Pre GE2025 Tundu Antipas Lissu, Rais Tanzania 2025-2035, Mungu Hapingwi

Pre GE2025 Tundu Antipas Lissu, Rais Tanzania 2025-2035, Mungu Hapingwi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Atakayepingana na Maono haya no dhahiri anapingana na Allah, Muumba wa Vitu Vyote. Sifa za Rais wetu mpya
1. Mpenda Haki - Anahakikisha Kuna uhuru wa mawazo, maoni, Mahakama kuwa Huru, Polisi kutenda Haki,

2. Kufuta Kabisa Uchawa- Rais huyu mpya atafuta uchawa na kusifia Kila kitu na mtu mwenye madaraka. Kitu ambacho kinaitafuna Jamii yetu ya Tanzania Kwa Sasa.

3. Kuondoa Rushwa - matumizi makubwa ya Fedha za umma kutoa Rushwa ya vyeo Kwa watu wote wakiwemo wasanii imeharibu Jamii yetu kabisa.

4. Kuchagua Viongozi Bora - sio viongozi tu Kwa sababu zisizo eleweka, Rais Lissu ni mtu Mwema na Ni mtu alieletwa na Mungu kuikomboa Tanzania.

Kwakuwa Serikali ya chama tawala wamekita mizizi yao Kila sehemu, na mada kama hizi huwachukiza, ila naamini Mungu ataonesha Makuu yake Ifikapo mwisho mwa mwaka huu. Kwa mara ya Kwanza Upinzani utaongoza nchi. Maisha yataendelea, ila top level ya juu ya serikali itakuwa na watu wengine tofauti, na si kutoka Mbinguni au Rwanda Bali ni hapa hapa Tanzania na wengine ndani ya serikali hii hii.
 
Ilikuwa TAA ,yaani Tanganyika African association,ikaja TANU yaani Tanganyika African National Union sijui kama nimepatia.

Halafu ikaja CCM yaani Chama Cha Mapinduzi .

Na ni jana tu wenye chama Chao wametoka kusherehekea miaka 50 kasoro 2 Empire waliyoweka ni kubwa.

Siyo rahisi hao kutoka labda kwa kujitoa muhanga Kwa wachache.
 
Hili liko wazi, lakini, je CCM watakubali kushindwa kirahisi?
Dah wakuu sjui mnawazaga Nini ..ccm agawe nchi Kwa makaratasi , hivi mnawazaga vipi ...
2015 kila dalili edo akishinda ule uchaguzi hakuna namna magufuli alimshinda edo ..
Mahalim seif alikua ana shinda kila uchaguzi Zanzibar hakuwai kutangazwa..
Lipo tatizo la msingi upinzani inabidi wa deal nalo kwanza kabla kufkirika kuchkua nchii..
Kwa sasa wangewekeza zaid kwenye kua na wabunge wengi wa majimbo wakapambane bungeni kujaribu kubadilisha mambo.
 
Ilikuwa TAA ,yaani Tanganyika African association,ikaja TANU yaani Tanganyika African National Union sijui kama nimepatia.

Halafu ikaja CCM yaani Chama Cha Mapinduzi .

Na ni jana tu wenye chama Chao wametoka kusherehekea miaka 50 kasoro 2 Empire waliyoweka ni kubwa.

Siyo rahisi hao kutoka labda kwa kujitoa muhanga Kwa wachache.
Watz ni wengi na wana nguvu kuliko CCM. Wenyewe wameshindwa kuheshimu Katiba yao kumpata Mgombea Urais. Dhambi hiyo inatosha kuwamaliza.
 
Genuine question: Kuna interview moja nilisikia amesema yeye anataka uenyekiti wa chama na Mbowe anaweza kuwa presidential candidate. Vipi, hilo limeshabadilika?

Kumradhi kama hili swala lilishazungumziwa na limenipita.
 
Watz ni wengi na wana nguvu kuliko CCM. Wenyewe wameshindwa kuheshimu Katiba yao kumpata Mgombea Urais. Dhambi hiyo inatosha kuwamaliza.
CCM ipo kila ulipo all the time (omn present), it's not practical to defeat CCM, kama presence ya upinzani ni wakati wa mchakato wa uchaguzi tu.
 
Genuine question: Kuna interview moja nilisikia amesema yeye anataka uenyekiti wa chama na Mbowe anaweza kuwa presidential candidate. Vipi, hilo limeshabadilika?

Kumradhi kama hili swala lilishazungumziwa na limenipita.
mbowe? Labda wameamua kutafuta wabunge tu. Mbowe ataburuzwa na samia kwa kura nyingi, afadhali lissu anaweza kumkaribia kama si kumpita kabisa
 
Atakayepingana na Maono haya no dhahiri anapingana na Allah, Muumba wa Vitu Vyote. Sifa za Rais wetu mpya
1. Mpenda Haki - Anahakikisha Kuna uhuru wa mawazo, maoni, Mahakama kuwa Huru, Polisi kutenda Haki,

2. Kufuta Kabisa Uchawa- Rais huyu mpya atafuta uchawa na kusifia Kila kitu na mtu mwenye madaraka. Kitu ambacho kinaitafuna Jamii yetu ya Tanzania Kwa Sasa.

3. Kuondoa Rushwa - matumizi makubwa ya Fedha za umma kutoa Rushwa ya vyeo Kwa watu wote wakiwemo wasanii imeharibu Jamii yetu kabisa.

4. Kuchagua Viongozi Bora - sio viongozi tu Kwa sababu zisizo eleweka, Rais Lissu ni mtu Mwema na Ni mtu alieletwa na Mungu kuikomboa Tanzania.

Kwakuwa Serikali ya chama tawala wamekita mizizi yao Kila sehemu, na mada kama hizi huwachukiza, ila naamini Mungu ataonesha Makuu yake Ifikapo mwisho mwa mwaka huu. Kwa mara ya Kwanza Upinzani utaongoza nchi. Maisha yataendelea, ila top level ya juu ya serikali itakuwa na watu wengine tofauti, na si kutoka Mbinguni au Rwanda Bali ni hapa hapa Tanzania na wengine ndani ya serikali hii hii.
TL FOR PRESIDENCY
 
Back
Top Bottom