Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #21
Go on Youtube session iko LiveHow to watch this session?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Go on Youtube session iko LiveHow to watch this session?
Kaineugaba ataona kama vila Lisu anataka kuwaamsha watu wa Uganda. Kwa akili za Kainerugaba, ngoja tusubiri atasema nini! Kufanya kongamano la haki za binadamu Uganda mana yake Lisu atakuwa anaponda mambo ambayo ukiyasikiliza yanakuwa anasawiri pia maisha ya Uganda. Mfano kuminya upinzani nk!Anamsikilizia nini?
Hata mimi simwamini kabisa yule kijana ni hatari😅😅Kaineugaba ataona kama vila Lisu anataka kuwaamsha watu wa Uganda. Kwa akili za Kainerugaba, ngoja tusubiri atasema nini!
Kwa akili za Lisu, akizungumzia kuhusu human rights lazima ataponda mifumo ya kuminya wapinzani na kuminya demokrasia kitu ambacho Uganda wanafanya. Hapo Kainerugaba lazima ataona Lisu anatibua mambo!Hata mimi simwamini kabisa yule kijana ni hatari😅😅
Nimeona amezungumziaKwa akili za Lisu, akizungumzia kuhusu human rights lazima ataponda mifumo ya kuminya wapinzani na kuminya demokrasia kitu ambacho Uganda wanafanya. Hapo Kainerugaba lazima ataona Lisu anatibua mambo!
Ndugu zangu niwashikishe kinachoendelea kwa sasa Nchini Uganda.
Hon Tundu Lissu kwa sasa yuko Nchini Uganda akihutumia watu wa Nchi Mbali mbali ktk Chuo Kikuu Kikubwa Afrika Mashariki cha Makerere.
Tundu Lissu ana zungumza na Wasomi Mbali mbali Wakiwemo Wanasheria Nguli Afrika na Duniani. Wapo Wageni wa Ulaya, Asia na Amerika.
Ndani ya Uganda wanashuhudia Lissu kama ujio wa pili wa aliyewahi kiwa Rais Wa Kwanza Tanzania Mwl Nyerere.
Ikumbukwe kuwa Mwl Nyerere alikuwa msomi, mwanafalsafa aliyependa mijadala ya kisomi ktk vyuo vikuu mbali mbali Duniani ikiwemo Makerere, Harvard Cha Marekani na Oxford cha Uingereza.
Mada kuu inahusu LEGASI ya Mwalimu Nyerere ktk Maswala ya Katiba, Demokrasia na Utawala bora.
Anna Reisman ni Contry Direct anayesimamia Haki, Amani na Demokrasia kwa Ukanda wa Uganda na sudani akitokea Ujermani.
View: https://www.youtube.com/live/WKgA2X-PkQk?si=OL22E4loS10EGh20
Asithubutu kugusia Kiiza Besigye atakuwa amewasha moto kwa Museven na KainerugabaNimeona amezungumzia
1.TANU
2.KANU
3.SWANU
4.ZANU.
Sikuwa najua kwanini hizi Liberation association zilifanana majina Mwanzoni mwa 1960's.
Hilo linahusiana na mada atakayotoa?Asithubutu kugusia Kiiza Besigye atakuwa amewasha moto kwa Museven na Kainerugaba
😅😅😅Asithubutu kugusia Kiiza Besigye atakuwa amewasha moto kwa Museven na Kainerugaba
Mh Wasira Makerere university nani atamsikiliza?Huku kua vi bushuti na chawa wa kijani wasiojua hata maana ya katiba au haki za kiraiya wanawaita viongozi wa upinzani ni VIBAKA humu nchi! Haya tumpeleke WASIRA hapo makerere tuone inakuaje
Kwenu chawa wa mama
Mama angekuwa na uwezo huo tungekoma leo hahhaaaahhaa
Machawa yangekesha kupost post tu leo
Hahaha . Hatakuwa na cha kuongea atabaki tu Samia suluh Hassan na kurudia rudiaMh Wasira Makerere university nani atamsikiliza?
Alisema anamshukuru magufuli kwa kumtoa Jalarani Daah.Hakuna chuo pale hata Prof Kabudi alisema ni nini pale?
Jiwe alifanya kufuru kwa Mungu sana! Anachapwa viboko sana!Halitakuja kwisha milele
Basiii basi usimalizie kusema.Alisema anamshukuru magufuli kwa kumtoa Jalarani Daah.
Mimi sijui atatoa mada katika kipengele gani ndani ya Human Rights, nimetoa tahadhari tu asije kunyimwa kibali cha kuingia Uganda next.Hilo linahusiana na mada atakayotoa?
Kama wanavyo mwombea m/kiti wao pia. Hao jamaa sijui wanataka nini?. Yaani wamebaki kurogana tu.CCM wanatamani aanguke jukwaani