Tundu hakuwa msaliti, alitakiwa ajibiwe kwa hoja sio kwa mtutu. Alipwe pesa zake

Labda mtuambie kwanini nyie CHADEMA mlimpiga lissu risasi?
Unaona hili! Hivi chuki zote za mwerndazake kwa chadema na viongozi wao,ingetokea kweli ndiyo waliopanga na kutekeleza mpango huo si wote wangeishia magerezani kwa kuidhalilisha serikali yake?
 
Mataga hawatakuelewa kamwe.Maana wao NI waimba mapambio wakati wa kuabudu
 
Hakika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…