Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kupendwa kwa Magufuli ni dalili kuwa brainwashing yake ilisambaa sana.Lazima watu wapewe dozi ya elimu ili kuwaondoa na brainwashing hiyo.Na huo ndio ukweli,magufuli ndio rais aliyekipenzi cha watanzania wengi zaidi ukimtoa baba wa taifa,kasolo wale tu aliowashughurikia.
Ni kweli, anapaswa kuchagua adui wa kumshambulia kwa umakini. Kwa hali mbaya iliyopo sasa hivi nchini watu wengi wanamkumbuka JPM.
Siyo Lisu tu bali wengi wetu tutaendelea kumsema kwa mabaya yake aliyotufanyia
Kumshambulia Magufuli ni kujitafutia kufeli kisiasa.Ndugu yangu Tundu Lissu, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.
Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya Hayati Magufuli wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.
Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?
Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?
Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?
Nani amkumbuke muuaji na cha DP World?Ni kweli, anapaswa kuchagua adui wa kumshambulia kwa umakini. Kwa hali mbaya iliyopo sasa hivi nchini watu wengi wanamkumbuka JPM.
Huo ndio upumbavu wenyewe, mtu hayupo katika uso wa dunia, huoni kama unapambana na hewa? Hicho ni kichaaMapungufu machache?? Jiwe alikuwa siyo mtu, alikuwa siyo kiongozi na hakustahili kuwa rais.
Mungu amuue tena huko aliko
Jiwe alikuwa mshenzi sanaHuo ndio upumbavu wenyewe, mtu hayupo katika uso wa dunia, huoni kama unapambana na hewa? Hicho ni kichaa
Sawa mtakatifu matthias.. utaish mileleLilienda motoni, lilishateketea hilo shetani
Mbona mimi sina cheti chochote! Acha kukariri maana unaonekana mjinga. But still it's upon youCheti feki unachekesha sana.
Mkuu hata kiswahili tu hukijui, dah wafuasi wa jiwe ni watu wa dizain yakoNa huo ndio ukweli,magufuli ndio rais aliyekipenzi cha watanzania wengi zaidi ukimtoa baba wa taifa,kasolo wale tu aliowashughurikia.
So na wewe ni mnyonge? 1.5 tr iko wapi?Ni mwendawazimu tu na mpumbaf ndio anaweza kukejeli kazi iliyofanywa na huyu mzee.
Ikiwa ,
1. kuvunja mikataba ya kifisadi ya madini na Bandari ambayo tunaona sasa ikipigiwa debe.
2. Kujenga bwawa la umeme pamoja na kupigwa vita ikiwemo kunyimwa fedha,
3. Kuzuia mifumuko ya bei za bidhaa hovyo kama chakula,mafuta n.k
4. Kuzuia utoroshwaji madini ikiwemo kuanzisha masoko ya madini nchi nzima.
5. Kurudisha nidhamu jwa watumishi, sasa tunaambiwa 45% ya ma Dc hakuna wanalolifanya.
Kama haya na mengine mengi aliyoyafanya sio ya kishujaa,mbona watangulizi wake walishindwa? , hata mama ameshafeli kwwnye mambo mengi tu, ni lipi basi kwako angelifanya lingekuwa la kishujaa?