basi kama ni hivyo mh. mwenyekiti Ghetto la Chamwino kamwe hatokuja kulipataMaandamano huwa hayapangwi Wala kushawishiwa, huibuka tu
Chadema huwa wanafanya matembezi ya Mshikamano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi kama ni hivyo mh. mwenyekiti Ghetto la Chamwino kamwe hatokuja kulipataMaandamano huwa hayapangwi Wala kushawishiwa, huibuka tu
Chadema huwa wanafanya matembezi ya Mshikamano
nani alikwambia watanzania wamelala?Aachane na maandamano hayana tija. Abuni njia mpya ya kuwaamsha watanzania
huyu takataka ni mwanasiasa kama mawanasiasa wengineNimemsikia akisema No Reform,No Election,
Akaongeza kuwa vinginevyo ataitisha maandamano nchi nzima.
Hao watu wa kuandamana atawatoa waoi?
Nchi imejaa chawa na waoga.mara ya mwisho kuona maandamano ilikuwa 2005 au 2006 wanafunzi wa UDSM wakipinga sera ya bodi ya mikopo,kuanzia hapo maandamano yanafanywa online
Watanzania sio wa kuamini sana
Tulioandamana enzi za mwembe chai tumeshazeeka tunakyla uzee
Jamaa aliandama Kigoma akavunjwa mguu akafungwa mvua ngapi sijui hata siku moja akiwa gerezani hakuona kiongozi yeyote wa hicho Chama kwenda japo kumsalimia zaidi ya ndugu zake, kutoka anamkuta kiongozi wake aliyemsababishia kufungwa kawa mwenye kiti wa CCM mkoa [emoji3][emoji3][emoji3]Mbinu ya kwanza yeye na familia yake wawe front!
Sisi tutakuja bila tatizo!
Binadamu akipata changamoto huamsha ubongo wakati huo huo hukutana na ubunifu.Mbinu zipo nyingi Sana zitachaguliwa zinazofaa kulingana na mazingira ya wakati huo
Wakati mnamchagua mlitegemea nini kipya? Hela hamna na watu hawaandamani.
Yaani mpunga niliovuna na ni ale wali huo kama ntakuwa nimekufa, na wife abebwe.Nimemsikia akisema No Reform,No Election,
Akaongeza kuwa vinginevyo ataitisha maandamano nchi nzima.
Hao watu wa kuandamana atawatoa waoi?
Nchi imejaa chawa na waoga.mara ya mwisho kuona maandamano ilikuwa 2005 au 2006 wanafunzi wa UDSM wakipinga sera ya bodi ya mikopo,kuanzia hapo maandamano yanafanywa online
Watanzania sio wa kuamini sana
Tulioandamana enzi za mwembe chai tumeshazeeka tunakyla uzee
Mkuu nakuhakikishia waTz wataandamana sanaaa nchi nzima yaani watafunga barabara na kuchoma mataili endapo tu Simba na Yanga zitafutwa kushiriki NBC Premier League na si vinginevyo.Mmejengewa kuamini eti watanzania ni waoga, hawawezi kuandamana. Huo ni uongo, na ni mbinu ua watawala kuwakatisha tamaa watu kuwa kuandamana hakuwezekani.
Alisema Mbowe kalamba asali hvyo hawezi itisha maandamano ila yeye ana uwezo huo wa kuamsha tena hisia Za watu….. tumpe muda….Nimemsikia akisema No Reform,No Election,
Akaongeza kuwa vinginevyo ataitisha maandamano nchi nzima.
Hao watu wa kuandamana atawatoa waoi?
Nchi imejaa chawa na waoga.mara ya mwisho kuona maandamano ilikuwa 2005 au 2006 wanafunzi wa UDSM wakipinga sera ya bodi ya mikopo,kuanzia hapo maandamano yanafanywa online
Watanzania sio wa kuamini sana
Tulioandamana enzi za mwembe chai tumeshazeeka tunakyla uzee
Halafu wenzie hata kashfa ya ushoga wamemfichia.Hakuna Watu wa kumsikiliza Lissu aliyeingia uongozini kwa hila,ghiliba,uongo na uchafu wote unaoujua.
Lissu atalipa gharama kubwa za kuwapaka wenzake matope na kujiona yeye msafi sana kumbe mshenzi tu si lolote si chochote najuta kumpigia kura 2020.
Kamdomo punguzaMbinu ya kwanza yeye na familia yake wawe front!
Sisi tutakuja bila tatizo!
Hata yeye mwenyewe anaelewa😂basi kama ni hivyo mh. mwenyekiti Ghetto la Chamwino kamwe hatokuja kulipata
Ninyi ni mijoga tu.Hata akitangulia yeye na familia yake na wachinjwe hamtojitokeza.Ile sentensi ya Mtanzania..."nife/niteseke kwa nini?Kwani sina nyumbani kwetu"...ni tatizo kamili la kisaikolojia.Mbinu ya kwanza yeye na familia yake wawe front!
Sisi tutakuja bila tatizo!