Tundu Lissu achukua fomu kugombea Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa

Waganga wa gamboshi mmepewa smartphone mnakuja kufanya majaribio ya kuzitumia humu jf
Chacha Wangwe (RIP) = Tundu Lisu?

Kazi kweli kweli na Serikali ilikuwepo, Sasa tutaona kama ya kale yanaweza kujirudia.
 
Wewe endelea kuwatch utawatch mpaka mwisho wa dunia
 
Ukiweka wewe nyumbani kwako imetosha
So anachukua kwa sababu Pro Safari kaamua kutogombea, angekuwa anagombea asingechukua. Yaani kupokezana uongozi hadi mtu aliyeshika uongozi aamue kuacha mwenyewe duuh. Hii ndio hasara ya kuwa na katiba isiyoweka ukomo wa uongozi.
 
Kwanini sio uwenyekiti zile hisia za uwenyekiti ndio sababu ya risasi imepata jibu RIp Wangwe!
 
Democrasia iliyo ndani ya CDM hata mbowe mwenyewe haielewi. Ni wapuuzi Wachache tu wanaoweza kuamini kuwa Chadema Ni chama Cha democrasia ya kweli.

How comes Mtu anashangiliwa tu na wachaga wenzie wa Kanda ya kaskazini anajiona anafaa kuongoza chama hiki mpaka atakapochoka.. what kind of this shit?.
Mbowe hayo mayoe Umekuja Hadi huku kwetu kusini ukayasikia je umeenda magharibi mwa Tanzania ukayasikia au ndo kuthibitisha Ile kauli ya Chadema Ni chama Cha Wachaga.

Soon Naiona Chadema inavyoenda kugawanyika Kama ilivyotokea kwa CUF. Kwa wasio elewa siasa usisumbue akili yako kunielewa Ila kwa wanao ijua siasa bila shaka utakuwa umeelewa Nini namaanisha kuhusu yajayo.

Na napenda tu kuwakumbusha nyie vyama vya upinzani Mfumo huu mnaoutumia kupata viongozi wenu wa ndani ya chama hata serikali itakuja Iutumie huohuo kupata viongozi wake na Hakuna mtu atakaepata nguvu ya kuhoji maana yeye mwenyewe atakuwa mfano tosha.
Tutegemee tu Uchaguzi wa Ndio/Hapana unarudi kwa kasi katika serikali hapo karibuni.
The future is incomplete.
 
Crap
 
Hiyo nafasi ya makamu mwenyekiti ilipaswa kupewa mzanzibari Ina maana Chadema sio Chama Cha kitaifa Tena ? Ni Cha Tanzania bara tu?
Sio bara tena ni chama cha wachaga tu huyo nyavu zinamuhusu
 
Magufuli nina uhakika atawaua wote.
Na sasa hivi anajitoa kwanza kwenye vyombo vya haki za binadamu vyote
Kwani yy hafi? Si ana nyama na damu tu? Hakim wa waki ataamua wala ucjali ingekuwa kufa kwa mtu anapanga mtu basi leo Lisu tungeshamsahau
 
amesema amesikitishwa na mambo ya uongo yanayoandikwa na baadhi ya watu .... amewahakikishia watanzania kwamba Mhe Sumaye anahitajika

eti mambo ya uongo yanayoandikwa na baadhi ya watu...

SUMAYE mwenyewe katamka kwamba kafanyiwa figisu Pwani baada ya kuandikwa na gazeti moja kwamba kachukua fomu za Uenyekiti, ambazo amekiri ni kweli alichukua... na kwamba demokrasi ndani ya CHADEMA si kama alivyodhani iko. Kama Mbowe anamstahi Sumaye amstahi lakini asiwaandame waandishi...
 
eti vijana ndo wamemchukulia fomu hahahah yani wanasiasa sijui huwa wanatuchukuliaje yani wanatuona watoto
Wanasiasa ndo wako hivo, subiri mwakani utaona.Magu atachangiwa fomu ya kugombea urais.mark my words
 
Katika hili waandishi wasilaumiwe, tatizo ni sumaye sanasana, anaamini demokrasia mdomoni, akishindwa haitaki tena.
 
Hivi safari kaisaidiaje chadema? Kimkakati.
 
Kwa sasa angalau demokrasia ya maigizo chadema wako Mbele kuliko ccm. Kwa sasa ccm kugombea uwenyekiti had uwe rais. Ukitaka kujua demokrasia ya ccm ya kijinga chukua fomu ya kumpinga magu now.muulize membe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…