Tundu Lissu, acha kumshambulia Hayati Magufuli

Na huo ndio ukweli,magufuli ndio rais aliyekipenzi cha watanzania wengi zaidi ukimtoa baba wa taifa,kasolo wale tu aliowashughurikia.
Kupendwa kwa Magufuli ni dalili kuwa brainwashing yake ilisambaa sana.Lazima watu wapewe dozi ya elimu ili kuwaondoa na brainwashing hiyo.

Tusipomsema Magufuli mtataka Mkapa asisemwe, Madudu ya Kikwete yasisemwe pindi akifa,na madudu ya Samia yasisemwe pindi akifa.

Tunakataa precedence hiyo ya kufunika kombe mwanaharamu apite eti kisa muovu kafa
 
Ni kweli, anapaswa kuchagua adui wa kumshambulia kwa umakini. Kwa hali mbaya iliyopo sasa hivi nchini watu wengi wanamkumbuka JPM.

Strategically he should stop attacking Magufuli kwani marehemu kwasababu ya utawala mbovu wa Samia, Magufuli anakumbukwa sana!! Samia anashindwa hata kumaliza miradi alioachiwa ; imebakia porojo tu ya "kazi iendelee" ya kuuza nchi!
To ignore Magufuli's supporters is to commit political suicide! Tunaona hata Samia sasa anajipendekeza kwa wafuasi wake kwa teuzi anazofanya hivi sasa!!! Kama atafanikiwa that remains to be seen.
 
Siyo Lisu tu bali wengi wetu tutaendelea kumsema kwa mabaya yake aliyotufanyia

Kama ccm watamsema vibaya waacheni wafanye hivyo lakini nyie vyama vingine hamtafaidika na strategy hiyo!
 
Kinachotakiwa ni kuwaunganisha Watanzania wote wa dini zote, makabila yote, kanda yote nyuma ya Agenda inayokubalika na wote.

Kupigania Bandari, katiba mpya, kuiondoa CCM madarakani.

Naona (Sauti ya Watanzania), Dr Slaa, Mwambukusi, Askofu Mwamakula, Mbatia wanaweza kuishinda CCM. Wako zaidi kimkakati na wanaeleweka kirahisi na wengi. Wanahitaji jukwaa kubwa kuwafikia Watanzania wengi

Wamesema wazi wako tayari kuungana na vyama vyote, wasio na vyama, dini zote na wasio kanda zote kupigania Maslahi mapana ya Taifa hata kujitolea maisha yao.
 
Kumshambulia Magufuli ni kujitafutia kufeli kisiasa.
 
So na wewe ni mnyonge? 1.5 tr iko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…