OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee yale tuliyoogopa jamaa kayasema.
Ukimbi mzima Wanachuo wanamuonea huruma, wote wameshika tamaa, kimya kimetanda.
Akauliza, Are you Okay?
Sijui kama atavuka😅😅
Ajabu ni kwamba hata mwanzilishi wa mijadala ya aina hii pale UDSM Mwalimu Nyerere hakuwa mtu wa kukumbatia mapambio. Tujiulize je tuishi ktk legacy yake?Hapo ingekuwa UDSM (japo Lissu hawezi kupewa nafasi hiyo) hapo kungekuwa na mapambio ya mama anaupiga mwingi tu.
his oration and articulation skills are just out of this world. Nahisi anashabihiana na Marehemu Mkapa likija swala zima la kujenga hoja na ku engage with the audience.This Dude is above next level
Lisu kitu pekee anachokiweza ni kuongeahis oration and articulation skills are just out of this world. Nahisi anashabihiana na Marehemu Mkapa likija swala zima la kujenga hoja.
nacho ni kipaji pia, sio kila mfungua kinywa na kutoa maneno ni muongeaji.Lisu kitu pekee anachokiweza ni kuongea
Ww ni kenge kabisa!Lisu kitu pekee anachokiweza ni kuongea
Mwambie na yeye chura kiziwi akaongee na wana UDSM kwa kingereza bila kusoma uijioneeLisu kitu pekee anachokiweza ni kuongea