Tundu hakuwa msaliti, alitakiwa ajibiwe kwa hoja sio kwa mtutu. Alipwe pesa zake

Tundu hakuwa msaliti, alitakiwa ajibiwe kwa hoja sio kwa mtutu. Alipwe pesa zake

bila shaka imeshitakiwa MIGA kama mwanasheria msomi alivyotabiri.

Ushitakiwe kwani mmezuia kipi cha hao wawekezaji, maana kama ni makinikia bado wanasafirisha kama Kawaida. Ww ulishakuwa brainwashed na serikali ya dhalimu, huna lolote ujualo zaidi ya kupiga Siasa mfu hapa jukwaani.
 
Baadhi ya Watanzania wenzetu wana matatizo sana. Wanapenda kushadadia mambo bila kufanya tafakuri.

Kama mtu anasema mtapata hasara mkivunja mkataba fulani ndio apigwe risasi?

Mtu akisema tutumie akili kudili na masuala ya kisheria ndio apigwe masasi?

Serikali hii hii inatakiwa kumlipa Lissu stahiki zake. Ndio hii hii serikali iliyo mfanyia kitu mbaya.
Uhai wake hivi ungelipwa?

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
..Jpm amefanya alivyoweza.

..ila alikosea pakubwa kumgeuza adui, Mtz aliyepigania rasilimali zetu wakati yeye Jpm akiwa hana ujasiri wa kupigania rasilimali hizo.

..natufuta namna ya kuhalalisha hukumu ya KIFO dhidi ya Lissu kutokana na aliyoyasema wakati wa mgogoro na acacia lakini nimeshindwa.
Tundu huenda alikua na nia njema ila alikosea muda

Namheshimu Tundu, ana historia kubwa katika nyanja hii

Ila kuna wakati flani hupaswi kua upande wa jirani hata kama unaona Baba anakosea, muunge mkono ila mkifika nyumbani mwambie alipokosea,

Wakati Tundu anapambania madini yetu kipindi kile, sidhani kama JPM alifanya kama aliyofanya Tundu kipindi cha JPM.
 
Baadhi ya Watanzania wenzetu wana matatizo sana. Wanapenda kushadadia mambo bila kufanya tafakuri.

Kama mtu anasema mtapata hasara mkivunja mkataba fulani ndio apigwe risasi?

Mtu akisema tutumie akili kudili na masuala ya kisheria ndio apigwe masasi?

Serikali hii hii inatakiwa kumlipa Lissu stahiki zake. Ndio hii hii serikali iliyo mfanyia kitu mbaya.
Unao ushahidi juu ya kuhusika kwa serikali? Mpo kwenye lichama linaendeshwa kihuni tu kujichachawangwe afu mnatuletea mazingaombwe yenu sisi😡! TL alikuwa analipwa na acacia kutetea wizi😡! TL kahusika ktk kukamatwa ndege zetu! TL kakejeli ndege zetu! TL na Zito walihusika kutaka kuwazuia wahisani kuleta misaada! TL katutukania marais wetu wapendwa(JK Nyerere na JPJM (may the precious souls these great African heros rest in eternal peace and power, amen🙏)katutukania nchi yetu, na katutukana watz wote😡! Unasema siyo msaliti🤔😡😜😂🤣😂! Kwako msaliti ni nani vile😜!? Watz hatudanganyiki 😜!
 
Kimsingi ungetokea muujiza Magufuli akafufuka leo na kurudia kiti chake cha urais kuna uwezekano mkubwa akamwita Lissu na kumuomba msamaha halafu ampe uwaziri mkuu halafu wale waliokuwa wanajifanya kumuimbia mapambio kama kina Mwingulu awafuze ndani ya CCM. Marehemu alidhani Lissu ndiye adui yake kumbe hakujua maadui halisi walikuwa wamemzunguka na huku wakimsifu mchana na usiku.
Hii ndo point kubwa kuliko zote humu jamii forum. Una akili mkuu. Safi
 
Mkuu leo mchana tulikua na huo mjadala! Mtu anaanza kumlaumu tu Lissu namuuliza hivi unajua Lissu kaanza hizi harakati za madini lini? Hana jibu! Namuuliza wewe binafsi Lissu amewahi kukukosea nini mpaka unamchukia? Hana jibu!

Nilichokuja kugundua watu wengi wanaomchukia Lissu Wana uwezo mdogo sana kichwani kureason..(Mtanisamehe kwa hili)
Lissu ni kumar tu! Wala usimpige Icing kilichomponza ni kihere here
 
Tundu huenda alikua na nia njema ila alikosea muda

Namheshimu Tundu, ana historia kubwa katika nyanja hii

Ila kuna wakati flani hupaswi kua upande wa jirani hata kama unaona Baba anakosea, muunge mkono ila mkifika nyumbani mwambie alipokosea,

Wakati Tundu anapambania madini yetu kipindi kile, sidhani kama JPM alifanya kama aliyofanya Tundu kipindi cha JPM.
Nia njema ipi aliyokuwa nayo TL zaidi ya kutetea tumbo lake na mabwana zake😠!
 
kama unakuwa na akili halafu unakuwa threat,hujui matumizi ya akili zako.

shetani mwenyewe baada ya kukirimiwa kila kitu akawa mpuuzi kudai madaraka na kuanza ukaidi,akapigwa mitama.

wakati ambao lissu alitakiwa aonyeshe yeye ni mwanasheria ambaye atasimama na tz ni wakati ule,badala yake akaleta harakati mpaka kule.
Sindio hapo utashangaa yani!
 
JE Spika NDUGAI una la kujibu mbele ya taifa na Mungu.
Hivi aliposhambuliwa akiwa mbunge si alistahili kulipiwa matibabu! Mkamnyima!. Haikutosha mkamfutia Ubunge wake na malipo mkamnyima!
Kwa Kauli ya yule aliyetangulia!! Na sasa mnamkana.
Je Mbona Nasari alifutwa Ubunge na akalipwa haki yake!?
Leo anapewa DC!! Basi haki sawa! Bill kuchelewa.
My. Rais liwekee kipaumbele. Na wewe mwenyewe ulishuhudia kwa macho yako ulipomtembelea pale Hospital Nairobi.. asante.
 
Nahisi sisi Watanzania ni special edition hapa duniani, namna yetu ya kufikiri, kuchanganua na kureact iko tofauti sana na binadamu wengine hapa chini ya Jua!
Kuna mwingine alikuwa ameshikilia eti Lissu katoa siri za nchi, nikamwambia, kama ni kosa si angepelekwa mahakamani akasomewe mashtaka aweze kujitetea! Huwa wanabaki wanatoa macho tu....
 
Nahisi sisi Watanzania ni special edition hapa duniani, namna yetu ya kufikiri, kuchanganua na kureact iko tofauti sana na binadamu wengine hapa chini ya Jua!
Jisemee ww mwenyewe. Watanzania wana uwezo mkubwa sana. Ila wanatumia uwezo wao kudhoofisha unity na maendeleo badala ya kuendeleza
 
Unamlipa msaliti ili iweje🤔! Ku'promote' usaliti!? Alipaswa kulipwa na mabwana zake aliokuwa akiwatetea😜! Chezea haki weye, kamuulize bwana yake TL acacia kama ana hamu na Tz!
JE Spika NDUGAI una la kujibu mbele ya taifa na Mungu.
Hivi aliposhambuliwa akiwa mbunge si alistahili kulipiwa matibabu! Mkamnyima!. Haikutosha mkamfutia Ubunge wake na malipo mkamnyima!
Kwa Kauli ya yule aliyetangulia!! Na sasa mnamkana.
Je Mbona Nasari alifutwa Ubunge na akalipwa haki yake!?
Leo anapewa DC!! Basi haki sawa! Bill kuchelewa.
My. Rais liwekee kipaumbele. Na wewe mwenyewe ulishuhudia kwa macho yako ulipomtembelea pale Hospital Nairobi.. asante.
 
Unamlipa msaliti ili iweje🤔! Ku'promote' usaliti!? Alipaswa kulipwa na mabwana zake aliokuwa akiwatetea😜! Chezea haki weye, kamuulize bwana yake TL acacia kama ana hamu na Tz!
Kama vile Mzalendo Mkuu alivyolipwa! Saivi katulia tu na malaika anakula mafao yake huku akiwatawala!
 
Kama vile Mzalendo Mkuu alivyolipwa! Saivi katulia tu na malaika anakula mafao yake huku akiwatawala!
Itakuwaje ukimkuta ana'command' malaika na ww unasugua motoni!? Dogo acha ufala, Mh. Dr. JPM (may his precious soul rest in eternal peace and power amen 🙏)! Alisimamia haki kwa unyenyekevu, amekuwa na mwisho mwema🙏!
 
Tundu huenda alikua na nia njema ila alikosea muda

Namheshimu Tundu, ana historia kubwa katika nyanja hii

Ila kuna wakati flani hupaswi kua upande wa jirani hata kama unaona Baba anakosea, muunge mkono ila mkifika nyumbani mwambie alipokosea,

Wakati Tundu anapambania madini yetu kipindi kile, sidhani kama JPM alifanya kama aliyofanya Tundu kipindi cha JPM.

..wakati Lissu anayapigania madini Jpm si alikuwa bungeni akipiga kura na wana-ccm wenzake kuunga mkono sheria na mikataba inayoliumiza taifa?

..alikuwa anasubiri Uraisi ndipo atetee rasilimali zetu? Asingepata Uraisi angekufa akiwa msaliti aliyeunga mkono mikataba mibovu ya madini, gesi, na mafuta?

..Ni bahati mbaya sana kulikuwa na mtizamo kwamba ili watu fulani waibuke mashujaa lazima Lissu achafuliwe, apewe majina mabaya, na apotezwe ktk uso wa dunia.
 
Mtawala mwerevu hutumia watu wenye akili nyingi kama Lissu kumshauri masuala mbalimbali ya uongozi wa nchi atayoiongoza na mtawala dikteta na mbumbumbu huua wale wote anaona ni threat kwake!!

Lissu hakustahili kabisa kupewa hati ya kifo...ni mzalendo na anaipenda sana Tanzania.
Mkuu una ushahid kwamba tanzania inahusika na shambulio oa lisu
 
Itakuwaje ukimkuta ana'command' malaika na ww unasugua motoni!? Dogo acha ufala, Mh. Dr. JPM (may his precious soul rest in eternal peace and power amen 🙏)! Alisimamia haki kwa unyenyekevu, amekuwa na mwisho mwema🙏!
Aiseee! Mwisho mwema sio?
 
Back
Top Bottom