Tundu Lissu aalikwa katika mhadhara wa Chuo Kikuu cha Makerere

Angekuwa anaungwa mkono kama hivi pindi aitishapo maandamano muda huu ccm ingekuwa haipo!
Aliitisha maandamano lini?
Naona una kiherehere sana. Subiri hapo utakaposikia muziki wake utakapokuwa tayari kama hamtazinduka kungali mapema kwenye ndoto zenu za kuwalaghai waTanzania huko CCM.
 
Aliitisha maandamano lini?
Naona una kiherehere sana. Subiri hapo utakaposikia muziki wake utakapokuwa tayari kama hamtazinduka kungali mapema kwenye ndoto zenu za kuwalaghai waTanzania huko CCM.
23/9/2024 hicho kiherehere chako cha kumkejeli kilikuwa bado!
 
Sasa huko Uganda na demokrasia ni maji na mafuta.
 
Yule sio upstairs sio kabisa.
Nimegundua hata zezeta,magogoni unakaa na mambo ya nchi yanaenda
Pale Magogoni mbona hata Mkojani na Pembe wanakaa kabisa. Eti wenyewe wanakuambia Urais ni Taasisi. Hata Mkojani chini ya hiyo taasisi ataonekana kupamudu. 😂😂🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…