KIGENE
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,552
- 813
werema anamwogopa lissu kuliko anavyokiogopa kifo,..kichwa kimoja cha lissu ni sawa na vichwa 100 vya werema.
Mbavu sina mkuu!!!!!!!!!!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
werema anamwogopa lissu kuliko anavyokiogopa kifo,..kichwa kimoja cha lissu ni sawa na vichwa 100 vya werema.
Yes hata jimboni kwake lisu tu ndio anajua kuoga
Harakati za LISSU alianza zamani sana na ndie alieshinikiza serikali kuheshimu mchango wa wachimbaji wadogo huko GEITA na hadi leo matunda yake yanaonekana.
Mwenyewe alishasema njaa haina adabu! Kwa sasa anamtumikia kafiri ili apate 'mkate' wake. Chezea njaa wewe?Yaani Mzee Mrema siku hizo alitisha sana, ila siku hizi kashaingia line, amebaki kufukuzia mafao yake
teh teh, ina maana kamzidi hata mkeo?Yes hata jimboni kwake lisu tu ndio anajua kuoga
Lisu ni matunda ya mfumo bora wa elimu yetu Tz
I SALUTE TUNDU LISSU. ULIMPGANIA SANA BROTHER CHACHA KIPINDI KILE.DEUS MALYA AKAENDESHA GARI VIBAYA IKATOKEA AJALI NA CHACHA is NO MORE.
ha ha ha comrade wa kitanzini upo? kwani wewe hauna historia? basi maisha yako si ya upiganaji.Heshima sana Tundu Lissu wengine kweli mna historia. Salute sana.