Tundu hakuwa msaliti, alitakiwa ajibiwe kwa hoja sio kwa mtutu. Alipwe pesa zake

Tundu hakuwa msaliti, alitakiwa ajibiwe kwa hoja sio kwa mtutu. Alipwe pesa zake

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Baadhi ya Watanzania wenzetu wana matatizo sana. Wanapenda kushadadia mambo bila kufanya tafakuri.

Kama mtu anasema mtapata hasara mkivunja mkataba fulani ndio apigwe risasi?

Mtu akisema tutumie akili kudili na masuala ya kisheria ndio apigwe masasi?

Serikali hii hii inatakiwa kumlipa Lissu stahiki zake. Ndio hii hii serikali iliyo mfanyia kitu mbaya.
 
Mkuu leo mchana tulikua na huo mjadala! Mtu anaanza kumlaumu tu Lissu namuuliza hivi unajua Lissu kaanza hizi harakati za madini lini? Hana jibu! Namuuliza wewe binafsi Lissu amewahi kukukosea nini mpaka unamchukia? Hana jibu!

Nilichokuja kugundua watu wengi wanaomchukia Lissu Wana uwezo mdogo sana kichwani kureason..(Mtanisamehe kwa hili)
 
Baadhi ya Watanzania wenzetu wana matatizo sana. Wanapenda kushadadia mambo bila kufanya tafakuri.

Kama mtu anasema mtapata hasara mkivunja mkataba fulani ndio apigwe risasi?

Mtu akisema tutumie akili kudili na masuala ya kisheria ndio apigwe masasi?

Serikali hii hii inatakiwa kumlipa Lissu stahiki zake. Ndio hii hii serikali iliyo mfanyia kitu mbaya.
Kwani Magu anasemaje huko motoni?
 
Mtawala mwerevu hutumia watu wenye akili nyingi kama Lissu kumshauri masuala mbalimbali ya uongozi wa nchi atayoiongoza na mtawala dikteta na mbumbumbu huua wale wote anaona ni threat kwake!!

Lissu hakustahili kabisa kupewa hati ya kifo...ni mzalendo na anaipenda sana Tanzania.
 
Baadhi ya Watanzania wenzetu wana matatizo sana. Wanapenda kushadadia mambo bila kufanya tafakuri.

Kama mtu anasema mtapata hasara mkivunja mkataba fulani ndio apigwe risasi?

Mtu akisema tutumie akili kudili na masuala ya kisheria ndio apigwe masasi?

Serikali hii hii inatakiwa kumlipa Lissu stahiki zake. Ndio hii hii serikali iliyo mfanyia kitu mbaya.
Mungu anasema maono ya lissu yapo na wamtakiao mabaya watashudia utukufu wa Mungu juu yake iwe mvua au jua ,wamekufa au WAKO hai, jiulize
1. Kapigwa risasi zaidi ya risasi za kumuua mnyama yeyote Dunian ila yupo, na anadunda pamoja na surgery kibao ambazo wenda zinavunja record, katika ulimwengu wa tiba ,25
2. Amenyimwa pesa ya matibabu, ya kujikim ila Ndo bado leo kavaa suti kali na imemkaa mwilini sawasawa,
3. Mkasema enzi za mwendazake haludi nchini, ebo ,mwanaume kaja mchana kweupe, kavuka vikwazo vyote vya nec, nakuanza kimbiza mwizi Kimia kimia bila huruma,
Lissu sio tumuonavyo huyu ni mshindi, alisema mchungaji mmoja,

Subilin wakati ,mda ,dakika muone utukufu wa Mungu ulivyo wa ajabu, ipo siku yaja
 
Mtawala mwerevu hutumia watu wenye akili nyingi kama Lissu kumshauri masuala mbalimbali ya uongozi wa nchi atayoiongoza na mtawala dikteta na mbumbumbu huua wale wote anaona ni threat kwake!!

Lissu hakustahili kabisa kupewa hati ya kifo...ni mzalendo na anaipenda sana Tanzania.
kama unakuwa na akili halafu unakuwa threat,hujui matumizi ya akili zako.

shetani mwenyewe baada ya kukirimiwa kila kitu akawa mpuuzi kudai madaraka na kuanza ukaidi,akapigwa mitama.

wakati ambao lissu alitakiwa aonyeshe yeye ni mwanasheria ambaye atasimama na tz ni wakati ule,badala yake akaleta harakati mpaka kule.
 
kama unakuwa na akili halafu unakuwa threat,hujui matumizi ya akili zako.

shetani mwenyewe baada ya kukirimiwa kila kitu akawa mpuuzi kudai madaraka na kuanza ukaidi,akapigwa mitama.

wakati ambao lissu alitakiwa aonyeshe yeye ni mwanasheria ambaye atasimama na tz ni wakati ule,badala yake akaleta harakati mpaka kule.
Ulitaka Lissu achekelee wakati mwendazake anavunja katiba ya nchi waziwazi...useless!!
 
Watu aina ya Lisu hata Congo pale wako wengi sana ana wamejazana ubelgiji!

Kila Congo ikijaribu kujikwamua kwenye makucha ya mabeberu kina Lisu wanaibuka na vurugu juu

Acha kuibua shutuma ambazo hazina groubds zozote, una uhakika na hicho unakishadadia au ndio kuunga tela tu kushabikia utopolo.
Hoja za Lisu zinapaswa kujibiwa na sio kumchukia mtoa Hoja.
 
Zile camera walizo ng'oa bado zingali na kumbukumbu!
Nahakika wahusika wengi wao wametangulia mbele ya haki,wachache waliobakia wakiendelea kukaidi,moto unawasubiri.
Mbaya zaidi wanahamisha laana kwa vizazi vyao.
 
Back
Top Bottom