Pre GE2025 Tundu Antipas Lissu, Rais Tanzania 2025-2035, Mungu Hapingwi

Pre GE2025 Tundu Antipas Lissu, Rais Tanzania 2025-2035, Mungu Hapingwi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Atakayepingana na Maono haya no dhahiri anapingana na Allah, Muumba wa Vitu Vyote. Sifa za Rais wetu mpya
1. Mpenda Haki - Anahakikisha Kuna uhuru wa mawazo, maoni, Mahakama kuwa Huru, Polisi kutenda Haki,

2. Kufuta Kabisa Uchawa- Rais huyu mpya atafuta uchawa na kusifia Kila kitu na mtu mwenye madaraka. Kitu ambacho kinaitafuna Jamii yetu ya Tanzania Kwa Sasa.

3. Kuondoa Rushwa - matumizi makubwa ya Fedha za umma kutoa Rushwa ya vyeo Kwa watu wote wakiwemo wasanii imeharibu Jamii yetu kabisa.

4. Kuchagua Viongozi Bora - sio viongozi tu Kwa sababu zisizo eleweka, Rais Lissu ni mtu Mwema na Ni mtu alieletwa na Mungu kuikomboa Tanzania.

Kwakuwa Serikali ya chama tawala wamekita mizizi yao Kila sehemu, na mada kama hizi huwachukiza, ila naamini Mungu ataonesha Makuu yake Ifikapo mwisho mwa mwaka huu. Kwa mara ya Kwanza Upinzani utaongoza nchi. Maisha yataendelea, ila top level ya juu ya serikali itakuwa na watu wengine tofauti, na si kutoka Mbinguni au Rwanda Bali ni hapa hapa Tanzania na wengine ndani ya serikali hii hii.
Kama Lissu atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2025/2030 basi natamka ya kwamba mimi Mtoto wa Shule kuanzia 2025/2030 Lissu atakapokuwa Rais nitakuwa SHOGA kutekeleza sera ya Rais Lissu!!
 
Hapa CCM na Polisi watapigana usiku na mchana kulinda rushwa ya CCM, hawa Polisi wetu ni tabula rasa (baadhi sio wotei
Hao tabula rasa ni wote.
Kama wewe ni "ke" upo choo cha kiume na wewe umepotea ukijua ni choo cha kike, si unatoka fasta!!??
 
Kama Lissu atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2025/2030 basi natamka ya kwamba mimi Mtoto wa Shule kuanzia 2025/2030 Lissu atakapokuwa Rais nitakuwa SHOGA kutekeleza sera ya Rais Lissu!!
Lissu na ushoga wapi na wapi!!?
Ushoga upo CCM.
 
Kama Lissu atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2025/2030 basi natamka ya kwamba mimi Mtoto wa Shule kuanzia 2025/2030 Lissu atakapokuwa Rais nitakuwa SHOGA kutekeleza sera ya Rais Lissu!!
Shida unafikiri kura Yako utakayompigia Samia basi wote tutampigia hamna hiko kitu, we kampe Samia, Mimi na familia yangu Lissu
 
Lissu na ushoga wapi na wapi!!?
Ushoga upo CCM.
Ahahahahaha! Unampenda Lissu lakini hufuatilii kwenye mahojiano yake anayofanya na Vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi. Ahahahahaha!!

Kwa kifupi Lissu ni MFUASI WA LGBTQ pro!
 
Shida unafikiri kura Yako utakayompigia Samia basi wote tutampigia hamna hiko kitu, we kampe Samia, Mimi na familia yangu Lissu
Hapo umekosea. Kila mwana familia wako ana haki yake ya kumpigia kura anayemtaka. Lakini, ukifikiri watampigia unayemtaka wewe, basi jua unaishi kwenye Karne ya ya kumi na sita! Ahahahahaha!!!
 
Utabiri koko....

Babu yangu mtabiri maarufu ameniambia kuwa "Saatu Khabar" zinaonyesha kuwa UTAWALA BADO NI WA MWANAMKE mpaka hapo "ubuluu wa anga" utakapoondoka 2030.....

Babu kakwambia hivyo ila Tanzania haipo tayari kuongozwa na Mwanamke kwa kupigiwa kura. Ukweli mchungu subiri suprises.
 
Ahahahahaha! Unampenda Lissu lakini hufuatilii kwenye mahojiano yake anayofanya na Vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi. Ahahahahaha!!

Kwa kifupi Lissu ni MFUASI WA LGBTQ pro!
Kuna tofauti ya kuwa mtetezi wa uvunjifu wa haki na kuwa muunga mkono wa uvunjifu wa uasilia dada.
 
Kuna tofauti ya kuwa mtetezi wa uvunjifu wa haki na kuwa muunga mkono wa uvunjifu wa uasilia dada.
Hata hujui umeandika nini. Na kama mimi ni dada, mtume mkeo au bintiyo aje anitembelee wikiendi hii! Ahahahahaha!!
 
Hata hujui umeandika nini. Na kama mimi ni dada, mtume mkeo au bintiyo aje anitembelee wikiendi hii! Ahahahahaha!!
Mtoto wa shule atabaki kuwa mtoto wa shule, tena shule za "St. Kayumba"!!

Mimi nimeachwa kuitwa mtoto wa shule mwaka 1990, wewe ulikuwa umezaliwa kweli Mtoto wa Shule !!???
 
Mtoto wa shule atabaki kuwa mtoto wa shule, tena shule za "St. Kayumba"!!

Mimi nimeachwa kuitwa mtoto wa shule mwaka 1990, wewe ulikuwa umezaliwa kweli Mtoto wa Shule !!???
Mwaka huo wa 1990 nilikuwa form one Kahororo Secondary School. Mkuu wangu wa Shule akiitwa Theodore Ishengoma a.k.a " ENSHOBYO"!!
Pia alikuwepo Mwl. Kabyemela a.k.a. "Enkura", Mwl. Agricola, ahahahahaha!!! Niendelee??
 
Babu kakwambia hivyo ila Tanzania haipo tayari kuongozwa na Mwanamke kwa kupigiwa kura. Ukweli mchungu subiri suprises.
Ukweli uko mbele ya pua yako....

Tanzania tayari naongozwa na MWANAMKE...hiyo Tanzania yako ya ndotoni iko sayari gani?!!

MISOGYNYIST mkubwa wewe
 
Back
Top Bottom