Pre GE2025 Tundu Antipas Lissu, Rais Tanzania 2025-2035, Mungu Hapingwi

Pre GE2025 Tundu Antipas Lissu, Rais Tanzania 2025-2035, Mungu Hapingwi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Please endapo kama ndoto hii itatimia(na ninaombea sana itokee) kwenye serikali yake Lisu Tunataka aanzishe wizara ya ufanisi wa serikali ni muhimu sana.

Serikali hii ya sasa hivi ya ccm imerudisha watumishi hewa kibao na kuna matumizi mengi sana ya ajabu ajabu ya kodi za wanainchi.
 
Please endapo kama ndoto hii itatimia(na ninaombea sana itokee) kwenye serikali yake Lisu Tunataka aanzishe wizara ya ufanisi wa serikali ni muhimu sana.

Serikali hii ya sasa hivi ya ccm imerudisha watumishi hewa kibao na kuna matumizi mengi sana ya ajabu ajabu ya kodi za wanainchi.
Hii Muhimu sana
 
Please endapo kama ndoto hii itatimia(na ninaombea sana itokee) kwenye serikali yake Lisu Tunataka aanzishe wizara ya ufanisi wa serikali ni muhimu sana.

Serikali hii ya sasa hivi ya ccm imerudisha watumishi hewa kibao na kuna matumizi mengi sana ya ajabu ajabu ya kodi za wanainchi.
Sawa sawa, Lissu namfananisha na Lazarus Chakwera wa Malawi, Malawi imekuwa tamu sana.
 
Sawa sawa, Lissu namfananisha na Lazarus Chakwera wa Malawi, Malawi imekuwa tamu sana.
Aisee yule mwamba sana, acheki kabisa na wabadhirifu wa pesa za umma wala haogopi mtu. Na tunahitaji raisi wa namna hiyo, sio mnakaa mnaongozwa na mtu anayefuga machawa na mafisadi huku taifa likiteketea yeye hana la kufanya
 
3. Kuondoa Rushwa - matumizi makubwa ya Fedha za umma kutoa Rushwa ya vyeo Kwa watu wote wakiwemo wasanii imeharibu Jamii yetu kabisa.























lisu ni mmoja wa waliohongwa na kowasa 2015 kupata ugombea urais, anaweza kushinda urais, lakini hana ubavu wa kuondoa rushwa nchini.
 
Atakayepingana na Maono haya no dhahiri anapingana na Allah, Muumba wa Vitu Vyote. Sifa za Rais wetu mpya
1. Mpenda Haki - Anahakikisha Kuna uhuru wa mawazo, maoni, Mahakama kuwa Huru, Polisi kutenda Haki,

2. Kufuta Kabisa Uchawa- Rais huyu mpya atafuta uchawa na kusifia Kila kitu na mtu mwenye madaraka. Kitu ambacho kinaitafuna Jamii yetu ya Tanzania Kwa Sasa.

3. Kuondoa Rushwa - matumizi makubwa ya Fedha za umma kutoa Rushwa ya vyeo Kwa watu wote wakiwemo wasanii imeharibu Jamii yetu kabisa.

4. Kuchagua Viongozi Bora - sio viongozi tu Kwa sababu zisizo eleweka, Rais Lissu ni mtu Mwema na Ni mtu alieletwa na Mungu kuikomboa Tanzania.

Kwakuwa Serikali ya chama tawala wamekita mizizi yao Kila sehemu, na mada kama hizi huwachukiza, ila naamini Mungu ataonesha Makuu yake Ifikapo mwisho mwa mwaka huu. Kwa mara ya Kwanza Upinzani utaongoza nchi. Maisha yataendelea, ila top level ya juu ya serikali itakuwa na watu wengine tofauti, na si kutoka Mbinguni au Rwanda Bali ni hapa hapa Tanzania na wengine ndani ya serikali hii hii.
Bwahahahahaaaaaa
 
Ukweli uko mbele ya pua yako....

Tanzania tayari naongozwa na MWANAMKE...hiyo Tanzania yako ya ndotoni iko sayari gani?!!

MISOGYNYIST mkubwa wewe

Anaongoza kwa kurithi mikoba sio kwa kupigiwa kura
 
lisu ni mmoja wa waliohongwa na kowasa 2015 kupata ugombea urais, anaweza kushinda urais, lakini hana ubavu wa kuondoa rushwa nchini.
Hata marekani Kuna Rushwa ila sio kama huku kwetu, Lissu akiingia atapunguza Rushwa na atayafunua madudu mengi ya CCM
 
Back
Top Bottom