KERATO MOMBAA
Senior Member
- Feb 4, 2025
- 161
- 227
alaaaa! alaaaa,
kitumbua cha mamam tena?
SIASA INAHITAJI MOYO SANA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alaaaa! alaaaa,
alaaaa! alaaaa,
Hivi mtu unapo kuwa mwanachama au mpenzi wa CCM inakulazimu uwe na akili kama za kiwenda wazimu?23/9/2024 hicho kiherehere chako cha kumkejeli kilikuwa bado!
Sasa tundulisu na mwl jkn wapi na wapi?, hapo alistahili Sinde warioba. /View attachment 3259498
Mh. Tundu Lissu amealikwa Chuo Kikuu cha Makerere kutoa mhadhara wa umma juu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na ushawishi wake katika siasa na katiba za Afrika Mashariki.
Tega sikio
[emoji23][emoji23][emoji23] dah
Achana naye huyo.Aliitisha maandamano lini?
Naona una kiherehere sana. Subiri hapo utakaposikia muziki wake utakapokuwa tayari kama hamtazinduka kungali mapema kwenye ndoto zenu za kuwalaghai waTanzania huko CCM.
Umesoma uzi vizuri? Mambo ya kigoda ya Nyerere yanatoka wapi?Its either hawamjui Lissu, au wamemtega
Lissu haamini katika fikra za mwalimu JK Nyerere, sasa hawa kigoda cha Nyerere wanamuitaje mpinga nyerere aelezee mazuri ya nyerere
Ndy ujuwe hiyo op ni kuwahada watu wajing jingmama yuko na operesheni nishati safi ya gesi huku chakula cha watu wanaokuja kumsikiliza kikiandaliwa kwa nishati ya kuni na mkaa
Kutofautiana kifikra na Mwalimu Nyerere katika baadhi ya mambo siyo lazima iwe ni "kumpinga".Its either hawamjui Lissu, au wamemtega
Lissu haamini katika fikra za mwalimu JK Nyerere, sasa hawa kigoda cha Nyerere wanamuitaje mpinga nyerere aelezee mazuri ya nyerere
Nimeshangaa sana kwenye hili kwa kweli.mama yuko na operesheni nishati safi ya gesi huku chakula cha watu wanaokuja kumsikiliza kikiandaliwa kwa nishati ya kuni na mkaa
Hoja yako ni niniSasa huko Uganda na demokrasia ni maji na mafuta.
Wasira ni nyara toka hifadhi ya GombeWassira ana uongozi upi?
Wengine kule Tanganyika wamemualika mwijaku naTivu kwenye challenge ya chai na vitumbuaView attachment 3259498
Mh. Tundu Lissu amealikwa Chuo Kikuu cha Makerere kutoa mhadhara wa umma juu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na ushawishi wake katika siasa na katiba za Afrika Mashariki.
Tega sikio
Cha ajabu nini miaka nenda rudi anekuwa chini ya Mbowe ambaye ni form six division zeroTundulisi ni degree holder 1 , lakn anaend kucmama na kusilz na wasome wenye Phd
Uko sahihi ils Uganda atashika adabu yake hawezi ongea ule upuuzi anaongea Tanzania wa kutukana NyerereLisu alimtukana Nyerere hafai
Daaaah !!!Wakina Lucas mmekua wengi jf.
Achague maneno ya kusema huko! Akitoa kauli za ajabu asiwalaumu wenyeji wake.Mh. Tundu Lissu amealikwa Chuo Kikuu cha Makerere kutoa mhadhara wa umma juu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na ushawishi wake katika siasa na katiba za Afrika Mashariki.