Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Mkuu, lakini mwenye chama chake keshasema ANARUDI MZIGONI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KWANI Erythrocyte ANASEMAJE YEYE?Kwa mwanachama anayekipenda Chama na mwenye akili timamu Tundu Lissu ndiye anayefaa kukiongoza CHADEMA. Mtu mmoja anawezaje kuendelea kuwa Mwenyekiti kwa zaidi miaka 20. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA msije mkarubuniwa na rushwa wakati wa uchaguzi. Fanyeni uamuzi ulio sahihi ili kukinusuru Chama.
Ukweli 100%Kwa mwanachama anayekipenda Chama na mwenye akili timamu Tundu Lissu ndiye anayefaa kukiongoza CHADEMA. Mtu mmoja anawezaje kuendelea kuwa Mwenyekiti kwa zaidi miaka 20. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA msije mkarubuniwa na rushwa wakati wa uchaguzi. Fanyeni uamuzi ulio sahihi ili kukinusuru Chama.
Yuko brella sijui wapi wapi kule kwa Jaji M anafanya mchakato wa kusajili chama kipya - Chama cha Demokrasia na Wazalendo - CDW!KWANI Erythrocyte ANASEMAJE YEYE?
Ninachoamini sasa ni kuwa Lisu katuzindua wanachama kuwa chama sii chetu tena ila cha mbogamboga na mapandikizi yao ndani ya chama.Kwa mwanachama anayekipenda Chama na mwenye akili timamu Tundu Lissu ndiye anayefaa kukiongoza CHADEMA. Mtu mmoja anawezaje kuendelea kuwa Mwenyekiti kwa zaidi miaka 20. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA msije mkarubuniwa na rushwa wakati wa uchaguzi. Fanyeni uamuzi ulio sahihi ili kukinusuru Chama.
Kama mnadhani kuanzisha chama na kukijenga ni mchezo muulizeni Zitto Kabwe atawaeleza.Yuko brella sijui wapi wapi kule kwa Jaji M anafanya mchakato wa kusajili chama kipya - Chama cha Demokrasia na Wazalendo - CDW!
TrueKwa mwanachama anayekipenda Chama na mwenye akili timamu Tundu Lissu ndiye anayefaa kukiongoza CHADEMA. Mtu mmoja anawezaje kuendelea kuwa Mwenyekiti kwa zaidi miaka 20. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA msije mkarubuniwa na rushwa wakati wa uchaguzi. Fanyeni uamuzi ulio sahihi ili kukinusuru Chama.
Akishinda watu watatilia shaka ushindi wake kwasabu watu wengi wapo timu lissu, na kama kamati watampitisha mbowe basi watabaki wao na chadema yao nq wanachama hakika tutagawanyika! tuombe mungu sana! Ikiwa hekima ya kibinadamu ya mbowe kuachia imeshindwa kuapplyMkuu, lakini mwenye chama chake keshasema ANARUDI MZIGONI.
Wajumbe 1200 ndiyo wataamua nani awe kidume wa chama.Kwa mwanachama anayekipenda Chama na mwenye akili timamu Tundu Lissu ndiye anayefaa kukiongoza CHADEMA. Mtu mmoja anawezaje kuendelea kuwa Mwenyekiti kwa zaidi miaka 20. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA msije mkarubuniwa na rushwa wakati wa uchaguzi. Fanyeni uamuzi ulio sahihi ili kukinusuru Chama.
Mkuu, tofauti ya TAL na Mbowe kuhusu suala la ushindi tayari ilishajulikana kitambo kwenye chaguzi za kanda. Wajumbe zaidi ya 97% unawajua wako upande wa nani?Akishinda watu watatilia shaka ushindi wake kwasabu watu wengi wapo timu lissu, na kama kamati watampitisha mbowe basi watabaki wao na chadema yao nq wanachama hakika tutagawanyika! tuombe mungu sana! Ikiwa hekima ya kibinadamu ya mbowe kuachia imeshindwa kuapply
gentleman,Ndumilakuwili Tlaatlaah Guruguja ChoiceVariable na jqbali la siasa Lucas Mwashambwa mna lipi la kuchangia viruses ?.
Ndumilakuwili ulikuwa ukiimba Chama kipo kikabila, Leo umejiunga kwenye kabila ?waache mzalendo anaejitegemea na aliejitosheleza kijamii, kisiasa, kiuchumi, kitaifa na kimataifa Statesman Freeman Aikaeli Mbowe?
Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anaetegemea wanyanturu pekee, subiri tu atanyoroshwa vizuri sana kwenye uchaguzi huu wa chadema 🐒Ndumilakuwili ulikuwa ukiimba Chama kipo kikabila, Leo umejiunga kwenye kabila ?
Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anaetegemea wanyanturu pekee, subiri tu atanyoroshwa vizuri sana kwenye uchaguzi huu wa chadema 🐒
kwakweli ipumzike kwa Amani tu, maana vijana wameteseka na kuhangaishwa sana na chama hicho angalau wapumzike sasa 🐒Rest in peace chadema tulikupenda sana ila kuna watu wameamua Kwa makusudi kukupenda zaidi🙏🙏🙏