Tundu Liisu atatumia mbinu gani kushawishi watu waandamane, Watanzania wa kizazi hiki ni waoga sana

Ninyi ni mijoga tu.Hata akitangulia yeye na familia yake na wachinjwe hamtojitokeza.Ile sentensi ya Mtanzania..."nife/niteseke kwa nini?Kwani sina nyumbani kwetu"...ni tatizo kamili la kisaikolojia.
Huo ndio ukweli,mitanzania mioga sana shenzy kabisa
 
Dah sio kweli,kuna nchi ziko vizuri kiuchumi ila kuingia barabarani ni kugusa tu,sie ni waoga
Ukiangalia wale wanaoandamana ni wale tia maji tia maji, wenye kipato cha kueleweka 90% hawafanyi hiyo shughuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…