Baadhi ya Watanzania wenzetu wana matatizo sana. Wanapenda kushadadia mambo bila kufanya tafakuri.
Kama mtu anasema mtapata hasara mkivunja mkataba fulani ndio apigwe risasi?
Mtu akisema tutumie akili kudili na masuala ya kisheria ndio apigwe masasi?
Serikali hii hii inatakiwa kumlipa Lissu stahiki zake. Ndio hii hii serikali iliyo mfanyia kitu mbaya.
Mungu anasema maono ya lissu yapo na wamtakiao mabaya watashudia utukufu wa Mungu juu yake iwe mvua au jua ,wamekufa au WAKO hai, jiulize
1. Kapigwa risasi zaidi ya risasi za kumuua mnyama yeyote Dunian ila yupo, na anadunda pamoja na surgery kibao ambazo wenda zinavunja record, katika ulimwengu wa tiba ,25
2. Amenyimwa pesa ya matibabu, ya kujikim ila Ndo bado leo kavaa suti kali na imemkaa mwilini sawasawa,
3. Mkasema enzi za mwendazake haludi nchini, ebo ,mwanaume kaja mchana kweupe, kavuka vikwazo vyote vya nec, nakuanza kimbiza mwizi Kimia kimia bila huruma,
Lissu sio tumuonavyo huyu ni mshindi, alisema mchungaji mmoja,
Subilin wakati ,mda ,dakika muone utukufu wa Mungu ulivyo wa ajabu, ipo siku yaja