Aliitisha maandamano lini?Angekuwa anaungwa mkono kama hivi pindi aitishapo maandamano muda huu ccm ingekuwa haipo!
CCM waoga sana wa uchaguzi huru na wa haki.Pumzika ni katika wale waoga!
Sasa hakuna upinzaniHata sasa ndiyo maana CCM hawataki uchaguzi huru na wa haki.
Wekeni uchaguzi huru na haki hicho ndiyo kipimo halali cha kupima kukubalika.Sasa hakuna upinzani
Kuna mipasho
Wekeni aiseeWekeni uchaguzi huru na haki hicho ndiyo kipimo halali cha kupima kukubalika.
Yeye ataalikwa kama mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa albamu mpya ya taarabu huko KizmkaziMama,mama,mama ataalikwa lini kwenye issues kama hizi?
Raisi wa uganda kaalikwa maana mhadhara unafanyika kwakeKwa Nini hajaalikwa Rais SSH ili akahutubie mhadhara huo???
Mzee pumzika hamu msapoti lissu mna mkejeli!CCM waoga sana wa uchaguzi huru na wa haki.
Yule sio upstairs sio kabisa.Yeye ataalikwa kama mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa albamu mpya ya taarabu huko Kizmkazi
mama yuko na operesheni nishati safi ya gesi huku chakula cha watu wanaokuja kumsikiliza kikiandaliwa kwa nishati ya kuni na mkaaMama,mama,mama ataalikwa lini kwenye issues kama hizi?
23/9/2024 hicho kiherehere chako cha kumkejeli kilikuwa bado!Aliitisha maandamano lini?
Naona una kiherehere sana. Subiri hapo utakaposikia muziki wake utakapokuwa tayari kama hamtazinduka kungali mapema kwenye ndoto zenu za kuwalaghai waTanzania huko CCM.
mama yuko na operesheni nishati safi ya gesi huku chakula cha watu wanaokuja kumsikiliza kikianadaliwa kwa nishati ya kuni na mkaa
kampangie mama cha kusema siyo Msomi LisuAtumie busara, asimpake matope mzee wa watu. Azungumzie tu alivyotuunganisha Watanzania kwa kutumia kiswahili.
Kwa kuwa unaangalia kwa mtazamo hasi ndiyo unaona hivyo.Mzee pumzika hamu msapoti lissu mna mkejeli!
Labda akawahutubie wenzake kwenye hifadhi ya Gombe huko.Makalla na Wasira wangealikwa huko!
Pale Magogoni mbona hata Mkojani na Pembe wanakaa kabisa. Eti wenyewe wanakuambia Urais ni Taasisi. Hata Mkojani chini ya hiyo taasisi ataonekana kupamudu. 😂😂🤣Yule sio upstairs sio kabisa.
Nimegundua hata zezeta,magogoni unakaa na mambo ya nchi yanaenda