OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #41
Hoja yako ni niniSasa huko Uganda na demokrasia ni maji na mafuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja yako ni niniSasa huko Uganda na demokrasia ni maji na mafuta.
Theme ni nini, Let's talk democracy, wapi huko...Uganda! Wtf!!Hoja yako ni nini
Labda kwenye kitchen party, mijadala ya aina hiyo sio size yake...ataaibika!.Mama,mama,mama ataalikwa lini kwenye issues kama hizi?
Ongee nini, being what she is?Kwa Nini hajaalikwa Rais SSH ili akahutubie mhadhara huo???
Knockout ya mamaMama,mama,mama ataalikwa lini kwenye issues kama hizi?
Hoja yako ni ipi?Wakina Lucas mmekua wengi jf.
Asiyemjua Nyerere ataenda kuongea nini?Kwa Nini hajaalikwa Rais SSH ili akahutubie mhadhara huo???
Chawa wa chadema mmeongezeka! Kutoka erythrocyte mpaka Okw boban sunzuHoja yako ni ipi?
Angekuwa anaungwa mkono kama hivi pindi aitishapo maandamano muda huu ccm ingekuwa haipo!
Kwanini usituite viongozi ukaamua kutuita Chawa?Chawa wa chadema mmeongezeka! Kutoka erythrocyte mpaka Okw boban sunzu
Una uongozi upi? Mwenyekiti, katibu au mjumbeKwanini usituite viongozi ukaamua kutuita Chawa?
Wassira ana uongozi upi?Una uongozi upi? Mwenyekiti, katibu au mjumbe
UnanichoshaWassira ana uongozi upi?
Pole kwa uchovuUnanichosha
Lisu alimtukana Nyerere hafaiView attachment 3259498
Mh. Tundu Lissu amealikwa Chuo Kikuu cha Makerere kutoa mhadhara wa umma juu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na ushawishi wake katika siasa na katiba za Afrika Mashariki.
Tega sikio
😃😃Mama,mama,mama ataalikwa lini kwenye issues kama hizi?