Pre GE2025 Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa Kamili itakujia hivi Punde
========

Ikiwa leo tarehe 17/12/2024 ndio siku ambayo kipyenga cha kuchukua fomu kwa Wagombea wa nafasi za Kitaifa kimepulizwa, Tundu Lissu amekuwa Mgombea wa kwanza kujitokeza kwenye ofisi za Makao Makuu kuchukua fomu hizo.

Lissu amesindikizwa na kundi dogo la Watu wakiwemo viongozi na Wanachama wa Chadema, akiwa na Bahasha ya Khaki inayosadikika kuwa na risiti ya Malipo ikiwa ni gharama ya fomu hiyo

Inatarajiwa Wagombea zaidi ya watano Watajitokeza kuomba Nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa

Mungu Ibariki Chadema

Pia, Soma

Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti

CHADEMA watoa tamko zito, John Mnyika aanika gharama za fomu za kugombea na kutoa mwongozo
 
Mungu baba Ibariki CHADEMA❤❤❤
 
Mnyakyusa gani we unakuwa chawa wambowe
 
Yeyote Ashindaye, awe Lissu au Mbowe CHADEMA ipo mikono salama
 
This is a treasonous act 🐼
 
Mnadhani hayo anayofanya AL ni akili yake la hasha kuna kitu nyuma yake na kama hamuamini mtakuja niambia
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo,Uhuru na Watu,viva kamanda LISSU kwa uthubutu wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…