WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Unaona hili! Hivi chuki zote za mwerndazake kwa chadema na viongozi wao,ingetokea kweli ndiyo waliopanga na kutekeleza mpango huo si wote wangeishia magerezani kwa kuidhalilisha serikali yake?Labda mtuambie kwanini nyie CHADEMA mlimpiga lissu risasi?