbia? Shoga Hilo unaita chuma?Kwa sasa the smart one anayeweza kuleta mapinduzi makubwa kwenye kila idara, ni
Chuma Antipas lisu pekee