WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Hakika mkuu.Yeyote Ashindaye, awe Lissu au Mbowe CHADEMA ipo mikono salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuu.Yeyote Ashindaye, awe Lissu au Mbowe CHADEMA ipo mikono salama
Wewe ndiye ulitumwa nyumbani kwangu Kajunjumele kuniteka? Siku nyingine ukifumuliwa ubongo usimlilie mtuMnyakyusa gani we unakuwa chawa wambowe
Nafurahia saana demokrasia ya CDM!Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, amechukua rasmi fomu ya kugombea nafasi hiyo mchana huu wa Desemba 17 katika Makao Makuu ya chama hicho, Mikocheni, jijini Dar es Salaam.
View attachment 3178773
Pia, Soma
• Tundu Lissu: Haikuwa raisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti
• CHADEMA watoa tamko zito, John Mnyika aanika gharama za fomu za kugombea na kutoa mwongozo
Wapi Yericko, wapi Boniyai, wapi Malaria Sugu, Lucas Mwashambwa msiyemtaka ndiyo huyo ameianza safari rasmiMgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, amechukua rasmi fomu ya kugombea nafasi hiyo mchana huu wa Desemba 17 katika Makao Makuu ya chama hicho, Mikocheni, jijini Dar es Salaam.
View attachment 3178773
Pia, Soma
• Tundu Lissu: Haikuwa raisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti
• CHADEMA watoa tamko zito, John Mnyika aanika gharama za fomu za kugombea na kutoa mwongozo
Amevunja kifungu kipi cha Katiba?Mnadhani hayo anayofanya AL ni akili yake la hasha kuna kitu nyuma yake na kama hamuamini mtakuja niambia
ccm utawajua tuNafurahia saana demokrasia ya CDM!
Machawa hawaamini macho yaoWapi Yericko, wapi Boniyai, wapi Malaria Sugu, Lucas Mwashambwa msiyemtaka ndiyo huyo ameianza safari rasmi
Kabla Ya Sisi Kuja Kukuambia,,Tuambie Wewe Kwanza Ni Kitu Gani Hicho Kipo Nyuma Ya Mh Mwenyekiti Tundu Antipus LissuMnadhani hayo anayofanya AL ni akili yake la hasha kuna kitu nyuma yake na kama hamuamini mtakuja niambia
Mimi CDM kindaki mkuu, achana na ma-CCM.ccm utawajua tu
Ataishia kuhangaika tuWapi Yericko, wapi Boniyai, wapi Malaria Sugu, Lucas Mwashambwa msiyemtaka ndiyo huyo ameianza safari rasmi
Kwa nini usitueleze ili tukujue wewe uliyeyaona ya mbali ili baadaye upate credits.Mnadhani hayo anayofanya AL ni akili yake la hasha kuna kitu nyuma yake na kama hamuamini mtakuja niambia
Yule mkijani wa majuzi si angesubiri agombee na hii nafasiInatarajiwa Wagombea zaidi ya watano Watajitokeza kuomba Nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa
Hivi wewe na Lissu nani anahangaika na maisha? Unakubali kujitoa ufahamu kutumika kiboya huku unaambulia makombo wenzako wanajipakulia minyama.Ataishia kuhangaika tu
Muache dhulmat kwenye chaguzi tuwe watu tunaojitambua sio siku ya uchaguzi uvccm watembee kituo hadi kituo kuwagonga wasiowapendaChadema sio SAWA na Jimbo la Ikungi Mkuu!
Unateseka ukiwa wapi mekuAkishajaza fomu, anaenda Belgium!
Kuomba kura, sijajua ataanza lini!
dhidi ya nani..?
Tundu Lissu amekuwa Mgombea wa kwanza kujitokeza kwenye ofisi za Makao Makuu kuchukua fomu hizo.